Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Fumbo mfumbie.....Dah! Watu mnajua kufumba nyie! Imenichukua saa nzima kustadi hadi kufumbua! Paliponitatiza na kutaka kunishikisha ziro ni pale....Hataki wanawake na maendeleo ya bongo fleva bali wama taasisi!
Imenisumbua, imenipotezea muda kuinyaka hiyo mkulu!
 
Maajabu hayeshi nchi hii...wajumbe msijeshangaa mawakili watakaomtetea mtuhumiwa tunaemuongelea ikitokea bandiko hili likawa kweli...au mwaka wa uchaguzi akawa upande huu wa siasa....
 
Unauhakika na unachokitetea?
Fedha ziliwe, boss hajui na hatua hakuna! Uboss wake ni wanini? Jitambue bandugu.
 
Majizi yote yakamatwe Richmond,IPTL,LUGUMI NA WOTE.Sio kuonea dagaa tu huku mapapa yanatamba na yanaendelea kuiba IPTL+ESCROW
 
So Far Vibaka wote ambao washatumbuliwa ni kutoka Chama chetu cha CCMijizi
 
Kama ni kweli ni vita kati ya mkulu na shemeji.
Sii mnajua chombo cha mtuhumiwa ni Mbunge wa vitu maalumu kutoka mkoa ule wa dhahabu na ambao ile wilaya pekee nchini yenye traffic light ipo?
Ambacho bado kilikuwa kinasomeka bado kama Kifanyakazai pale TWIN tower Down Town DSM
 
tulisema sana mahakama ya mafisadi itawamaliza ccm... sasa ngoja ianze sisi wazalendo tutoe USHIRIKIANO wa kuwafichua mafisadi kwa nguvu ili hadi ikifika 2020 kazi iwe rahisi
 
Kwahiyo kipindi cha nyuma walikuwa hawapokei amri/maelekezo kutoka "juu"? Acha mchezo!
naona huelewi maana ya taratibu za fedha,kasome public finance regulations zinaeleza taratibu za fedha ya serikali inavyotakiwa kukusanywa na kutoka/kutumika..siku hizi ni amri ya mtu mmoja tu bila kujali accounting standards
 
Kwani mahakama za mafisadi bado?
 
Usiishi ktk fikra za kudhani ishi ktk ukweli! Unakoelekea hata wale watoto wako ambao sura zao ni tofauti nawe utaanza sasa hivi kudhani sio wako na ukiishi 'kwa kudhani' watakuwa sio wako kweli! Kingine punguza wivu wako wa kike!
Povu la nini au nimegusa mfupa?? Nilikuwa "nafikiri" kuhusu Likwelile na kumbe nilikuwa sambamba na takukuru, tatizo lako nini?? Mauza uza ya tanesco kabla ya JPM kuwa rais, mkurugenzi wa tanesco hawezi kuyakwepa, time will tell!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…