Mkuu wa mkoa alifukuzwa kazi kisa mkoa wake ni wamwisho kupata makusanyo ya vitambulisho vya wamachinga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tunasoma bangi zenu aisee, kwan mmesahau kua nyie ndo wachangishaji wakubwa mpaka leo hatujui ruzuku znaenda wap, pesa za wanachama zmeenda wap, na mkaona haitoshi mmeanza changisha wananchi, hatujui pesa mnapeleka wap mjue
Ccm ya bashiru imekuwa kama muslim brotherhood
Tatizo ni kutofuata sheria, sheria iko wazi mzunguko chini ya 4milioni hawatozwi kodi, ni jukumu lako kusimamia hili, sio hadi wakupe 20k ndio uwalinde! Kama unaona wanastahili walipe kodi peleka mswada bungeni hila sio taratibu hizi ambazo hazina baraka zozote!Ameanza kunena kwa lugha sio
Mkuu wa mkoa alifukuzwa kazi kisa mkoa wake ni wamwisho kupata makusanyo ya vitambulisho vya wamachinga
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Maana kisasi kitakuwa sio Cha kawaidaHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Kwani hujui kama hizo pesa twataka jenga uwanja mkubwa wapira chato badala ya kumaliza uwanja wandege chato na kununua ndege 11 ambazo pesa zake wala mswaada haukupitishwa bungeniaisee ni mara mia hawa wanaochukua vya wamachinga, hata kama watazila ila wamachina watajua wana cha kujitetea, ufipa sasa pesa znapigwa kuanzia ruzuku, michango ya wanachama na saaahv mna mwendo mpya wa kuchangisha wananchi ila matumizi ama unafuu wa hizo pesa hatuzioni, yaani ni anakula na hakuna kupuliza
Kwani hujui kama hizo pesa twataka jenga uwanja mkubwa wapira chato badala ya kumaliza uwanja wandege chato na kununua ndege 11 ambazo pesa zake wala mswaada haukupitishwa bungeni
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Sijui wenzangu mnaonaje ila mie naona Kama Jiwe ameshachanganyikiwa na Lissu 😂😂😂😂Yeah, ameyasema hayo muda mfupi uliopita huku akisisitiza elimu itolewe juu ya suala hilo.
Ni katika mfululizo wa kujibu Tundu Lissu.
Nakumbuka kina Ally Hapi walijiapiza kuwa hawajajiandaa kushindwa kumaliza vitambulisho walivyopewa wawakabidhi wafanya biashara ndogo ndogo kwa malipo ya fedha halali shilingi elfu ishirini tu za kitanzania kwa mwaka.
My take!
Wakuu, kama tutakuwa serious kweli basi hili suala la vitambulisho vinavyolopiwa Tshs. 20000 ni wizi mtupu maana hiyo kodi haina draft yoyote kisheria! Yani hata ukienda mahakamani au bungeni hayo malipo hayatambuliki kisheria! Huu ni wizi wa mchana kweupe.
Mbaya zaidi wala haijuilikani inakoenda, mahesabu yake, ukaguzi wa matumizi yake. Yani ni mambo ya hovyo hovyo tu ya uongozi wa ufalme.
Sijui Bunge la Ndugai tulililipa ili liifanyie nini nchi. Huyu Spika Mungu atakuja kumpa funzo maana hakuwahi kulinda hadhi ya bunge lake!
Mkuu ufafanuzi mwingine tena[emoji848]Ha ha haa! Asante sana kwa kunikaribisha kwenye uzi huu. Naona ni badika bandua. Ufafanuzi, utafuata Mkuu.
VP marahii munataka kumpiga risasi lema nini ??punguza jazba! kuna mengi yanakuja kabla uchaguzi haujafika, kama una presha kajifungie sehem kwanza
YaaniSasa atakataza hata wabunge kufanya mikutano kwenye majimbo yao. Yaani hizo hotuba zake sitaki kusifikiria zitakavyokuwa.
Siyo kama kila mwenye kichwa kikubwa anakili timamuSijui wenzangu mnaonaje ila mie naona Kama Jiwe ameshachanganyikiwa na Lissu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa jinsi alivyokuwa anatoa amri mchana kweupe kuwa wamachinga lazima wapewe vitambulisho na akawapiga biti mbaya sana wakuu wa mikoa kusimamia siamini kama leo amezungumza haya [emoji23][emoji23][emoji23]
Kushinda hilo haliwezekani kamwe, labda zungumzia akitangazwa kashinda hapo ndipo kimbembe kitaanziaHuyu Magufuli akishinda urais,watanzania wenzangu tujiandae kulia.
Mleta mada ndio anajua hilo leo,
Chadema wanachelewa sana kuelewa mambo,
Jambo linafanyika awamu ya nne wanakuja lielewa awamu wa tano,
Hata anayoyafanya sasa Magufuli watakuja muelewa awamu ya sita, mifano ipo mingi ni jambo la kuwavumilia tu hawa wapinzani tulionao kwani wanachelewa kuelewa mambo.
Nyie ni mtu mmojakama vle tunajua michango ya wabunge, ruzuku na saaahv wameanza kuchangisha wananchi pesa wanapeleka wap