Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukaukausichokiamini wewe kwa wengine ni nguvu na ushindi. Unasifia ukatoliki na uislam kuwa wana sala fupi huo ni mtazamo wako tu, kila mtu yuko huru kusali apendavyo
Tayari wale 'Wendawazimu' wa Kiimani ( Kiroho ) wa Kukesha Siku nzima Ibadani wakidanganyana kwa Shuhuda za Uwongo ( Kupanga ) aliokuwa akiwasema ( akiwalenga ) hasa Dkt. Kweka wameshaanza Kujitokeza.Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
Kawazidi Kila kitu mkuu wivu TUKwanini mapopoma wengi, akiandika kitu #Genta badala ya kumjibu kwa hoja mnaishia kumshambulia kwa matusi?!
Dah!!!,Uko vizuri kwenye saikolojia.matusi ya Nini kamanda kua mstaarabu basi,ni utani tu kamanda wangu ila umepanic hatari mpaka kuniporomoshea matusi yote haya daaa sio haki kabisa Mimi naenda kushtaki Kwa Bi Hangaya ujue!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hapana shida sisi kuwa na ugonjwa wa kiakili, maana Ni ugonjwa mdogo Sana Tena wa muda mfupi tutakaoishi hapa duniani."Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.
Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.
Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp
Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.
Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.
Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
Mke utampata wapi ilihali wewe mwenyewe unastahili kuolewa?Mbona mimi sina mke Acha kushoboka utamwagwa mavi mbwa wewe.
Sometimes inatupasa kuonesha utofauti Kwa watu wenye frustration,unahitaji uende nao Kwa akili Ili uepuke mengi mkuu!Dah!!!,Uko vizuri kwenye saikolojia.
Mwenyezi Mungu kanibariki na 'Talanta' pamoja na 'Shani' nyingi kuliko Wao hivyo kupelekea 'Natural Charm' yangu kuwatesa 24/7 hapa JamiiForums na nitawatesa mno tu mpaka Wapasuke na wakiweza Wafe kabisa.Kwanini mapopoma wengi, akiandika kitu #Genta badala ya kumjibu kwa hoja mnaishia kumshambulia kwa matusi?!
Mi naamini wenye kusali sana ndio wenye dhambi na maovu mengi ila wanamuogopa mungu. Ungejua mambo wamefanya au wanafanya ungezimia. Watu wema hawana ugomvi na mungu wala hawamuogopi🤣.. kwa hivyo huwezi kuona wakilia masaa na masaa kumuomba mungu awasamehe. Huu ndio ukweli."Haiwezekani Mtu unasali Kuanzia Saa 12 asubuhi hadi Saa 12 Jioni au hata kwa Masaa 8 mfululizo ukawa Salama Kichwani mwako.
Napenda mno Ratiba za Ibada za Waislamu na hata Madhehebu mengine ya Kikristo ambapo zimepangiliwa kabisa muda na hauzidi dakika 45 mpaoa dakika 90 au 120 tu na hazizidi hapo.
Haingii Akilini Mtu Jumatatu hadi Jumatatu Yeye ni Kusali tu Asubuhi hadi Jioni halafu hapo hapo unamkuta analalamika ana Maisha magumu na Shida hazimuishi hawa Kisaikolojia wana tatizo Kubwa mno la Afya ya Akili ( Uwendawazimu ) na wanahitaji Tiba ya haraka sana" amesema Daktari ( Dkt ) Kweka wa Magic FM juzi akiwa katika 'Segment' ya Chumba cha Daktari ya Magic FM ndani ya Kipindi kizuri cha Morning Magic.pp
Dkt. Kweka popote pale ulipo kwa Makavu haya na Ukweli huu ambao GENTAMYCINE nimeupenda na Kuukubali tena 100% naomba nipendekeze kwa 'Intellectuals' Wote Tanzania tuchangishane na tukujengee Mnara wako wa Kumbukumbu kama Daktari Msemakweli Daima na usiye na Unafiki wala Uwoga.
Haya wale Wagonjwa wa Afya ya Akili mlioguswa na Ujumbe huu ( hasa hasa ) wa Kawe, Mwenge, Mbezi Kimara, Ubungo, Kigamboni, Mikocheni, Tegeta na Gongo la Mboto karibuni mjitetee kwani Sisi wengine akina GENTAMYCINE tunasali zile Ibada zilizoenda Shule na za Kisomi ( Kistaarabu ) ambazo unaingia Ibadani Saa 12 na Nusu Asubuhi na Saa 2 Kamili tunamaliza ili tuendelee na Majukumu mengine ya Kujenga nchi na siyo Kushinda Kutwa Ibadani mpaka unaanza Kupiga Miayo na Kushuhudia Shuhuda za Kipuuzi na za Uwongo Uwongo tupu.
Ninafurahi sana kuwa Roman Catholic!!!
I'm Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer halafu Wakongo ( Marafiki zangu wa Congo DR ) wamenibatiza Jina jipya la Le Ange Adorable ( Malaika Muabudiwa ) Kudadadeki.Kawazidi Kila kitu mkuu wivu TU
#Genta njoo hapa ujimwambafai na zile nicknames zako ya Kwamba umewazidi kiakili,kipesa,kiserikali mpaka kiuchawi
C'mon boooy uje uwape vidonge mapopoma!
😁😁😁😁
Tunaomba, tunafanya kazi, kwa muda wa kutosha, tunatambua pia kwamba kila siku, kila saa na kila dakika twapewa na Mungu, hata Kama twafanya kazi bado Ni Mungu atupaye kufanikiwa, Basi twampa yeye pia muda wa kutosha kwa ibaada, na hatupungukiwi kitu, Kwani unatulisha wewe Gentamycin na dokta wako Kweka?Nakazia Imani ni Uwendawazimu unaosababisha watu wengi kupata Hallucinations,
Wanakua kama wendawazimu waliowehuka maana unakuta mtu anakesha anasali kutwa nzima milango hewa ya baraka hewa imjie kama miujiza awe tajiri na hafanyi kazi Sasa anapoona mambo hayaendi lazima awe frustrated na Mungu hamjibu na kama angekuwepo kweli sidhani kama angewajibu wendawazimu kama hao wanaoomba tu bila kufanya Kazi!
Pumbavuuuuu!
Kwanza ujifunze au nikufundishe kwamba kuna Ibada, misa na sala katika kanisa Katoliki.Hawajui wakatoliki huyo wakatoliki wana sala ndefu za kurudia rudia naneno yale yale hadi uone kizunguzungu wanasali wanatumia Rozali utarudia rudia maneno yaleyale hadi ukome mpaka ufikie kuimaliza Rozali lazima utafute maji ya kunywa yalipo sauti inaweza kukukauka
Komenti zenu zinapokelewa Landmark.
Ndiyo,Asilimia kubwa watu wanaoshinda makanisani wako frustrated na matatizo mbali mbali either ugonjwa, maisha magumu ,kazi, matatizo ya ndoa na familia, ushirikina, kutopata watoto etc..kwahiyo mtu anakuwa frustrated na akili inavurugika kwa hiyo break ya kwanza nikushinda kanisani kutwa nzima. Watu wengi wanamtafuta Mungu awatendee miujiza ndio maaana wanajazana kwenye makanisa ya manabii . Wanaoenda for purpose ya ibada na kumwabudu Mungu na si miujiza na kushinda kutwa nzima Ni wachache sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app