Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Uko sahihi aliiba kura
Yeye mwenyewe akiwa Moshi Leo anawaambia hawawezi kupewa hadhi ya jiji kwakua niwapinzani?huu siubaguzi ? Hubiri mnachoweza kutenda Mara kadhaa amebagua kwa uwazi kabisa kwakujisifia kutopeleka maendeleo kwawaliochagua wapinzani.Team ya CCM mshaurini mwenyekiti wenu kabla yakuongeaIkiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
Itakuwa hajui maana ya ubaguzi si bure.Kama kunajambo limemshinda kulificha moyoni mwake nihuo ubaguzi. Inafikia hatua anasema hatagawa chakula kwa mtoto wa kambo akaacha mwanae,akiyaita majimbo ya upinzani watoto wa kambo. Tena kauli hii haizungumzi kwa bahati mbaya anamaanisha manake ameizungumza Korogwe,Mara,Same nk
Lissu hajasema atakapokua rais hspeleki maendeleo walipochagua ccm. Magufuli amerudia mara nyingi kutamka kwamba hapeleki maendeleo kwa wapinzani. Ka kauli hizo magufuli ni MBAGUZI MKUBWA. Hafai kuwa rais.Hizo ndio propaganda zenyewe sasa!
Yeye alikuwa anapiga kampeni, sasa ulitaka aseme chagueni yeyote wakati anakinadi chama chake cha ccm?
Kwani Lisu anaposema msichague wana ccm huwa anakuwa anaeneza ubaguzi
Kuombea mkutano na kuleta udini ni vitu viwili tofauti, chadema na act wanaleta udini, rejea lisu anazunguka na ponda kutangaza "eti kura zetu waislam wote kwa lisu" muislamu/waislamu gani waliowatuma lisu na ponda wake kutuwakilisha waislamu wa nchi hii, kama sio udini huu ni nini? Wameshindwa uchaga na ukanda sasa wamehamia kwenye udini!!!Kila mkutano wa kampeni viongozi wa dini wapo na wengine wameombea vyama kura. Tuanze na Mufti na Shekhe wa DSM. Moshi leo kulikuwa na Mkuu wa KKKT na wengine. Balance discussions zako
Uongo hakuna aliyebomolewa kwa sababu yeye ni mpinzani, nenda kasome sheria za ardhi vizuri, nenda kasome sheria zinazohusiana na hifadhi za barabara vizuri...maeneo ya kimara walibomolewa kwasababu wako ktk jimbo la mpinzani.
..mwanza Magufuli akasema wasibomolewe kwasababu wako kwenye jimbo linaloongozwa na ccm.
Anayemwamini huyu ana Brain Disorder.Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya wagombea.
Pia amewatahadhalisha watanzania wakiona mtu anaongea kuhusu chuki, wafahamu kwamba hayupo kwa maslahi ya Taifa, bali ana malengo mabaya ya kuleta machafuko nchini.
Alitoa rai hiyo jana wilayani Korogwe mkoa wa Tanga wakati akihutubia wanachama wa CCM waliojitokeza kwenye viwanja vya chuo cha walimu Korogwe.
DSM alirekodiwa kiongozi wa dini alitaka Waislam wachache CCM. Lissu akajibu kivingine. Jino kwa Jino. CCM tuachane na hizo issue vinginevyo wenzetu wakijibu mapigo tunalialia.Kuombea mkutano na kuleta udini ni vitu viwili tofauti, chadema na act wanaleta udini, rejea lisu anazunguka na ponda kutangaza "eti kura zetu waislam wote kwa lisu" muislamu/waislamu gani waliowatuma lisu na ponda wake kutuwakilisha waislamu wa nchi hii, kama sio udini huu ni nini? Wameshindwa uchaga na ukanda sasa wamehamia kwenye udini!!!
hivi reli ya Arusha haijajengwa?Amewabagua kaskazini ajawafanyia chochote amewabagua anaenda kuwaomba kura wao ni muhimu wkt wa uchaguzi tu
Ni baada ya kumalizika Kwa vipindi vyake viwili VyoteAjiandaye kurudi Chato.
Badohivi reli ya Arusha haijajengwa?
Aache ubaguziWe ulitaka alale nao au laah.
Tambua yule ni Rais na anawasaisizi wake wanafanya kazi kila kona wakimuwakilisha yeye sasa wewe unatakaje labda mjomba.
Gazeti la musibaNa nyie vipi wajomba hapo pamekaaje hahahahView attachment 1607507
Utapewa buku 7 hapa?Na nyie vipi wajomba hapo pamekaaje hahahahView attachment 1607507
Kama sehemu zingineUlitaka awafanyie nini?
Nimemnukuu yeye mwenyewe kasema hajaipa jiji kwakuwa ilikuwa chini ya wapinzaniNipe sifa za mkoa kupewa hadhi ya Jiji mjomba sio unaropoka tu hahaha.