marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 987
...."mtakula mema ya nchi"... Hii hutokea ukiwa hai au mpaka ufe kwanza na hukumu ipite ukutwe hauna kesi ya kujibu?
Akikujibu nitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...."mtakula mema ya nchi"... Hii hutokea ukiwa hai au mpaka ufe kwanza na hukumu ipite ukutwe hauna kesi ya kujibu?
Sawa mkuu.Akikujibu nitag
Kweli Mkuu, Hongera umejitahidi.Sometimes inatupasa kuonesha utofauti Kwa watu wenye frustration,unahitaji uende nao Kwa akili Ili uepuke mengi mkuu!
Kusali muda mrefu ndo kujihakikishia tiketi mbinguni?Hapana shida sisi kuwa na ugonjwa wa kiakili, maana Ni ugonjwa mdogo Sana Tena wa muda mfupi tutakaoishi hapa duniani.
Shida ipo kwako wewe Genta na dokta wako Kweka, ninyi mnaumwa ugonjwa wa kiroho ambao Ni super chronic, maana unawatesa katika maisha yenu mafupi ya hapa duniani, na milele yote mtateswa na ugonjwa huu..r
Anaesali pasipo kufanya Kazi huyo amjui Mungu.Nakazia Imani ni Uwendawazimu unaosababisha watu wengi kupata Hallucinations,
Wanakua kama wendawazimu waliowehuka maana unakuta mtu anakesha anasali kutwa nzima milango hewa ya baraka hewa imjie kama miujiza awe tajiri na hafanyi kazi Sasa anapoona mambo hayaendi lazima awe frustrated na Mungu hamjibu na kama angekuwepo kweli sidhani kama angewajibu wendawazimu kama hao wanaoomba tu bila kufanya Kazi!
Pumbavuuuuu!
Nadharia za kijamaa.Ujamaa ni under one man showReligion is the opium of the people
Hata wanaosali ulipa kodi piaAfadhali wanaokunywa pombe siku nzima hao wanaitwa walipa kodi.
Utakuta mtu anatoka na watoto saa 12 anarudi nao saa 8 hawajala ama wamekunywa vijuisi. Ukweli haya makanisa ya mabati full suti kama kota za polisi wanahangaika sana. Utakuta wana madaftari kabisa wanaenda kuandika somo la mchungaji. Aliyeharibu akili za waumini wa Kuhani Mussa, Mwamposa na mchungaji Rashid amewaweza sana. Halafu walokole asilimia 95 ni waongo na wakikukopa hawalipi.
Sasa ukisali kuanzia saa 12 asubuhi mpaka 12 jioni utaishije ili uendelee kuabudu?usichokiamini wewe kwa wengine ni nguvu na ushindi. Unasifia ukatoliki na uislam kuwa wana sala fupi huo ni mtazamo wako tu, kila mtu yuko huru kusali apendavyo
Yeah Imani ni mtego mbaya Sana haufai Kama unajitambua jiweke nao kandoImani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuikumba dunia, turudie mara ngapi?