Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshatwaliwa mkuu!Mkuu acha uchuro!
Mwenyezi Mungu amjaalie, aponeWadau za Jioni, Aliyewahi kuwa Mtangazaji Maarufu wa Radio One enzi hizo. Misanya Bingi Anaumwa baada ya kupata na Stroke na kupelekea kulazwa katika Chumba cha uangalizi maalum Muhimbili. Wadau Tumuombee.
Jumamosi mtaa wa Mangoma na DJ JD au DJ SOS BIZZO...A.K.A ES TO THE O TO THE ES TO THE B!!Acha bwana badae sa 6 unakutana na DJ ommy
RIPNamkumbuka kwa RnB za nguvu alizokuwa anapiga kwenye vipindi vyake pale Radio One stereo!!
mkuu wewe ni nomaMungu hatamsahdia
Maskini Ameshatwaliwa na MunguMwenyezi Mungu amjaalie, apone
RIP MISANYA BINGITaarifa nilizozipokea hivi punde...
NDUGU JAMAA NA MARAFIKI NDUGU YETU DR MISANYA BINGI AMEFARIKI USIKU HUU.TUMUOMBEE. MSIBA UKO MAKONGO JUU.
RIP DR.MISANYA BINGI.
RIP Misanya.RIP MISANYA BINGI
DuuuTaarifa zinazosambaa..
Hatunaye tena[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Huyu hapa mwalimu wangu wa social researchKuna wimbo flani wa Fid Q anamtaja huyu Bingi, kuna mwenye picha yake,
Get well
Mganga hajigangi.Mpe heshima yake Anaitwa Dk.Misanya Bingi.ugua pole Dk.Bingi
Rose Chitala mkali sana kwenye stori za usiku ktk kipindi cha chombeza time.Akiwa na rose chitala