Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
“Bunda walijichanganya wenyewe, Ilani hii lengo kutengeneza Barabara kutoka kwa Lugola kule tukaunganishe na ukerewe kuja hadi Bunda baadaye tunaipasua hadi Serengeti lakini utawapelekeaje Watu wanaokutukana?, hata kama ni Malaika utagoma kidogo”
"Lakini utawapelekeaje watu wanaokutukana hata kama ni malaika utagoma kidogo. Mimi sio malaika nina roho na moyo na hata ukiwa na chakula kizuri huwezi ukampelekea mtoto wa jirani utampelekea mtoto wako wa kuzaa kama ana njaa" - Magufuli
View attachment 1559749
Huyu jamaa asipoangalia anaweza kosa kura hata za wajinga anaowategemea
Maana sasa watu wanaanza kuona rangi zake halisi kuwa ni mtu Mwenye roho mbaya, chuki na visasi visivyo vya kawaida
Watu wanavinyongo sana. Kwani hizo pesa za kujenga barabara ni za ccm au ni kodi ya watanzania wakiwemo wananchi wa bunda? Matatizo ya watu wengine wakikataliwa basi unallazimisha ukubaliwe.
La ajabu hao hao wanaonyimwa haki wanaendelea kuishabikia serikali ya ccm. Wakome kabisa, huyo mtu si wa kuchaguliwa, na wakilogwa wakamchagua ataendelea kuwanyanyasa. HIYO NDIYO SURA HALISI YA CCM