Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli ongea na wazee, wakuu wa Taifa! Sioni mwisho mwema kama nabii

Kama hakuna cha kumtisha basi asingeiogopa Tume Huru inayokubalika na vyama vyote pia na Watanzania wanaojitambua Tume Huru ambayo hata marehemu Mkapa aliipigia debe na pia kutaka kura zihesabiwe hadharani kitu ambacho huyo anayejiita KICHAA pia anakihofia.

Utakavyoona
Lakino hakuna Cha kumtisha Magufuli
Nyie ndio mnadanganyana huko barabarani
Kwani tar 28 mbali
hakuna haja ya kubishana matokeo tutayaona
 
Magu kakamatwa pabaya hadi anaomba kura kwa kupiga magoti nimeshangaa Sana hulka ya Maghufuli siyo ya unyenyekevu hivyo,ana hali mbaya na zaidi amezungukwa na wanafiki wengi na miongoni mwao hawatompigia kura.
 
Haya mlitakiwa kumshauri toka 2016.

Hali ilivyo asidhani vyombo vya polisi na usalama vitamuokoa. Itafika kipindi hata hao wanaompa kibri watajitoa. Watagawanyika maana ukweli uko wazi

Kweli Rais ili ajaze wafuasi mpaka awasombe kwa mabasi?? Kwamba Wananchi hawawezi kuja wenyewe? Yaani mpaka walipwe? Kwanini wanaanchi wamekuwa na hasira dhidi yake kiasi hiki?

Wakati CCM inalipa na kubeba wahudhuriaji Tundu lisu wahudhuriaji ndio wanaomchangia pesa.
Kutokubali ushauri kwa walio karibu yake madhara yake ndio yanaonekana sasa.
Kutoa kauli zenye maudhi kwa kujua au kutokujua(mfano"wastaafu wengine wana kiherehere").
Watu ambao wangemwambia ukweli watakuwa wanasitasita kumpa ukweli,kwa sababu ya kutotabirika kwake.(mtoa ushauri waweza kugeuziwa kibao).
 
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.

Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.

Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.

Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.

Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.

Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.

Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.

Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?

Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.

Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Ila sidhani Magufuli ni wa kuchukiwa na watu hapa iko shida wananchi wengi wamekichoka chama yaani kama magu wamemfanyia hivi ,magu huyu ambaye tulikua tunajua ni mkombozi wetu ,leo kafanana na ccm halisi hakika nauona mwisho wa ccm hauko mbali
 
Hapo hata mi nashindwaga kuelewa haya mambo nayaonaga JF tu mtaani hamna kabisa ila ukifungua JF [emoji23][emoji23] utasema nchi imepinduliwa
Walianzisha uzi wa Kutaka membe awavushe leo uko Wapi, Jukwaa la Siasa JF ni jukwaa la ovyo kabisa kupata kutokea limejaa Propagandists ambao wanajifanya ni Upinzani haswa ile hali wako nyuma ya keyboard hata kutumia Real identity zao wameshindwa ni Majasiri haswa katika fake ID ila ni wepesi zaidi ya nyoya,

Magufuli is there to stay
Mitano Tena uhakika
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Najaribu kuona hiki ulichokiandika huku mtaani lakini sioni.

[emoji1319][emoji1319]
Ukweli ni kua Mafuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania na kuna hatari ya ku-mpiku Baba wa Taifa.
Haiwezekani kina mama waliosogezewa maji karibu wakamsaliti , wagonjwa wanahudumiwa vzr na madaktari na manesi wenye nidhamu na wanaojali leo wakasahau kua Magufuli ndie alieleta nidhsmu kazini ,mimi kwangu nitampa KURA kwa umakini na UJASIRI wake uliokomesha kabisa UJAMBAZI nchini. Hata asingejenga barabara wala reli yoyote bado anastahili HESHIMA kwa kupewa kura nyingi kwa sababu ya kusimamia AMANI , leo mabasi yanasafiri saa 24 na hskuna uporaji hata kanda ya ziwa na kule Kigoma na Tabora ilikua mabasi yanaporwa hata kama yamesindikizwa na Askari wa polisi mwenye silaha !
MAGUFULI TUPO PAMOJA ‘MITANO TENA NI LAZIMA’
 
Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani Ikirudi Zizini Wenzake Watajua Hana Mkia.
Naona Sasa Hivi, Ngano Na Magugu Yaliyoota Pamoja Yanakwenda Kuonekana Wazi Wazi.

Muda Ni Mchache Sana Hautoshi Kumeza Mate
 
Mh Rais, pole kwa mihangaiko ya kupiga kampeni ila nina neno moja juu yako usiku Waldo nalo ni siri japo sio Siri baada yakuandika hapa.

Hali inayoendelea hata tukiwa wanafiki na kuwa tumekunywa maji ya bendera mwisho pumzi zitakata na zikikata mashambulizi yatakuwa makali zaidi kuliko wakati huu tuna nguvu.

Asikudanganye mtu, hali sio hali, yani hata kama ni kwa goli la mkono, ila mtiti huu utakusumbua katk awamu yako ya pili kiasi utahisi kila mtu ni msaliti.

Kuna hali sio ya kawaida huku uraiani, yani watu wamejawa na machungu kiasi hawana pa kupumulia ila tu 28.10.2020.

Majeshi na idara za usalama hawatoweza kudhibiti hili vuguvugu na wakiweza basi watu wengi watakuwa silence jambo litazidi kuibuwa vuguvugu jingine baya zaidi, jambo litazigawa idara zako za ushauri.

Uongozi ni kuacha alama na ili ufanikiwe kubali yaishe, kaa na waliokuweka vua urais wako omba ushauri Ila kumbuka shida ipo nyingine Nani wakukupa honest feedback kwa aina ya uongoz wako mkali sana Mzee wangu hapa tafuta MTU tu akusaidie upewe honest feed back japo sijui kama utaipata Mungu akusaidie.

Pamoja umefanya yote mazuri Ila trust me umeshindwa ishi mioyoni mwa Watanzania. Embu jiulize why? Umeme umetadanza kama uyoga, maji kama yote, mahospitali kama yote, madege, reli.

Yani hakuna mahali hujagusa, umefanya mambo makubwa sana ila umeshindwa kula na kipofu, sasa kipofu kapata kipofu aliewahi kuona hapo zamani Ila baadae akawa kipofu. Amewaambia vipofu wenzake huko sio, hiyo njia sio, wamemwamini ani ni shida ukiweka Jiwe na Magi watu wanapigia Kura Jiwe. Why umesahau wakolon walitupa shanga Sisi tukawapa madini?

Ona sasa mziki huu jamaa Hana bango Hana vyombo vya habari Ila ameteka nchi kweupe.

Waite wazee wakushauri maana najuwa uchaguzi huu hautokuwa Rahisi kama tunavyodhani.
Hawa aliowaambia kuwa wwnawashwa?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom