Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Hiki ni kipindi changu cha mwisho kuliongoza Taifa

Ukishasimika watu wako ukajimilikisha mifumo yote ya maamuzi, ukauwa demokrasia, ukakamata ka kikundi kako kadogo Kama wanufaika wa uwepo wako,sasa jibu gani msilolielewa watz.
Kuongea hata yeyeto tu uongea, mbona kagame ameongea Sana agombei tena.
 
Mimi sio machinga Ila Ni MKULIMA
Sasa wew kaandame ukauze maji Na biashara yako peponi
R.I.P brother
 
Well kumbe hajakuwa dikteta bado..Sawa nimekupata mkuu Wangu...

Haya sasa hayo mengine ya Sintofahamu za hapa na pale na kutoridhishwa na baadhi ya mambo mna haki ya kuongea na kuAIR VIEWS zenu Kama raia sawasawa na hivi unavyofanya hapa!!!
Magufuli ni yesu, hajawahi kukosea
 

Attachments

  • IMG_20200921_190239.jpg
    25.6 KB · Views: 1
Mimi sio machinga Ila Ni MKULIMA
Sasa wew kaandame ukauze maji Na biashara yako peponi
R.I.P brother
Asante Salha255, hata kipindi kina kawawa, Nyerele wanapambana kuleta Uhuru sio wote walioshiriki. Kwahio wewe kaa pembeni wengine tutapambana kwa niaba yako nakizazi chako.
 
Nenda kahamasishe ukoo wako tupo busy na kazi sasa tulishafanya maamuzi tarehe 28 na unayoyaona ndio matokeo ya maamuzi yetu
Haya Asante tusubiri kesho yamebaki masaa, ili hizo kazi zako uzifanye vizuri.
 
Waache kupiga watu kama wanajiamini na ushindi wao. Wamembambikizia kesi Mazrui kesi ya kitoto sana
 

Jussa na wenzie ni watu muhimu sana kwa sasa kulisaidia taifa kujua wametumwa na nani na malengo yao haswa ni yepi
 
Huyu ni Rais wa mfano na wa aina yake, hakika kura yangu nimeipiga sehemu sahihi kabisa.
LONG LIVE MAGUFULI
LONG LIVE MAGUFULI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…