Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Kwahiyo Chadema wako nje ya mipaka ya nchi hii kiasi kwamba hata wakifanya uhalifu serikali ya Tanzania haiwajibiki kwao?

Kama tunaweza kuwa na serikali inayovumilia wahalifu kisa wako upande mwingine wa itikadi za kisiasa, basi serikali iliyopo madarakani imekosa uhalali wa kutawala

Nchi hii mtaji mkubwa wa uwepo wa ccm madarakani ni upumbavu na ujinga wa baadhi ya Watanzania

Mbunge kama huyu anajua kweli kwanini yupo ndani ya bunge?!

Kama tunaweza kuwa na watunga sheria wa aina hii Tanzania bado safari ni ndefu sana sana, ni aibu kubwa kwa jamii ya wastaarabu kuwa na mwakilishi wa wananchi wa aina hii

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hawakilishi wananchi, anajiwakilisha mwenyewe. Uwakilishi wa wananchi uliisha pale alipojiuzulu.
 
kama wanaushahidi wanachelewa nini kuweka mambo hadharani ili hili igizo liishe....na huyu mzee mollel amelijua hili baada ya kutoka chadema..nimeamini kweli siasa haijawahi kumuacha mtu salama......

ukizisha mbwembwe kwenye siasa unaweza ukajikuta umekuwa tahira....
 
Mbunge wa hovyo ni Lisu aliyekimbia jimbo lake na kwenda kuwa shoga Ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo shoga kwa kuwa ndiye uliyempiga risasi ukasababisha awepo huko sasa ujue wewe cyprian Musiba Bangi zinakusumbua sana nasikia sasa unaishi kwa mganga wa kienyeji huko morogoro vijijini milimani
 
Lete cctv camera na walinzi wa getini kwanza
Lissu alikuwa anaishi mle na vijana wa Chadema walikuwa wana access ya kuingia mle. Ndio walig'oa Cctv camera. Chadema wanajua kila kitu.
 
Baada ya kumsikiliza Lisu akiongea na watanzania huko Marekani jana, nimejiridhisha na mambo yafuatayo
1. Anamjua kwa jina mtu aliyeamuru auwawe
2. Anajua watu waliokaa na kupanga mauaji
3. Ndani ya system wapo watu wanaompa Lisu taarifa zote nyeti
4. Kuna watu wengi watapata taabu sana baada ya Lisu kuongea
5. Mataifa ya nje wanaujua ukweli wote
6. Kwenda Ubelijiji ilikuwa ni zaidi ya kwenda hospitalini, kumbuka Balozi za EU zipo Ubelijiji, ICC ipo Ubelijiji, Lisu anaukaribu na maofisa wakuu wa EU na
7. Itakuwa rahisi sana kwa Lisu kufungua kesi ICC

Sent using Jamii Forums mobile app
Daud Bashite nyaulingo cyprian Musiba le mutuz walikuwa kwenye magari yalikwenda Dodoma kumshambulia Tundu lisu na shambulio lilitekelezwa na Heri kisanduku chini ya maelekezo ya nyaulingo, Hakuna siri kwani Le mutuz alilewa bar akaropoka kila kitu
 
Lissu alikuwa anaishi mle na vijana wa Chadema walikuwa wana access ya kuingia mle. Ndio walig'oa Cctv camera. Chadema wanajua kila kitu.
Acha porojo za kutengeneza cctv camera unazo wewe kazilete kwanza
 
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vema Polisi wakamkamatia huyu jamaa awape ukweli na usahihi wa taarifa hizi zilizolichafua na kulitukanisha jeshi letu pamoja Serikali.
Hii siyo habari ya kuinyamazia,mtu anasema ana ushahidi [emoji848][emoji848] atusaidie kuutoa.
Hii haikubaliki,kwa nionavyo huyu alipaswa awe ameshachukuliwa kwa mahojiano tayari.

Luckman1
 
Ukishakuwa CCM hata uwe na Phd, lazima uwezo wako wa kufikiri uathirike.
Molel siyo Doctor ni mtu anajiita Doctor lakini kiuhalisia hana Taaluma kichwani ni mbumbumbu kilaza wa kutupwa.
 
[emoji1787]ni utahira uliotukuka kuamini kwamba
1. CHADEMA wanaweza kuondoa cctv camera kweny nyumba ya waziri
2.chadema wanaweza kuondoa walinzi wa suka jkt mageti 2
3. CHADEMA kwa wanavyoandamwa serikal ingeshakamata wote walioshirik
4.chadema wanawez kuchanga pesa zao kumtibu mtu walie mjeruhi wao
5. CHADEMA wanawez kumnyima mshahara
6.chadema Ndio walimvua ubunge
7.chadema Ndio walio mpeleka ubelgiji
8.chadema Ndio walio wanyima wabunge wa ccm,madiwan,na viongiz wengn kumtembelea lisu na kumuuliza hali ikiwemo kumchangia[emoji1]
 
Back
Top Bottom