Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima hana lolote kwanini hakumuombea mwendazake mpaka akafa kwa corona?Serikali ina hoja za kimwili zenye uthibitisho wa kisayansi, Mch. Gwajima ana hoja za kiroho tena mbele ya waumini wake. Sasa hapo hapo mambo ya kidunia na ya kiroho yanapatana vipi!?
Actually anachotakiwa kufanya ni ku print ile fact sheet ya manufacturer ya hii chanjo ya Jensen. Ipo public kwenye website ya FDA. Kule wako wazi sana kuwa haijapitishwa na FDA, haijulikani inamlinda mtu kwa muda gani na iko kwenye clinical trial (japo hii wamejaribu kuificha kwenye wording).Hahaha!!!
Nao serikali wataulizwa swali dogo tu, wathibitishe kama katika huo muda tajwa na Gwajiboy, hizo chanjo hazina madhara...
Nakuombea sana uwaze kazi na shughuli za kujenga uchumi wako na wafamilia yake.Sukuma gang naona mpo kazini ili kuliimarisha kundi lenu
Msikilize vema GwajimaActually anachotakiwa kufanya ni ku print ile fact sheet ya manufacturer ya hii chanjo ya Jensen. Ipo public kwenye website ya FDA. Kule wako wazi sana kuwa haijapitishwa na FDA, haijulikani inamlinda mtu kwa muda gani na iko kwenye clinical trial (japo hii wamejaribu kuificha kwenye wording).
Pili apate copy ya form ya chanjo awaulize kwa nini liability iko kwa mchanjaji?
Corona inatibikaNakuombea sana uwaze kazi na shughuli za kujenga uchumi wako na wafamilia yake.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kwani wasukuma wanasemaje kuhusu wewe kuthibitisha usukuma wakoHuyu jamaa anatuaibisha Wasukuma.
Anaweza kumpa pigo moja Moleli asirudie tena kelele zake, yeye anaiita "single touch double manifestation"Nachojua ni kuwa ni mfuasi wa masheitwan
Ni uendawazimuAnaweza kumpa pigo moja Moleli asirudie tena kelele zake, yeye anaiita "single touch double manifestation"
View attachment 1894810
Serikali mmemchelewesha sana.Naibu Waziri wa Afya Dkt. Mollel amesema kuwa mchungaji Gwajima sasa kapitiliza kwa kuwapotosha Watanzania.
Kwa ufupi pitia kwenye bandiko lake hapa chini ili kujionea alicho ongea.
View attachment 1894702