Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Molel Mpumbavu tu. Sasa kama chadema ndiyo waliopiga Lisu na yeye si alikuwa ni mmoja wapo kwanini asikamatwe.yaani kuna majitu mapumbavu mpaka unajiuliza walipataje u dr. Sijui yalikuwa yanaonga makalio hili wapate u doctor?.
 
We mbulula kweli unadhani the Hague wanapelekwa kitoto. Mleteni huyo dereva atoe maelezo kwa nini aliwaona wale wakora tokea bungeni alafu hakumstua Lissu? Kwa nini asibadili hata njia kuwachenga?
Wewe ni juha kilaza mbumbumbu unawezaje kujua mbulula acha kuvuta Bangi lete cctv camera na walinzi wa getini kwanza ndipo ujue na huo ujinga wako.
 
Chadema hawana mda kujibishana na Doctor feki aliyechanganyikiwa humu JF CCM mpo wanaona haya majibu yanatosha kumpelekea salama molel
Kama ni uongo tunataka wakanushe na waende kwa Igp ili Dk Mollel ahojiwe.
 
Molel Mpumbavu tu. Sasa kama chadema ndiyo waliopiga Lisu na yeye si alikuwa ni mmoja wapo kwanini asikamatwe.yaani kuna majitu mapumbavu mpaka unajiuliza walipataje u dr. Sijui yalikuwa yanaonga makalio hili wapate u doctor?.
Doctor feki wa kuiba mitihani huyo molel akaguliwe vyeti vyake ni msomi feki kichwani hana Taaluma kajaza kamasi tupu kama Lipumba
 
Wewe ni juha kilaza mbumbumbu unawezaje kujua mbulula acha kuvuta Bangi lete cctv camera na walinzi wa getini kwanza ndipo ujue na huo ujinga wako.
Kwani unadhani Chadema hawezi kug'oa Cctv camera? Kama wana kikundi cha magaidi wanaweza kutuma watu wakag'oa.
 
Kama ni uongo tunataka wakanushe na waende kwa Igp ili Dk Mollel ahojiwe.
Chadema hawana mda wa kujibizana na doctor feki watanzania kupuuza ujinga wake ni jawabu tosha
 
Acha kuandika kama hujui kitu. Aliyemuua Mwangosi alishahukumiwa. Waliomuua Mawazo wanakesi na nina hakika walishahukumiwa. Mbona kila kitu mnaingiza siasa za uchochezi.
Ukweli ni uchochezi walikuwa wangapi?. Yule mliyempandisha cheo hakuwepo?.Aliyemuuwa Aquilina yupo wapi mlimpeleka hata mahakamani?. Nyie ni wauwaji tu hizo damu za watu zitawakilia tu.
 
Kwani unadhani Chadema hawezi kug'oa Cctv camera? Kama wana kikundi cha magaidi wanaweza kutuma watu wakag'oa.
We kweli punguani kichwani. Ndiyo nyinyi mkiambiwa kauwe hamtafakari mara mbili
 
Kwani unadhani Chadema hawezi kug'oa Cctv camera? Kama wana kikundi cha magaidi wanaweza kutuma watu wakag'oa.
Acha Bangi hizo chadema waliingiaje wa Naibu spika kung’oa cctv? Kikundi cha ugaidi cha kutengeneza na propaganda za CCM watanzania wamekataa huo ujinga wenu
 
Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!

Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.

========

Mbunge Dkt. Mollel akiwa Bungeni amesema fedha zinazopatikana kwenye rasilimali ambazo si endelevu(Mf. Madini) zinapaswa kuwekezwa kwenye maeneo ambayo yataendelea kulipa taifa pato hata zikiisha.

Nayo ni

1. Rasilimali watu
2. Miundombinu
3. Ugunduzi na Teknolojia

Pia ameeleza kuwa wakati sisi tunawekeza huko, kuna baadhi ya nchi ambazo rasilimali zao zimekwisha hivyo wanatafuta maeneo katika nchi zetu ili waweze kuwekeza kwenye rasilimali zetu na kuzipa nchi zao nguvu.

Katika kutoa mfano wa hilo, Dkt. Mollel anadai kuwa akiwa CHADEMA chini ya Mbunge Selasini, walikuwa wakipanga mikakati ya kuzuia Serikali isiwekeze maeneo hayo.

Katika mkakati huo ikaonekana kuwa Tundu Lissu anajipatia umaarufu binafsi hivyo wakampiga risasi na kumuumiza.

Anasema mkakati huo ndio unaendelea hadi sasa Ulaya ukifadhiliwa na watu wachafu wenye nia ya kuiba rasilimali za Watanzania. Anasema suala la Lissu liko wazi sababu hata Chacha Wangwe alipotaka Uenyekiti nini kilimpata?

Mabomu ya Arusha

Akizidi kukandamizia point yake, Mollel amesema alikuwa Daktari mwakilishi wa CHADEMA kipindi cha Mabomu ya Arusha na alipotoka kwenye chumba cha uchunguzi(post mortem) aliwaeleza viongozi wake kuwa ameiba vitu kadhaa toka kwenye chumba hicho hivyo wavipeleke Afrika ya Kusini kwa ajili ya uchunguzi lakini walikataa licha ya kuwa na Ruzuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apeeke Ushahidi Polisi ili wafunguliwe kesi viongozi wa chadema hao waliopanga ,Kisha PM ikubali ombi la chadema kwamba waje Scotland Yard kuja kufanya uchunguzi....Dr Shika Mollel katika huo mpango nani aliyeondoa CCTV? Nani aliyeondoa Askari getini?

Tushafahamu kwamba Chadema ndio walipanga kumpiga risasi ila haujasema nani aliyeondoa walinzi getini na CCTV camera?
 
Sasa Kwanini watu wa chama walitaka kumuua kamanda lissu ?
Yaani acha tu, CDM si ndo wakatoa na Camera za ulinzi pale maeneo ye nyumbani kwake ili waupoteze ushahidi....waha jamaa ni wabaya sana!!!
Fools' paradise!
 
Moleli ana ushahidi kwa nini polisi wasianze na molel,ujinga mwingine. Unaudhi sana MTU kaumia na maisha yake kuharibika ww kwa tamaa zako unaleta ujinga ambao hata chekechea can't buy.
Tatizo kubwa la molel ni kudhani watanzania ni wajinga kama yeye binafsi
 
Back
Top Bottom