Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Dkt. Modestus Francis Kipilimba: Wasifu wake

Mkuu umeonaa!watu wanataka mtu aliyeshapitia mafunzo ya kijeda,ashapigana,vita,ser n'a blak belt,ashaenda sana kwenye course cuba,Israël,marekani,north korea....awe ngangali......Kama putinnn

Ova
sikuhizi hayo siyo muhimu sana eti TISS sharti ujue ngumi,

wanaotakiwa kujua kareti ,mateke etc ni wale watu wa legwork a.k.a field,sasa mtu wa ofisini kungfu za nini.?
 
sikuhizi hayo siyo muhimu sana eti TISS sharti ujue ngumi,

wanaotakiwa kujua kareti ,mateke etc ni wale watu wa legwork a.k.a field,sasa mtu wa ofisini kungfu za nini.?
Wanasahau kuwa ulinzi wa sasa umekuwa wa kitaalam zaidi. Ni teknolojia ndiyo inayotumika na huyu aliyeteuliwa ndiye mtu sahihi
 
sikuhizi hayo siyo muhimu sana eti TISS sharti ujue ngumi,

wanaotakiwa kujua kareti ,mateke etc ni wale watu wa legwork a.k.a field,sasa mtu wa ofisini kungfu za nini.?
Waangalie Wakina putin n'a mkuu wa mossad
 
Wanasahau kuwa ulinzi wa sasa umekuwa wa kitaalam zaidi. Ni teknolojia ndiyo inayotumika na huyu aliyeteuliwa ndiye mtu sahihi
Sijapinga cv yake Ila aongeze na sifa zangu nlizozitajaaa ......

Ova
 
Kuna Watu fulani walidai ametoka kule kwenye senene wengi
 
Ana degree ya nini..?,computer knowledge,
computer science,computer engineering au computer maintenance?
Hahaha, yaani hili jukwaa burudani kwelikweli! By thevway inakuwaje bosi usalama wa taifa hana mafunzo ya kijeshi, na kiusalsma kwa ubobezi kabisa? Au kuwa na utaalamu wa usalama wa computer dystems inatosha?
 
Mkuu, uliwahi kuona mtu anaelezwa wasifu wake wa ki TISS TISS? Binafsi sijawahi kuona hata siku moja. Hata huyu aliyemaliza muda wake naye sikuona wakati anateuliwa kushika wadhifa huo
Ni kweli usemayo lakini kwa upeo wangu mdogo alifaa ateuliwe miongoni mwa waliokaa kwenye idara hiyo na waliokubuhu ktk masuala ya upelelezi hasa ktk nyanja za kimataifa
 
Hvi dr huwa unakuwa umesoma sana au unaakili sana?
Maana hizi concepts naona wengi wanazitumia interchangeably
 
Angesomea intelligensia,cuba,usa uingereza na israel angekuwa na mauzoefu ya mosad,fbi na cia mi 6 and mi 5,ma kgb mwanawane ningemuona willy gamba lakin hapa mmmhh
 
Back
Top Bottom