Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utamkomesha wewe na mmeo au na nani mkuu??.Lissu tutamkomesha oktoba kwenye box la kura
dawa yenu ni akina inshomileLissu tutamkomesha oktoba kwenye box la kura
Interesting! Dar, Zanzibar, Kanda ya Ziwa kumbe wameshamkataa?Dar es salaam keshajionea isivyomtaka Yuko anaruka ruka mikoani
Tanzania maeneo matatu tu yanatosha kumshikisha adabu kujijua Sio presidential material kwa kushindwa kura
Kanda ya ziwa, Dar na Zanzibar Ni dose tosha kwake
Lisu akipata kura laki nne nifukuzwe jamii Forums
Cha ajabu ni nini hapo?
Kwani demokrasia ni kukubali kila kitu? Hivi ule mswada wa vyama vingi tungefuata demokrasia mnayoitaka ninyi ungepitishwa?
Yaani kwamba watu waliojitokeza kugombea ndani ya chama dhidi ya Mpango ni watu wajinga na wasahau kuhusu kupata nafasi kukitumikia chama au serikali! Hii ni akili au matope? Mbona mnakuwa wajinga hivi? Kuna watu ni wa ajabu sana!
Yaani huyu JPM tafsiri yake ya demokrasia anaifahamu yeye tu. Yaani yeye hakuna kitu kama competitive politics ndani na nje ya chama. Kama anataka hivyo ni kazi rahisi tu. Kwanza afute mfumo wa vyama vingi ibaki CCM tu. Pili abadili katiba ili yeye awe ndo anateua wabunge. Hakuna haja ya uchaguzi. Haya yote yako ndani ya uwezo wake.sasa naona sio kampeni tena ni kama ubabe tu
halafu hivi kwani nani alimwambia kila mtu analilia kuteuliwa na yeye?View attachment 1572549
siasa za ajabu san
Ndoto oh ndoto , ndoto ni nzuri sanaLabda kama itazoa senene tu maana kura zote anapewa mh Lissu
Kwa kumuweka nani?? Maana unatakiwa kwa na mbadala bora zaidi sio kuweka Yule anayosema muungano wetu ni batili wakati yeye ni mtu aliye somea sheria na muungano wetu hauna tofauti na uingereza, lakini sijawahi kusikia mtu wa England akienda Scotland na kuongea ujinga kama mgombea moja wa hapa kwetu.Tumekuwa na Rais wa hovyo kupata kutokea, yaani ana akili za chini sana. Wa Tz jamani mwaka huu ni mwaka wa ukombozi.
Huyu ako anasapoti domoghasiaAnasupport democrasia, ila hata watu wampinge. Sasa anamaana gani?
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Wahaya ndiyo kiboko yenu
Anampenda Mpango kwasababu ni mtu ambae ni wa kujipendekeza na mwoga. He is not professional, he will only tell JIWE what he wants to hear. The real professionals walikuwa Ndullu and Likwelile; hao walikuwa wanampa ukweli juu ya hali ya uchumi wa nchi na yeye hakuweza kumeza ikabidi warudi kushika chaki!
Unajua Jiwe anajicontradict sana katika mambo anayoongea.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Hata kwa wazungu hayo mademokrasia yenu hayazingatiwi kwa 100%
Huyu jamaa anajiona mungu MTU Yani. As if ndio Rais wa Kwanza tokea Dunia iumbwe. Anajiona ndo MTU mwenye last say kwenye ulimwengu huu yaani.
Aweweseke kwa sababu gani ? Kama ni uchaguzi tayari keshashinda.Hoja butu. Jiwe sasa ni dhahiri anaweweseka na kuweka udhaifu wake hadharani.