Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Bunda walijichanganya wenyewe, Utawapelekeaje Barabara watu wanaokutukana?

Kivipi??? Si mmeiba haki za watanzania kupata viongozi wanaowataka??? Sasa subirini kama mtaweza kutibu kiu ya watanzania au ndo mtaongeza chuki zaidi kwa watanzania.
Hivi acha utoto ati chuki kwa watanzania
 
Huwezi kumchezea Mungu alafu akakuacha. Huyu alikuwa muuaji na mtesaji aliyejificha kwenye kivuko cha kumtaja taja Mungu ili awachote wapumbavu. Mungu amefanya yake tayari.
Kwa kauli hizi za kibaguzi ndo zilifanya nisimkubali JPM kabisa, kujenga barabara, flyovers, etc notwithstanding!
 
Back
Top Bottom