MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,500
Ndege gani imetua hicho kiwana cha chato ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege gani imetua hicho kiwana cha chato ?
Hoja zile zile za kukaririshana. Anunue ndege kwa mkopo halafu tulipe pesa nyingi kwenye riba.Anatakiwa kujibu hoja :
- Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
- Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
- Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
- Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
- Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
- Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
- Mbona anakuwa anatoa majibu kiukali kwani kuna nini vile?
- Asititufokee, lazima ajue sisi ndiyo tunamlipa mshahara na kiinua mgongo mara akistaafu.
Ttzo la ATC sio kuwa na ndege ttzo Ni management Nyerere alizinunua zaidi ya kumi na kitu ,idi amini alizinunua 62 lakini zote zilikufa.Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Du! Rwanda air,Kenya air,Qatar air,egpty air,Ethiopia air hizo za sekta binafsi ,nakushauri uwe unaperuzi kupata taarifa kwa kina duniani kote mashirika muhimu umilikiwa na serikali ili kuepusha tabia za wafanyabiashara kuhujumu,mfano:hapa Tanzania tulihujumiwa kwenye umeme baada ya magu kuingia mgao hamna tena,sukari pia magu kampa bahresa ardhi ajenge kiwanda kikubwa na kingine kinajengwa na huko huko,mambo mengi ukiachia kila kitu sekta binafsi hipo siku watawahujumu ikizingatiwa kuwa makampuni hayo yote ya wazungu ni rahisi sana kutuhujumu,ndio maana uchaguzi wa mwaka huu husikii maelekezo ya wazungu kwa sababu umegharamiwa na serikali 100% ,sasa endeleeni kumuunga mkono huyo lisu anampango kila kitu kiwe kinafanywa na wazungu mtatawaliwa kwa Mara ya pili.We umepanda ndege lini,nauli ya basi tu kwenda kwenu kijijini inakushinda,biashara ya ndege awaachie mashirika binafsi ,serikali ijenge viwanja tu
Ni mbili had Sasa ya museveni,ya Kenyatta,na atc Tena kwa mwaka Mara moja huu Ni ufisadi na ubinafsi wa Hali ya juu na kuchezea Kodi zetu,heri zingetumika kuwalipa watu mafao yao mwaka wa pili huu wanasotaNdege gani imetua hicho kiwana cha chato ?
Wewe sio kamanda umejiunga September hii 13, 2020.Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Ni Mhubiri mkuu. Mhubiri 7:9Kasome Mithali hasira hulala kifuani mwa mpumbavu
Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Sasa unataka rais akitaka kutua kwao anatua vipi?,uwanja wa ndege ni muundo mbinu tu,wala nchi haitafiriska eti sababu ya huo uwanja,,mbona viwanja vipo vingi tu,Ttzo la ATC sio kuwa na ndege ttzo Ni management Nyerere alizinunua zaidi ya kumi na kitu ,idi amini alizinunua 62 lakini zote zilikufa.
Pesa ya kujenga Chato angeboreshea maisha ya wanachato kwa kujenga vitu vinavowagusa wananchi mfano vyuo, schems za umwagiliaji, usambazaji maji vijijini, vyuo vya ufundi, mashule, maghala, viwanda vya mifugo na mazao, Chato nzima wenye kumudu kupanda ndege awafiki hata 5 Sasa hapa uwanja unafaida gani kwao.
Kesho Lisu anakuwa raisi nae akajenge ikungu uwanja wa ndege, kesho kutwa bashite anakuwa raisi akajenge koromije uwanja je hio Ni nchi au Ni shamba la Bibi.
Sindano zinapenya saivi.[emoji23][emoji23]Lisu titamrudisha kwa Amsterdam ikifika oktoba
Wewe kizazi chako unakifahamu vizuri? Mnaanza taratibu kuwa na mawazo ya kibaguzi.Hivi kuna mtu anajua babu yake huyu jamaa yupo wapi au kama bahati mbaya alifariki alizikwa wapi??
namaanisha kizazi chake cha 3-4 tuverifai uraia wake
Tuambie wewe ilikaguliwa lini tangu 2016 na ripoti ya ukaguzi ilisomwa wapi?Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Nakutajia hadi kizazi cha7 na makaburi yao nakuonesha, mi sijakulia mjini ujueWewe kizazi chako unakifahamu vizuri? Mnaanza taratibu kuwa na mawazo ya kibaguzi.
Na kwa Sasa hivi CAG haruhusiwi kukagua hesabu za Eitisielooo.Keshapaniki. Na siasa haihitaji hasira.
ATCL kwasasa si ruhusu mdhibiti kuikagua. Yasemekana linajiendesha kwa hasara hasara tu.
ATCL ina madeni mengi sana. Kama ndege zingeinyizwa huko lazima zingechukuliwa na wadai. Airline nyingi zina hasara. Ina maana sababu ya hasara ndio hatuhitaji ndege?
Nakuona mjinga. Nani mwana Kidumu?
We jiropokee tu.Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Hatuna shida na ndege tuna shida na hayaHivi ni ujinga au mazoea mabaya kusema ndege hazina wapandaji,tatizo hamna akili kama taifa tunaitaji ndege na viwanja kila wilaya ili use usafiri wa kawaida tu kwa wananchi MTU achague mwenyewe ahende kwa ndege,gari,meli au treni hayo maujinga ya kuamini kuwa ndege ni anasa ukome huko huko kwa uyo alirudi kutoka Belgium kwa pikipiki.
Hapo ndio upeo wako wa kufahamu Hilo suala ulipoishia.?Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege