Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

Hahah 2015 alisema hivyo hivyo tena,sijui amesahau?
 
Hii kauli kaiongea tangia mwaka 2016!
 
Hiko kitabu kimejaa miradi bila shaka. Hivyo basi watumishi ambao muliambiwa musubiri miradi ikamilike ndipo mkumbukwe inakwenda kula kwenu.

Vijana mnaosubiri ajira, mjipange na vibarua vya muda mfupi vya kwenye miradi mikubwa ya kimaendeleo.

Ajira rasmi na za kudumu mtazisikia redioni tu.
 
Miaka 5 hii ameshindwa kutengeneza hizo ajira,kutoa ajira zilizo rasmi haijawahi kua kipaumbele chake na wala haitakua na kwny awamu yake vibarua/saidia fundi imekua ndio ajira rasmi sasa kwa maono yake yeye.

Mwambie wanyonge wanamshukuru sana.
Ajira ni janga la dunia kichwa umefugia nywele tu
 
Hana mda na vijembe, vijembe tunamuachia Lisu maana kila akilala na kuamka anamuona magufuli sasa anabaki kuweweseka.
Hawezi taja sentesi bila maguguri, na bado ataiimba saana.

Kama ulivyo wewe kwa Lisu , au wewe ni mdogo wake Musiba ?
 
Viwanda hajasema ni vingapi vimejengwa? Atasema siku ya uzinduzi wa kampeni.
 
Uzuri ni kwamba Mataga wengi hawana ajira na maisha yao magumu tu. Msione wanasifiasifia tu na wao kibano wanakipata.
 
Sidhani kama anaweza kuwa na guts za kuongea hivyo kama mwenyekiti wake hajazungumz naye, maana watu wanaongea kile kinachomfurahisha mwenyekiti
Ni kweli, ni moja ya njia ya kuondoa hofu na kuvuna kura kutoka kwa wapiga kura (wale wasio wanachama wa vyama vya siasa) na ambao hawataki kuwa na Rais wa maisha.
 
Ulitaka aseme nimewagawia kila shilingi laki mbili mbili?
 
Speech imepoa kama mate ya mgonjwa, nimejaribu kumsikiliza kiukweli anatia huruma, kwanza hana hata nyomi la kumsindikiza kufata fomu.

Lissu atawaua watu mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…