Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Shahidi wa kwanza ni yule aliyekuwepo kwenye tukio.

Dereva lazima akamatwe aeleze
Wangekufa wote nani angekuwa shahidi. Sitaki kuamini kuwa polisi wetu ni makanjanja hawawezi kufanya uchunguzi .

Ninachoamini ni kuwa wanaowalipa mishahara ndio wahusika wakuu kwenye lile tukio hivyo hawana uthubutu na huo ndio ukweli. Period.
 
Jeshi la Polisi kazi kwenu. Hatimaye amejitokeza mtu anayesema anafawahamu waliopanga njama za kumwua Lissu. Wasimwachie Dk Mollel hivi hivi. Lazima wamuhoji, la sivyo hatutawaelewa!
 
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amsterdam amejulishwa hii kitu?
 
Hiyo tulijua mapema kuwa ni movie ya kihindi iliyokosewa kusanifiwa
 
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Baada ya kuongea haya mataputapu yake akazawadiwa unaibu waziri sio. Amekaaga kama alitakankuwa taahira.
 
He is retarded. CHADEMA ndio walioondoa walinzi na kamera? Si awape huo ushahidi wanaohangaika kujisafisha? Kweli kuwa ccm ni lazima uache kufikiri kabla hujaongea au kutenda.
We unaushahidi kama walinzi waliondolewa amaunalopokatu, akilizako zinatosha kuzungusha mikono juutu.
 
Namwomba afande Siro amwite Mollel akasaidie upelelezi. Haiwezekani mpaka leo kitendawili cha nani alitaka kumwua Lissu hakijateguliwa wakati key witness kajitokeza mwenyewe kwa hiari yake bila kualzimishwa na mtu.

Imani yangu kesho asubuhi Mollel atakuwa ameripoti polisi!
Acha ujinga, mleteni derevawenukwanza kwanini mnamficha amamnajua ata mwaga mchele.
 
Acha ujinga, mleteni derevawenukwanza kwanini mnamficha amamnajua ata mwaga mchele.
Liwagu akili yako ni tegemezi. Huwezi kufikiri kama wewe. Unajiaibisha kuendelea kuandika.

Ukiwa kimya watu wanaweza wasijuwe kuwa wewe ni mjinga
 
U
Liwagu akili yako ni tegemezi. Huwezi kufikiri kama wewe. Unajiaibisha kuendelea kuandika.

Ukiwa kimya watu wanaweza wasijuwe kuwa wewe ni mjinga
Ujinga ni kumficha mtualie shuhudia tukio kwa machoyake ili aelezee frankly, kitugani kilitokea sikuile.
Unajuaje kama na yeye ni muhalifuje, kama sio muhalifu kitugani kinamfanya asijitokeze.

Kusema eti kama asingekuwepo ingekuwaje wakati mtu yupo ni upuuzitu.

Msifikiri kilamtu akilizake nifupi kama zenu.
 
Back
Top Bottom