makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Natamani kuwa naizifungua hizi code ila shida mpenzi wa kusoma na mvivu wa kuandika andika.F I ni fideline iranga.
acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
Kumbe mange alitikisaga toka zamani,sio mchezo nimejua juzi tu kwenye mainstergram....hebu endeleeni kutufungua macho wazee..Mbona wa madongo kuinama nimeelewa !!!!... Tabu sio kufika mjini ila ni kuyafuatilia ya mjini. Fide alikuwa maarufu kwa sababu ya kuwa model kibonge plus alikuwa video vixen pia hivyo, kwa mtu aliyekuwa anafuatilia ya zamani bhasi alimjua mange, tausi likokola, shose, senche,sintah, magesse, miriam ikoa, odemba, mercy galabawa n.k ambao ndo walitikisa kitambo kabla ya kuanza new reign ya madam sepenga na watu wake km uwoya wolper na wengineo
Awamu ya kwanza sio.... Enzi hizo kila mtu alizima sigara au alitulizwa..Angalau kuanzia ya pili, hata ya pili ilikuwa bado..Sana sana ya tatu na nne.. Upepo wake ulisha alivyoporwa demu ...Awamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Aaah wapi.. mzungu walishindwana naona. Wapo bado na mumeweMbona nilisikia eti wameachana wamebaki kulea watoto na bibie yupo na mzungu mara nikaja kushangaa anachamba michepuko snapchat
duuh ww hatari , hiyo code nimeisoma .... yule asaliHiyo ya kunyonya ninasikia yule dada aliyeliliwa na boss R ni mtaalamu sana. Hata boss R alidata.
Weeee. Mange katikisa sana. Na wao walikua na kundi lao kama walivyo kina Jack na Faraja sasa hivi.Kumbe mange alitikisaga toka zamani,sio mchezo nimejua juzi tu kwenye mainstergram....hebu endeleeni kutufungua macho wazee..
😂 😂Natamani kuwa naizifungua hizi code ila shida mpenzi wa kusoma na mvivu wa kuandika andika.
Daahhh Mange angetulia na siasa asee angekuja kuwa mtu mkubwa sana ila ndio hivyo asili yake ya U-turn ndio inammaliza. Anapenda sana udaku lakini yupo vizuri upstairs. By the way kuna marafiki zake kama mwamvita sidhani kwa sasa wanaeza kaa meza moja maana ni different levels. Mange angefanya kutulia tuWeeee. Mange katikisa sana. Na wao walikua na kundi lao kama walivyo kina Jack na Faraja sasa hivi.
Na kundi lake karibu wote sasa hivi akijiskia kuwachamba anawachambaaaaaa maana sio mashoga zake tena alishagombana nao
Mange akili ipo kweli sema mdomo unamkwamisha. Sio mtu anaejua kunyenyekea atimize shida yake.Daahhh Mange angetulia na siasa asee angekuja kuwa mtu mkubwa sana ila ndio hivyo asili yake ya U-turn ndio inammaliza. Anapenda sana udaku lakini yupo vizuri upstairs. By the way kuna marafiki zake kama mwamvita sidhani kwa sasa wanaeza kaa meza moja maana ni different levels. Mange angefanya kutulia tu
Alimzingua mbaya hasa ile issue ambayo ilimuhusisha january. Yote kwa yote ila Mange alikuwa ashapata coverage kubwa yaani hadi international communities zilianza kumnotice yaani angeplay vizuri tu na kujibrand kiaharakati, watu wangeshangaa anaanza kupata coverage za platforms kubwa kubwaMange akili ipo kweli sema mdomo unamkwamisha. Sio mtu anaejua kunyenyekea atimize shida yake.
Mwamvita kwa yote Mange amemfanyia sidhani kama ataweza kukaa nae meza moja labda Mange amuombe msamaha. Na yule mpare alivyo kiburi sidhabi kama ataweza
Kuna miss mmoja aliitwa Mbiki Msumi,, yukwapi?Mbona wa madongo kuinama nimeelewa !!!!... Tabu sio kufika mjini ila ni kuyafuatilia ya mjini. Fide alikuwa maarufu kwa sababu ya kuwa model kibonge plus alikuwa video vixen pia hivyo, kwa mtu aliyekuwa anafuatilia ya zamani bhasi alimjua mange, tausi likokola, shose, senche,sintah, magesse, miriam ikoa, odemba, mercy galabawa n.k ambao ndo walitikisa kitambo kabla ya kuanza new reign ya madam sepenga na watu wake km uwoya wolper na wengineo
ngumu sana kwa sasa itabidi aendelee tu na hiki alichokianzishaAlimzingua mbaya hasa ile issue ambayo ilimuhusisha january. Yote kwa yote ila Mange alikuwa ashapata coverage kubwa yaani hadi international communities zilianza kumnotice yaani angeplay vizuri tu na kujibrand kiaharakati, watu wangeshangaa anaanza kupata coverage za platforms kubwa kubwa
Mwamvita level nyingine aiseeDaahhh Mange angetulia na siasa asee angekuja kuwa mtu mkubwa sana ila ndio hivyo asili yake ya U-turn ndio inammaliza. Anapenda sana udaku lakini yupo vizuri upstairs. By the way kuna marafiki zake kama mwamvita sidhani kwa sasa wanaeza kaa meza moja maana ni different levels. Mange angefanya kutulia tu
Yupo.. aliolewaga na Hussein BasheKuna miss mmoja aliitwa Mbiki Msumi,, yukwapi?
Hahahahaaaaaangumu sana kwa sasa itabidi aendelee tu na hiki alichokianzisha
Kumbeee,, black flan iviiiii,,,Yupo.. aliolewaga na Hussein Bashe
mmmh usikute we ni Abdiel au Regina tuwekane wazi wazee.....hahahahhahhahaDuh, hii post nai-screenshot kabisa niisevu kwenye Google Drive.
It means a lot to me.
So humbled, ubarikiwe.
mmmh usikute we ni Abdiel au Regina tuwekane wazi wazee.....hahahahhahhaha
mmmh usikute we ni Abdiel au Regina tuwekane wazi wazee.....hahahahhahhaha
Kama ilivyo Jojo enzi za Jo MnyikaKiKi = Kinje & Kisa. Watu mpaka wanajua ndio jina la dada designer kumbe walaaa