minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Ha ha haaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa
Umevuta Bangi mpaka unakubali kila ufala acha kuishi kwa kukariri ujinga ujinga wenu
Huyu hawakilishi wananchi, anajiwakilisha mwenyewe. Uwakilishi wa wananchi uliisha pale alipojiuzulu.Kwahiyo Chadema wako nje ya mipaka ya nchi hii kiasi kwamba hata wakifanya uhalifu serikali ya Tanzania haiwajibiki kwao?
Kama tunaweza kuwa na serikali inayovumilia wahalifu kisa wako upande mwingine wa itikadi za kisiasa, basi serikali iliyopo madarakani imekosa uhalali wa kutawala
Nchi hii mtaji mkubwa wa uwepo wa ccm madarakani ni upumbavu na ujinga wa baadhi ya Watanzania
Mbunge kama huyu anajua kweli kwanini yupo ndani ya bunge?!
Kama tunaweza kuwa na watunga sheria wa aina hii Tanzania bado safari ni ndefu sana sana, ni aibu kubwa kwa jamii ya wastaarabu kuwa na mwakilishi wa wananchi wa aina hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete cctv camera na walinzi wa getini kwanza
Wewe ndiyo shoga kwa kuwa ndiye uliyempiga risasi ukasababisha awepo huko sasa ujue wewe cyprian Musiba Bangi zinakusumbua sana nasikia sasa unaishi kwa mganga wa kienyeji huko morogoro vijijini milimaniMbunge wa hovyo ni Lisu aliyekimbia jimbo lake na kwenda kuwa shoga Ulaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete cctv camera na walinzi wa getini kwanzaDereva yuko wapi?
Lissu alikuwa anaishi mle na vijana wa Chadema walikuwa wana access ya kuingia mle. Ndio walig'oa Cctv camera. Chadema wanajua kila kitu.Lete cctv camera na walinzi wa getini kwanza
Dereva aliona mchezo wote tokea mwanzo bungeni mpaka mwisho. Lakini alikaa kimya.Dereva yuko wapi?
Daud Bashite nyaulingo cyprian Musiba le mutuz walikuwa kwenye magari yalikwenda Dodoma kumshambulia Tundu lisu na shambulio lilitekelezwa na Heri kisanduku chini ya maelekezo ya nyaulingo, Hakuna siri kwani Le mutuz alilewa bar akaropoka kila kituBaada ya kumsikiliza Lisu akiongea na watanzania huko Marekani jana, nimejiridhisha na mambo yafuatayo
1. Anamjua kwa jina mtu aliyeamuru auwawe
2. Anajua watu waliokaa na kupanga mauaji
3. Ndani ya system wapo watu wanaompa Lisu taarifa zote nyeti
4. Kuna watu wengi watapata taabu sana baada ya Lisu kuongea
5. Mataifa ya nje wanaujua ukweli wote
6. Kwenda Ubelijiji ilikuwa ni zaidi ya kwenda hospitalini, kumbuka Balozi za EU zipo Ubelijiji, ICC ipo Ubelijiji, Lisu anaukaribu na maofisa wakuu wa EU na
7. Itakuwa rahisi sana kwa Lisu kufungua kesi ICC
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo za kutengeneza cctv camera unazo wewe kazilete kwanzaLissu alikuwa anaishi mle na vijana wa Chadema walikuwa wana access ya kuingia mle. Ndio walig'oa Cctv camera. Chadema wanajua kila kitu.
Wewe ndiyo shoga kwani bila ushoga wako kupanga njama za kumuua leo hii asingekuwa huko alipo acha ushoga weweNdiyo maana ameamua awe shoga kabisa, akae hukohuko na ushoga wake wazungu wanajitafunia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
cctv na walinzi wa getini na wewe ndiyo mliona mchezo wote lakini mmekaa kimyaDereva aliona mchezo wote tokea mwanzo bungeni mpaka mwisho. Lakini alikaa kimya.
Ni vema Polisi wakamkamatia huyu jamaa awape ukweli na usahihi wa taarifa hizi zilizolichafua na kulitukanisha jeshi letu pamoja Serikali.Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
========
Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.
Nayo ni
1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia
Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.
Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.
Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.
Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?
Mabomu ya Arusha
Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Molel siyo Doctor ni mtu anajiita Doctor lakini kiuhalisia hana Taaluma kichwani ni mbumbumbu kilaza wa kutupwa.Ukishakuwa CCM hata uwe na Phd, lazima uwezo wako wa kufikiri uathirike.
Wewe ndiyo unaliwa na hao wanaokutuma kuandika ufala wako
Maisha ya dunia si zaidi ya kula na kunywa vingine ni kuukimbiza upepo tukamungu kapuuzi kanakofurahishwa na habari za uongo na uzushi