Alivyokuwa na mahusiano na madam alifika kabisa, ikawa anaenda kwa madam kama kwake na wakati huo alikuwa hajatengana na mama Mercy (R.I.P) mama akawa anamlia timing baada ya kujua hyo siku mzee ameenda kwa madam mama nae akaingia mzee akatokea mlango wa nyuma akapanda ukuta akaruka huyooooo...kakimbia.Hebu tupe hiyo ya kuruka ukuta
Kwani madam Rita na mengi mahusianao yao yalikuwa siri zamani? Alienda kwao kusalimiaHuko Karagwe ndio kwakina huyo madam?na alikwenda na hiyo helicopter kufanya nini kumchukua au ni jambo gani lilimpeleka huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta nauli njoo mjini utamjua
Alinyang'anywa na mzungu sio DR.. kwa hiyo alikuwa na hasira nae labda akawa anamtishia, bibi akaomba msaada hunda, ila machache agombee demu never, angeanza kwa madam basi maana pale alifika mpaka kuruka ukuta si mchezo.
Duuh hatari sana [emoji23][emoji23][emoji23]Alivyokuwa na mahusiano na madam alifika kabisa, ikawa anaenda kwa madam kama kwake na wakati huo alikuwa hajatengana na mama Mercy (R.I.P) mama akawa anamlia timing baada ya kujua hyo siku mzee ameenda kwa madam mama nae akaingia mzee akatokea mlango wa nyuma akapanda ukuta akaruka huyooooo...kakimbia.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]F I ni fideline iranga.
acha wajisumbue kuandika kwa kwa code....mimi kazi yangu itakuwa ni ku-decode kila neno.
wasidhani ni wao tu ndio maboni town kitambo. sisi wengine ni maboni town hasa ila tumetulia tuli tunawachora.
Killy JangaAnaitwa Killy J.
Ila mbona bangi sio mbaya nyie watuNa alikua anacheza pool mbaya mnoo!!!bangi alikua anatumia mbona
Huu moshi mkubwa vipi na wewe huwa unatumia?Ila mbona bangi sio mbaya nyie watu
Nah... nimesema tuuHuu moshi mkubwa vipi na wewe huwa unatumia?
😂 😂 😂Alivyokuwa na mahusiano na madam alifika kabisa, ikawa anaenda kwa madam kama kwake na wakati huo alikuwa hajatengana na mama Mercy (R.I.P) mama akawa anamlia timing baada ya kujua hyo siku mzee ameenda kwa madam mama nae akaingia mzee akatokea mlango wa nyuma akapanda ukuta akaruka huyooooo...kakimbia.
awamu hii untouchable wa dar ni nani?Awamu ya kwanza na ya pili hata ya tatu alikua Prince wa Dar untouchable
Jibu unalo au unataka nitekwe kama Mdude?awamu hii untouchable wa dar ni nani?
Angel damasBaada ya Jack 2000, series imenipotea hapo mpaka kufika kwa Sema 2006.
Yuko huko na kina Faraja, Happy Magese, kuna mmoja kama chotara then yeye.
Jibu unalo au unataka nitekwe kama Mdude?
Kabisa mkuuAnataka kukuletea shida ushindwe kula ugali na matembele yako kwa raha.
Tumekula nae sana Ganja pale Mabibo Hostel enzi tunapiga chuoAlikua anakula fegi huyo Miss na wajuvi wa mambo walikua wanasema hata msuba alikua anamoka