Hapo laweza kuwepo gundu? Au unasemaje mzee wa udaku Professor Lizaboni? Maana kuna ile ndoa tulichanga milioni 90 ikaishia kupigwa drip hospitalini. Halafu kuna ule wakati bwana mkubwa mzee wa totoz aliposema anataka kuonja asali yeye akaachia jumla bila kinga tukapata uzao.Maskini Vicky Kamata Likwelile!
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.
Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..
Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
Ndio maana anapelekwa mahakamani,THIBITISHA KAMA DR LIKWELILE AMEFANYA YOTE HAYO
Ina maana hujui likwelile amemuoa Vick Kamata?Funguka....
Ovs
Hapo laweza kuwepo gundu? Au unasemaje mzee wa udaku Professor Lizaboni? Maana kuna ile ndoa tulichanga milioni 90 ikaishia kupigwa drip hospitalini. Halafu kuna ule wakati bwana mkubwa mzee wa totoz aliposema anataka kuonja asali yeye akaachia jumla bila kinga tukapata uzao.
Lakini bwana mkubwa akashtuka na kusema sitaki Wanawake na Maendeleo ya bongo flava nataka Wanawake na Maendeleo ya kitaasisi tuu.
Sasa Leo tena mtu unajitumbukiza shimo la fedha (hazina) linageuka shimo la choo?
GUNDU!
Sina hakika na taarifa hii ya likwelile , ila naweza kuthibitisha gundu kali la vicky kamata , jamani hasa vijana mkitaka kuoa ni vema mkapiga ramli kwanza .Vicky kamata hana bahati ya ndoa aisee, kama jamaa akithibitika na tuhuma basi gereza litawatenganisha.
Kumbe hadi wewe neno 'haki' liko kwenye dictionary yako?Takukuru mfanye kazi yenu kwa weledi na haki!
Hana gundu mkuu, mbona alietokajumba kubwa hakuwahi kupatwa na majanga na inasemekana walikuwa karibu?!Sina hakika na taarifa hii ya likwelile , ila naweza kuthibitisha gundu kali la vicky kamata , jamani hasa vijana mkitaka kuoa ni vema mkapiga ramli kwanza .
Ndio maana anapelekwa mahakamani,
Wewe namuondolea tuhuma we ni hakimu??
Mbona povu jingi.We want these guys behind bars sio bla bla na delays zisizo na mwisho.Una uhakika hukusikia chochote kuhusu masamaki?
We are waiting anxiously for that day.Ni wakati sasa wa mahakama ya mafisadi kukunjua makucha
Wilaya gani hiyo yenye traffic lights Tanzania ...............!!?Kama ni kweli ni vita kati ya mkulu na shemeji.
Sii mnajua chombo cha mtuhumiwa ni Mbunge wa vitu maalumu kutoka mkoa ule wa dhahabu na ambao ile wilaya pekee nchini yenye traffic light ipo?
'Fisadi Kuu'Lowasa atapandishwa lini Kizimbani?Takukuru mfanye kazi yenu kwa weledi na haki!
'Fisadi Kuu'Lowasa atapandishwa lini Kizimbani?Takukuru mfanye kazi yenu kwa weledi na haki!
GeitaKama ni kweli ni vita kati ya mkulu na shemeji.
Sii mnajua chombo cha mtuhumiwa ni Mbunge wa vitu maalumu kutoka mkoa ule wa dhahabu na ambao ile wilaya pekee nchini yenye traffic light ipo?