Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uwanja wa chato ni kwa ajili kuvuta watalii wa mbuga ya Burigi, watalii watatua Chato ambapo ni karibu na mbuga ya Burigi badala ya kutua mwanza"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Kwani tusingekuwa na ATCL tungekosa huduma ya ndege? wakati mwingine si lazima umiliki chombo chausafiri ili uweze kutumia huduma zake
JPM karudisha nidhamu ya kiserikali na ya mtu mmoja mmoja.Ni kweli kabisa mkuu ukichunguza kwa umakini utagundua kuwa wabongo wengi kutokana na maoni wanayoyatoa yamejaa ulalamishi sana na huwezi kujua ni nini hasa wanakihitaji. Wakati wa JK walimponda sana na kelele nyingi za ufisani na nchi kukosa mwelekeo. JPM kwa sehemu kubwa kafanyia kazi malalamiko mengi kwa vitendo kiasi cha kukipa chama cha CCM nguvu na watu kukiamini tofauti na kipindi cha JK. Vilevile kuna mwelekeo kama nchi tunauona na ni vizuri kutambua kazi kubwa ambayo JPM ameifanya licha ya mapungufu ya hapa na pale ambayo ni kawaida ya binadamu yeyote yule. Ukiondoa mihemko na kelele nyingi za hapa na pale na ukitafakari kwa kina bila msukumo wa kelele za nje utakubali kuwa JPM kaitendea haki Tanzania.
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
..unaweza kuingia hasara au gharama ktk jambo la lazima.
..hakukuwa na ulazima wa sisi kubeba mzigo wa hasara na kuanzisha shirika la ndege la umma.
..watalii walikuwa wanaletwa na mashirika ya ndege ya nje bila matatizo yoyote.
..kwa usafiri wa ndani kulikuwa na mashirika ya ndege ya binafsi.
..matrilioni ya fedha tulizotumia kununua midege tungeyaelekeza kwenye sekta nyingine zenye mahitaji na zenye kuajiri watu wengi.
Kujenga kiwanja sio upotevu wa mapato,ni investment...miaka 50 toka sasa huo uwanja utawafaa vizazi vijavyo
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Ndio sababu tunataka mdahalo wa wagombea Urais ili hayo majibu yake akayatolee ufafanuzi huko, tatizo yeye na CCM yake hawataki kabisa kusikia kuhusu huu mdahalo. Shida ni nini?"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Duuu unasikitisha sana kufikiri kuwa mpaka wewe upande hizo ndege ndiyo itakuwa sawa kujenga uwanja wa Chato! Uwanja huu na ndege zilizonunuliwa zinakuja kukuza biashara ya utalii na madini katika kanda hii. Watalii wengi watapenda kuja kuona Hifadhi mpya k.m. Chato Burigi, n.k. Wameshaona Serengeti, Manyara, n.k. Huu ni mkakati wa kukuza pato la Taifa. Halafu mimi nawashangaa sana hivi Wana-Chato ni dhambi uchumi wao kuongezeka? Vilevile ukiona Chato kuzuri nenda tuu ukaanzishe bishara zako huko, ruksa.We umepanda ndege lini,nauli ya basi tu kwenda kwenu kijijini inakushinda,biashara ya ndege awaachie mashirika binafsi ,serikali ijenge viwanja tu
Pia mmiliki wa kampuni ya ujenzi huo uwanja Ni Nani."Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Ni afrika pekee raisi ni mungu thus maendeleo tutayasikia ndotoni, afrika itakuwa na maendeleo Kama tukianza kuwafunga jela maraisi wahuni
Unataka ngumi zilike.Pia Ni ngumu kutazamana macho usoni na mtu uliyemtenda mabayaNdio sababu tunataka mdahalo wa wagombea Urais ili hayo majibu yake akayatolee ufafanuzi huko, tatizo yeye na CCM yake hawataki kabisa kusikia kuhusu huu mdahalo. Shida ni nini?
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Duuu unasikitisha sana kufikiri kuwa mpaka wewe upande hizo ndege ndiyo itakuwa sawa kujenga uwanja wa Chato! Uwanja huu na ndege zilizonunuliwa zinakuja kukuza biashara ya utalii na madini katika kanda hii. Watalii wengi watapenda kuja kuona Hifadhi mpya k.m. Chato Burigi, n.k. Wameshaona Serengeti, Manyara, n.k. Huu ni mkakati wa kukuza pato la Taifa. Halafu mimi nawashangaa sana hivi Wana-Chato ni dhambi uchumi wao kuongezeka? Vilevile ukiona Chato kuzuri nenda tuu ukaanzishe bishara zako huko, ruksa.
Kumbe sindano za Lissu huwa zinamuingia huyu mzee.
Tunataka mdahalo"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? ,ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11..hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau,wapiga kura hawajaridhika
expand...
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka mwanza airport mpaka chato?
5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?