Kivipi??? Si mmeiba haki za watanzania kupata viongozi wanaowataka??? Sasa subirini kama mtaweza kutibu kiu ya watanzania au ndo mtaongeza chuki zaidi kwa watanzania.
Huwezi kumchezea Mungu alafu akakuacha. Huyu alikuwa muuaji na mtesaji aliyejificha kwenye kivuko cha kumtaja taja Mungu ili awachote wapumbavu. Mungu amefanya yake tayari.
Huwezi kumchezea Mungu alafu akakuacha. Huyu alikuwa muuaji na mtesaji aliyejificha kwenye kivuko cha kumtaja taja Mungu ili awachote wapumbavu. Mungu amefanya yake tayari.