Why?Mungu hatamsahdia
Nilipata demu kupitia hichi kipindiLove story,kutafuta marafiki
YametimiaaaPamoja na maombi yetu haya lakini kwa hospital zetu za Tanzania ukishafikishwa ICU.... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
We boya kweli, sasa kafa umefurahi? Au we ndo uliyemloga?Mungu hatamsahdia
Inakuwa kama ilivyo!!! Rip misanyaPamoja na maombi yetu haya lakini kwa hospital zetu za Tanzania ukishafikishwa ICU.... [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ni kweli mkuu, lakini si unajua sisi tulio zaliwa huku nyalugusu tv na radio hadi uende ukatenge kwa mjumbeInabidi utoe Shikamoo inaonyesha wakati anatangaza ulikua bado unanyonya
Ukishajua, alafu sema mimi usihusishe watu wengine hizi akili za kimaskiniAlikua Anaumwa Nini?
Wabongo Kama Kawaida Yetu Kutaka Kujua Ugonjwa
Alikua yanki badoKuna wimbo flani wa Fid Q anamtaja huyu Bingi, kuna mwenye picha yake,
Get well