Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

“Bunda walijichanganya wenyewe, Ilani hii lengo kutengeneza Barabara kutoka kwa Lugola kule tukaunganishe na ukerewe kuja hadi Bunda baadaye tunaipasua hadi Serengeti lakini utawapelekeaje Watu wanaokutukana?, hata kama ni Malaika utagoma kidogo”

"Lakini utawapelekeaje watu wanaokutukana hata kama ni malaika utagoma kidogo. Mimi sio malaika nina roho na moyo na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi ukampelekea mtoto wa jirani utampelekea mtoto wako wa kuzaa kama ana njaa" - Magufuli


Huyu jamaa asipoangalia anaweza kosa kura hata za wajinga anaowategemea

Maana sasa watu wanaanza kuona rangi zake halisi kuwa ni mtu Mwenye roho mbaya, chuki na visasi visivyo vya kawaida


Alitakiwa azikatae hata kodi zao
 
“Bunda walijichanganya wenyewe, Ilani hii lengo kutengeneza Barabara kutoka kwa Lugola kule tukaunganishe na ukerewe kuja hadi Bunda baadaye tunaipasua hadi Serengeti lakini utawapelekeaje Watu wanaokutukana?, hata kama ni Malaika utagoma kidogo”

"Lakini utawapelekeaje watu wanaokutukana hata kama ni malaika utagoma kidogo. Mimi sio malaika nina roho na moyo na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi ukampelekea mtoto wa jirani utampelekea mtoto wako wa kuzaa kama ana njaa" - Magufuli


Huyu jamaa asipoangalia anaweza kosa kura hata za wajinga anaowategemea

Maana sasa watu wanaanza kuona rangi zake halisi kuwa ni mtu Mwenye roho mbaya, chuki na visasi visivyo vya kawaida
Kauli hizo unaweza kuwaambia vilaza tu. CCM msaidieni mtu wenu. Mwambieni ajaribu angalau kutumia lugha ya ushawishi. Kwamba mimi na akili zangu nikamchagua mbunge ninayemtaka halafu unambie nimejichanganya nitaona kama umenitukana vile na kura yangu hupati n'go!
 
Hii ID imepotea kabisa.

Jamaa sujui aliahidiwa ukatibu kata Lisu akishinda maana sio kwa kupambana kule.
 
Huyo mgombea wenu sasa anawafanya hata wale wajinga waliokuwa wanam support kumgeuka.

Kwa haya maneno nawaambia mtashangazwa hiyo October 2020 mkiona Lissu anampiga vibaya huyu mtu wenu kwenye Sanduku la kura!!
Mkuu Oktoba imeshapita.
Hali ipoje huko mitaani?
 
“Bunda walijichanganya wenyewe, Ilani hii lengo kutengeneza Barabara kutoka kwa Lugola kule tukaunganishe na ukerewe kuja hadi Bunda baadaye tunaipasua hadi Serengeti lakini utawapelekeaje Watu wanaokutukana?, hata kama ni Malaika utagoma kidogo”

"Lakini utawapelekeaje watu wanaokutukana hata kama ni malaika utagoma kidogo. Mimi sio malaika nina roho na moyo na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi ukampelekea mtoto wa jirani utampelekea mtoto wako wa kuzaa kama ana njaa" - Magufuli


Huyu jamaa asipoangalia anaweza kosa kura hata za wajinga anaowategemea

Maana sasa watu wanaanza kuona rangi zake halisi kuwa ni mtu Mwenye roho mbaya, chuki na visasi visivyo vya kawaida
Hivi hizo kura amezikosa? Imeisha hiyoooooooooooo
 
Hii ID imepotea kabisa.

Jamaa sujui aliahidiwa ukatibu kata Lisu akishinda maana sio kwa kupambana kule.
Kwa sababu nyie huko kwenu Ccm mnafanya vitu ili mpate vyeo au mkumbukwe mnafikiri kila mtu yupo hivyo??? Umekosea sana. Sifanyi jambo kwa kutegemea cheo. Natetea kweli na haki.
 
Yapo wapi?
Kivipi??? Si mmeiba haki za watanzania kupata viongozi wanaowataka??? Sasa subirini kama mtaweza kutibu kiu ya watanzania au ndo mtaongeza chuki zaidi kwa watanzania.
 
Kwa sababu nyie huko kwenu Ccm mnafanya vitu ili mpate vyeo au mkumbukwe mnafikiri kila mtu yupo hivyo??? Umekosea sana. Sifanyi jambo kwa kutegemea cheo. Natetea kweli na haki.
Sijawahi kuwazia ishu ya cheo mkuu, mwaka wa 8 huu nipo Hapa JF naipigania Chama na Serikali.

Pia wanaofahamu the real man behind the ID hawafiki hata mkono mmoja.
 
Sijawahi kuwazia ishu ya cheo mkuu, mwaka wa 8 huu nipo Hapa JF naipigania Chama na Serikali.

Pia wanaofahamu the real man behind the ID hawafiki hata mkono mmoja.
Kwani nani anafahamu my real ID?? Niko hapa for nearly 6 years and no one knows my real ID.
 
“Bunda walijichanganya wenyewe, Ilani hii lengo kutengeneza Barabara kutoka kwa Lugola kule tukaunganishe na ukerewe kuja hadi Bunda baadaye tunaipasua hadi Serengeti lakini utawapelekeaje Watu wanaokutukana?, hata kama ni Malaika utagoma kidogo”

"Lakini utawapelekeaje watu wanaokutukana hata kama ni malaika utagoma kidogo. Mimi sio malaika nina roho na moyo na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi ukampelekea mtoto wa jirani utampelekea mtoto wako wa kuzaa kama ana njaa" - Magufuli


Huyu jamaa asipoangalia anaweza kosa kura hata za wajinga anaowategemea

Maana sasa watu wanaanza kuona rangi zake halisi kuwa ni mtu Mwenye roho mbaya, chuki na visasi visivyo vya kawaida
 
Back
Top Bottom