TANZIA Dkt. Masumbuko Lamwai afariki dunia

SELASINI JANA KASEMA HAKUNA MBUNGE ALIYEKUFA KWA KORONA ...NI UMBEA ....

NAONA ANAHOJIWA NA EATV YUKO BUSY KUSEMA NDUGU YAKE KAFA KWA MALARIA KALI ..... JAPO HAPO HAPO NDUGU WANASEMA YEYE HAHUSIKI CHOCHOTE KWAKUA ALIKUWA HAONGEI NA KAKA YAKE .....KWANINI AJE KUWA MSEMAJI WAKE AKIWA HAYUPO ..ANGEITAFUTA AMANI AKIWA HAI
 
Lamwai alikua ni jembe katika kumtoa mtu mchezoni...cross examination, kichwa cha kesi za jinai.
 
Kwa heri Masumbuko. Tutakukumbuka sana sisi marafiki zako. Tangulia na RIP. Amen.
 
Kipindi hicho mahakama zilikuwa na uhuru kiasi na siyo kama sasa. Hawa majaji wa sasa sidhani kama wanathubutu kuwa huru kiasi hicho.
 
Kutokana na maelezo ya mbunge wa Rombo mheshimiwa Selasini ya kwamba Masumbuko Lamwai ni Tumbo moja wana share baba na mama.

Je kwanini aliitwa Masumbuko Lamwai bila kutumia Selasini nahisi ndio jina la ukoo wao?

R.I.P mwalimu Masumbuko Lamwai.
Pengine ni kam Mwigulu nchemba, kukariri madarasa.
 
Pole kwa familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi Lamwai simuoni kama shujaa bali namuona kama msaliti aliyepaswa kufungwa jiwe la chumvi na kutoswa baharini toka zamani sana.

Kuanzia mwaka 2000 mpaka 2020 Lamwai hakuwa na mchango wowote wa maendeleo ya watanzania zaidi ya kudidimiza maendeleo ya watanzania chini ya mwamvuli wa CCM.

Kwa tunaofahamu mambo tunaelewa mchango mbovu wa Lamwai katika kuharibu hii nchi.

Ukweli tuuseme jinsi ulivyo.
Poleni wafiwa
 
Take it easy mzee. Tupo wengi wenye umri mkubwa, lakini inapofika kwenye malumbano, hapo inakuwa kitu kingine.

Napata wakati mgmu sana. Unakuta unamtukana mjukuu wako maana amekutukana, loh vinaniumiza roho
 
RIP Lamwai

Wakati anaota Lecture kwenye Jengo la Faculty of Law (wakati huo), ilikuwa mtu unaweza kukaa pale darajani kutokea bookshop na kuchukua notes. Alikuwa ana sauti ya juu kweli kweli.
Yeah jamaa alikuwa hata hatumii mic pale lecture thearter 1or 2 lakini alikuwa anasikika hadi nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…