hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Sijui naye sauti zitakatwa? Sijui wananchi wanyonge watasombwa kwenye malori?
Sijui leo vijembe vitasalimika?
Sijui leo mama zetu watadhalillishwa tena?
Sijui leo....!!??[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
Hapana yy Ana haki ya kusema lolote kwa mtu yeyote so hawawez kukata