Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

Dkt. Kweka wa Magic FM: Wanaosali muda mrefu wana 'Uwendawazimu' wanahitaji Tiba ya haraka ya Kisaikolojia

usichokiamini wewe kwa wengine ni nguvu na ushindi. Unasifia ukatoliki na uislam kuwa wana sala fupi huo ni mtazamo wako tu, kila mtu yuko huru kusali apendavyo
Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
 
Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
Tayari wale 'Wendawazimu' wa Kiimani ( Kiroho ) wa Kukesha Siku nzima Ibadani wakidanganyana kwa Shuhuda za Uwongo ( Kupanga ) aliokuwa akiwasema ( akiwalenga ) hasa Dkt. Kweka wameshaanza Kujitokeza.

Cc: LOTH HEMA
 
Kwanini mapopoma wengi, akiandika kitu #Genta badala ya kumjibu kwa hoja mnaishia kumshambulia kwa matusi?!
Kawazidi Kila kitu mkuu wivu TU
#Genta njoo hapa ujimwambafai na zile nicknames zako ya Kwamba umewazidi kiakili,kipesa,kiserikali mpaka kiuchawi
C'mon boooy uje uwape vidonge mapopoma!
😁😁😁😁
 
matusi ya Nini kamanda kua mstaarabu basi,ni utani tu kamanda wangu ila umepanic hatari mpaka kuniporomoshea matusi yote haya daaa sio haki kabisa Mimi naenda kushtaki Kwa Bi Hangaya ujue!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Dah!!!,Uko vizuri kwenye saikolojia.
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
Hapana shida sisi kuwa na ugonjwa wa kiakili, maana Ni ugonjwa mdogo Sana Tena wa muda mfupi tutakaoishi hapa duniani.
Shida ipo kwako wewe Genta na dokta wako Kweka, ninyi mnaumwa ugonjwa wa kiroho ambao Ni super chronic, maana unawatesa katika maisha yenu mafupi ya hapa duniani, na milele yote mtateswa na ugonjwa huu..r
 
Kwanini mapopoma wengi, akiandika kitu #Genta badala ya kumjibu kwa hoja mnaishia kumshambulia kwa matusi?!
Mwenyezi Mungu kanibariki na 'Talanta' pamoja na 'Shani' nyingi kuliko Wao hivyo kupelekea 'Natural Charm' yangu kuwatesa 24/7 hapa JamiiForums na nitawatesa mno tu mpaka Wapasuke na wakiweza Wafe kabisa.
 
"Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.

Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.

Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp

Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.

Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.

Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
Mi naamini wenye kusali sana ndio wenye dhambi na maovu mengi ila wanamuogopa mungu. Ungejua mambo wamefanya au wanafanya ungezimia. Watu wema hawana ugomvi na mungu wala hawamuogopi🤣.. kwa hivyo huwezi kuona wakilia masaa na masaa kumuomba mungu awasamehe. Huu ndio ukweli.
 
Kawazidi Kila kitu mkuu wivu TU
#Genta njoo hapa ujimwambafai na zile nicknames zako ya Kwamba umewazidi kiakili,kipesa,kiserikali mpaka kiuchawi
C'mon boooy uje uwape vidonge mapopoma!
😁😁😁😁
I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer halafu Wakongo ( Marafiki zangu wa Congo DR ) wamenibatiza Jina jipya la Le Ange Adorable ( Malaika Muabudiwa ) Kudadadeki.
 
Nakazia Imani ni Uwendawazimu unaosababisha watu wengi kupata Hallucinations,
Wanakua kama wendawazimu waliowehuka maana unakuta mtu anakesha anasali kutwa nzima milango hewa ya baraka hewa imjie kama miujiza awe tajiri na hafanyi kazi Sasa anapoona mambo hayaendi lazima awe frustrated na Mungu hamjibu na kama angekuwepo kweli sidhani kama angewajibu wendawazimu kama hao wanaoomba tu bila kufanya Kazi!
Pumbavuuuuu!
Tunaomba, tunafanya kazi, kwa muda wa kutosha, tunatambua pia kwamba kila siku, kila saa na kila dakika twapewa na Mungu, hata Kama twafanya kazi bado Ni Mungu atupaye kufanikiwa, Basi twampa yeye pia muda wa kutosha kwa ibaada, na hatupungukiwi kitu, Kwani unatulisha wewe Gentamycin na dokta wako Kweka?
 
Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
Kwanza ujifunze au nikufundishe kwamba kuna Ibada, misa na sala katika kanisa Katoliki.

Pili muhimu zaidi kanisa katoliki misa zake, ibada zake na sala zake hazitoki kichwani kwa padre wala Askofu, bali ni liturjia ya kanisa iko pale na ndio muongozo wa kanisa.

Hakuna Ibada ya Misa jumapili itakayozidi masaa mawili na kimsingi masaa hayo yanafika kwa uzembe tu wa matangazo baada ya ibada ya misa.

Hayo mambo ya Rozari mwezi wa Novena ni vitu si vya lazima kwa kila muumini kuhudhuria ni sawa na shule unaweza kusoma masomo yako bila tuition na ukafaulu vizuri tu kama tulivyosoma sisi zamani bila tuition na tufanya vizuri.

Niko bize kidogo nitarudi hapa kukupa shule zaidi.
 
Utakuta mtu anatoka na watoto saa 12 anarudi nao saa 8 hawajala ama wamekunywa vijuisi. Ukweli haya makanisa ya mabati full suti kama kota za polisi wanahangaika sana. Utakuta wana madaftari kabisa wanaenda kuandika somo la mchungaji. Aliyeharibu akili za waumini wa Kuhani Mussa, Mwamposa na mchungaji Rashid amewaweza sana. Halafu walokole asilimia 95 ni waongo na wakikukopa hawalipi.
 
Asilimia kubwa watu wanaoshinda makanisani wako frustrated na matatizo mbali mbali either ugonjwa, maisha magumu ,kazi, matatizo ya ndoa na familia, ushirikina, kutopata watoto etc..kwahiyo mtu anakuwa frustrated na akili inavurugika kwa hiyo break ya kwanza nikushinda kanisani kutwa nzima. Watu wengi wanamtafuta Mungu awatendee miujiza ndio maaana wanajazana kwenye makanisa ya manabii . Wanaoenda for purpose ya ibada na kumwabudu Mungu na si miujiza na kushinda kutwa nzima Ni wachache sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndiyo,
Tupo frustrated.
Maisha ya duniani yamejaa frustration za kila aina.
Tunatumia ibaada pia kuondoa frustrations.
Maana Yesu anasema:

Mathayo 11: 28
"Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
"
Kwa hiyo Ni kweli kabisa frustration zetu twazipeleka ibaadani , twapata pumziko.

Tunajua pia Gentamycin na washirika wako mna sehemu zenu za kupeleka frustrations zenu japo kwa kificho.
Tunajua mnazipeleka kwa waganga wa kienyeji, mnalala makaburini, na matendo mengine mengi mnayotenda gizani, yaani mnafanya ibaada ndefu pia kwa mungu wenu wa Giza gizani, halafu mnakija kijifanya wajanja Happ kwa kudhani mnayoyafanya gizani hatuyajui..
Shame on you..
 
Nadhani Dkt. Kweka angewasaidia kwanza wanaokunywa pombe kuanzia asubuhi mpaka usiku wa manane ambao ni wengi sana Tanzania na wenye matatizo makubwa mno sio ya akili tu hata kimwili,kiuchumi na kifamilia mfano Rombo-Kilimanjaro kuliko kuhangaika na watu wanaotumia mda mwingi kumwomba Mungu wao.
 
Hongera kwa Dr. Kweka amenena vyema sana,hata shule tu zina muda maalumu wa kwenda,kurudi,kula na kulala na watoto wanatafuta maarifa yanayopimika huko sasa mtu unashinda asubuhi hadi jioni na wengine huacha familia na kwenda kukesha hata wiki huko LOL! Hata kama kichwa kilikua sawa lazima kipate hitilafu.
 
Back
Top Bottom