Mbona nilisikia eti wameachana wamebaki kulea watoto na bibie yupo na mzungu mara nikaja kushangaa anachamba michepuko snapchatNa ana moyo jamani.. Nilijuaga after video ya Kinje na Tunda na kule kumchamba Ade snapchat ingekua ndo bye bye juzi naona mtu kawapost Kinje na Anita nikasema eeeh baba ukinipa mume nipe moyo wa kujitambua na kujithamini mimi kwanza
Ndo watu wanalijua mama. Kama Jojo watu hawajuagi kama Jo nyingine ni ya Mnyika
F I ni fideline iranga.Baby
f...i ni nani ?
Kwelimaisha hayana mbabe wala mjuzi siku zote
na mji huwa haukawii kumtema mtu anytime
Hata mimi nilijuwa ndio jina lake,mimi kama ndio ningekuwa nimemwoa nisinge kubari mtu anatumia jina alipeanaga na mtu wake huko.Nilikuwa najua ndo jina lake [emoji23][emoji23],sasa kwanini kaendelea kulitumia wakati kaolewa
[emoji106]F I ni fideline iranga.
acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
acha nipitie files zangu kwanza halafu nitakuja na jibu.yale magari yake yaliyokamtwaga yaliishia wapi?
Jina la Kiki limekua brand mkuu hawezi kuliacha tu kisa ndoa sasa hivi..Hata mimi nilijuwa ndio jina lake,mimi kama ndio ningekuwa nimemwoa nisinge kubari mtu anatumia jina alipeanaga na mtu wake huko.
😂 😂 😂 😂Hata mimi nilijuwa ndio jina lake,mimi kama ndio ningekuwa nimemwoa nisinge kubari mtu anatumia jina alipeanaga na mtu wake huko.
Ndo nashangaa ,uyo mume wake nae vipiHata mimi nilijuwa ndio jina lake,mimi kama ndio ningekuwa nimemwoa nisinge kubari mtu anatumia jina alipeanaga na mtu wake huko.
poa poaacha nipitie files zangu kwanza halafu nitakuja na jibu.
Hivi kuna mtu amekula bata awamu ya kwanza?Awamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Tupo wengi tuHivi kuna mtu amekula bata awamu ya kwanza?
F I ni fideline iranga.
acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
Hata watoto wa Kambarage bata walilisoma kwenye novel 😂Hivi kuna mtu amekula bata awamu ya kwanza?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kijanja saanaHivi mh. Rage yuko wapi siku hizi!
ZHiyo ya kunyonya ninasikia yule dada aliyeliliwa na boss R ni mtaalamu sana. Hata boss R alidata.
Hii style kali[emoji23] [emoji23]kuna pini moja alikuwa anaitwa fide iranga...where is she?