Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Hayupo tayari kujifunza, ndiyo maana anatoa vitisho.Huu Uchaguzi unampa funzo kubwa Sana Magufuli kama ni mtu wa kujifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayupo tayari kujifunza, ndiyo maana anatoa vitisho.Huu Uchaguzi unampa funzo kubwa Sana Magufuli kama ni mtu wa kujifunza
Nilimpenda jamaa mwanzoni,ila alikuja kuni disappointe baadaye
Manguo ganiWe mzee upo kumbe na naona nawe umevishwa yale manguo yetu😂😂😂😂
Miaka mitano ya machungu zaidi inakuja
Dalili za mvua ni mawingu
Mboga mbogaManguo gani
Yaani unataka kusema alikumbuka mambo aliyofanyiwa miaka ya 80's? Na akaja kulipa kisasi? Na alimfanyia nini huyu jamaa?
Nchi yetu.tunampeleka ikulu kwa maamuzi yetu halafu anatutisha eti atatutelekeza na maendeleo hatupi.tena kwa kodi zetu wenyewe..yuko sawa huyu mzee?Ndiyo kuna kila sababu ya kuhakikisha huyo dhalimu harudi Ikulu.
Ni aibu kwa taifa...... Tunaonekana watz wote wajingaHe is a laughing stock yee mwenyewe ajiona mjanja
Nchi yetu.tunampeleka ikulu kwa maamuzi yetu halafu anatutisha eti atatutelekeza na maendeleo hatupi.tena kwa kodi zetu wenyewe..yuko sawa huyu mzee?
Yeye mwenyewe aliwahi kutuambia ali beep simu ika kataa kukatika. Means alijaribu na kweli imeligharimunTaifa. Rais mbaguzi wa kanda na kabila.Huko Magu, Dkt. Magufuli amesikia alitoa vitisho kwa wananchi baada ya kumkataa mgombea wa Udiwani kuwa akichaguliwa anawatelekeza wananchi.
Dkt. Magufuli amewaambia hawatishi, anawaambia ukweli kuwa wasipomchagua watajuta kisha akaendelea kuongea Kisukuma.
pumbafu hela za maendeleo wantoa ccm acheni ujingahawajatishwa bali wameelezwa ukweli.....maaana ccm ndio chama kinacho tawala....hivyo mkichagua wapinzania mtakuwa mmejimaliza wenyewe.......sahau maendeleo. bali mkitaka maendeleo chagua Rais wa Ccm Mbuge wa ccm na diwani wa ccm
Umewahi ona sehemu nmejitangaza mimi ni mshabk i wa chama cha siasa nioneshe? Tusivunjiane heshima tafadhliMboga mboga