Mwana ccm gani bogus maandazi acha upambe bibiye.
TumainEL ana ushauri mbaya sana. Eti jamaa aamue aachane na kinyanganyiro....😅😅😅Huo ndiyo ukweli mtupu. Umemaliza kazi. Ni juu yake kuchagua mchele au pumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana ccm gani bogus maandazi acha upambe bibiye.
TumainEL ana ushauri mbaya sana. Eti jamaa aamue aachane na kinyanganyiro....😅😅😅Huo ndiyo ukweli mtupu. Umemaliza kazi. Ni juu yake kuchagua mchele au pumba.
Zamani tunaziita sindano za Ng'ombe yaani mfano wa zile za gauge namba 10 au ile spine needle😅😅View attachment 1585102jiwe Tulia dawa iingie lissu anatumia sindano za farasi
Kwa Afya ya Taifa huo ni ushauri sahihi. Jamaa aachane na kinyang'anyiro hiki.TumainEL ana ushauri mbaya sana. Eti jamaa aamue aachane na kinyanganyiro....😅😅😅
Eti aongee na wazee aachane kwa heri.Kwa Afya ya Taifa huo ni ushauri sahihi. Jamaa aachane na kinyang'anyiro hiki.
Utakavyoona
Lakino hakuna Cha kumtisha Magufuli
Nyie ndio mnadanganyana huko barabarani
Kwani tar 28 mbali
hakuna haja ya kubishana matokeo tutayaona
Kneel down please.Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
28 sio mbaliHakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
Huyo mwenzako yuko Lumumba kama wewe. Oyaa Magufuli kaanza kulegea sasa! Leo kapiga magoti kule Njombe! Suruali imeanza kumvuka!Hata Mimi nashangaaa
Sijui mwenzetu yuko mtaa gani
UchuroView attachment 1585078
Hii ni historia
Sema Baba lako🚮🚮🚮🚮Hakuna ugumu wowote
Woga wako tu
Sijaona was kumtetemesha Magu
Na anaishhi mioyoni mwetu
Magufuli babalaooo
Kutokubali ushauri kwa walio karibu yake madhara yake ndio yanaonekana sasa.Haya mlitakiwa kumshauri toka 2016.
Hali ilivyo asidhani vyombo vya polisi na usalama vitamuokoa. Itafika kipindi hata hao wanaompa kibri watajitoa. Watagawanyika maana ukweli uko wazi
Kweli Rais ili ajaze wafuasi mpaka awasombe kwa mabasi?? Kwamba Wananchi hawawezi kuja wenyewe? Yaani mpaka walipwe? Kwanini wanaanchi wamekuwa na hasira dhidi yake kiasi hiki?
Wakati CCM inalipa na kubeba wahudhuriaji Tundu lisu wahudhuriaji ndio wanaomchangia pesa.
Hali ni tete!Style za makonda za kujiliza liza mbele za watu.
Najiuliza hivi Rais magufuli aliwaza nini yaani mpaka akafikia stage hii?? Je ni stress?? Ni kukata tamaa??
Ila sidhani Magufuli ni wa kuchukiwa na watu hapa iko shida wananchi wengi wamekichoka chama yaani kama magu wamemfanyia hivi ,magu huyu ambaye tulikua tunajua ni mkombozi wetu ,leo kafanana na ccm halisi hakika nauona mwisho wa ccm hauko mbaliMh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.
Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.
Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.
Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.
Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.
Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.
Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.
Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?
Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.
Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Sijaona spana malaya hapo!!Tuna spana za kutoshaa.mtu lazima aondoke chamwino.kesho hasipo lala chini kuomba kura sijui tuView attachment 1585080
SUBIRI KIDOGO
Walianzisha uzi wa Kutaka membe awavushe leo uko Wapi, Jukwaa la Siasa JF ni jukwaa la ovyo kabisa kupata kutokea limejaa Propagandists ambao wanajifanya ni Upinzani haswa ile hali wako nyuma ya keyboard hata kutumia Real identity zao wameshindwa ni Majasiri haswa katika fake ID ila ni wepesi zaidi ya nyoya,Hapo hata mi nashindwaga kuelewa haya mambo nayaonaga JF tu mtaani hamna kabisa ila ukifungua JF [emoji23][emoji23] utasema nchi imepinduliwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni.
Hawa aliowaambia kuwa wwnawashwa?Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.
Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.
Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.
Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.
Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.
Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.
Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.
Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?
Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.
Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.