Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

Hahahaha Polisi njooni shahidi huyu hapa. Nyie mbwa mnalamba viatu vya mabwana zenu ili mpate kujaza matumbo yenu
 
Hivi we katika walioamka unathubutu kabisa kujiona walioamka. Duh ufipa bado mna safari ndefu sana.
Mbona wewe binafsi umelala unawezaje kujua aliyelala? Kuamini ufala wa molel Mbumbumbu ndiyo Safari yako fupi? Wewe ndiyo na CCM ndiyo mna Safari ndefu
 
Mbona wewe binafsi umelala unawezaje kujua aliyelala? Kuamini ufala wa molel Mbumbumbu ndiyo Safari yako fupi? Wewe ndiyo na CCM ndiyo mna Safari ndefu
Hahah kweli we mbumbumbu. Ccm ina safari gani sasa?

Waambie ndugu zako chadema huko
 
Hahah kweli we mbumbumbu. Ccm ina safari gani sasa?

Waambie ndugu zako chadema huko
Wewe ni juha unawezaje kujua mbumbumbu? Hapo ulipo Bangi imekujaa kichwani unawezaje kujua chochote? Kitendo cha kuamini ufala wa juha mwenzako molel ni ushahidi tosha kuwa wewe ni mvuta Bangi mwenzake.
 
Huyu jamaa anaongea kama mtoto wa chekechea mwenye matatizo.Kwa kauli yake hiyo ni dhahiri kuwa ccm imeshindwa kuisimamia serikali na inafaa kuondoka mara moja ili chadema waweze kuisimamia.Haiingii akilini kwa sehemu yenye ulinzi wa jeshi halafu chadema wakaingia ndani wanafanya tukio la kutaka kuuwa na baadae wakapata hadi muda wa kutoa camera hata bila kukamatwa hadi hivi sasa,ama kweli jeshi halipo kulingana na hoja dhaifu ya Molleli.Yeye molleli alidhani anajenga kwa kuongea utumbo huu,kumbe ndiyo kwanza anaizalilisha serikali yake.Haya mambo si yakuwaeleza watu wenye akili timamu bali ni mataahira tu ndiyo wakuwaeleza utumbo huu.
Molel kasahau kuwa mficha cctv camera alizawadiwa uwaziri wa madini kumbukumbu zipo
 
CCM tafuteni watetezi wapya mitandaoni hawa mnaowatumia kwa sasa uwezo wao wa kufikiri ulishafika mwisho kwani wengi hushinda gheto kwa cyprian Musiba na Le mutuz kubwa jinga wakivuta Bangi ndiyo maana utetezi wao mitandaoni unafanana sana baada ya kukuririshwa kila kitu, CCM ni chama kikubwa tafuteni watu makini waje na hoja za msingi acheni kuwatumia wavuta Bangi wanakiabisha chama cha CCM
Chadema mbona hawajakanusha alichosema Dk Mollel na Yeye alisema yupo tayari kuhojiwa. Kama bhangi labda unavuta wewe. Watu wanaongelea facts. Acha kupanic
 
Hii kitu ina ukweli na Dk Mollel anajua ukweli. Chadema ipo siku wataumbuka. Na jinai haina mwisho nia yao ni kuichafua Ccm.
Jinai haina mwisho? Imekuwa MUNGU? Mijitu kwa upuuzi hamjambo.mmeuwa alfonce mawazo leo yako wapi?. Mmeuwa daud mwangosi na watu wakapandishwa na vyeo. Alafu mnalegeza pua jinai haina mwisho. MTAJIBU KWA MUNGU MAANA KULE HAMNA PA KUTOKEA.
 
Chadema mbona hawajakanusha alichosema Dk Mollel na Yeye alisema yupo tayari kuhojiwa. Kama bhangi labda unavuta wewe. Watu wanaongelea facts. Acha kupanic
Chadema hawana mda kujibishana na Doctor feki aliyechanganyikiwa humu JF CCM mpo wanaona haya majibu yanatosha kumpelekea salama molel
 
Siyo mahakamaccm hapo hakuna haki, dawa ni mahakama za kimataifa The Hague pekee
We mbulula kweli unadhani the Hague wanapelekwa kitoto. Mleteni huyo dereva atoe maelezo kwa nini aliwaona wale wakora tokea bungeni alafu hakumstua Lissu? Kwa nini asibadili hata njia kuwachenga?
 
Sasa huyu Dr mzima kabisa anatoa hoja ya kipuuzi namna hii na mamlaka za ulinzi na usalama zinamuacha tu!

Kweli ccm na ujinga ni kama bwawa la samaki na samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ni kipimo kuwa CCM uwezo wao wa dira umefika kikomo mbinu za kuudhofisha chadema zimewaishia wameanza kuwatumia Doctor feki kuwabambikia uongo chadema
 
Jinai haina mwisho? Imekuwa MUNGU? Mijitu kwa upuuzi hamjambo.mmeuwa alfonce mawazo leo yako wapi?. Mmeuwa daud mwangosi na watu wakapandishwa na vyeo. Alafu mnalegeza pua jinai haina mwisho. MTAJIBU KWA MUNGU MAANA KULE HAMNA PA KUTOKEA.
Acha kuandika kama hujui kitu. Aliyemuua Mwangosi alishahukumiwa. Waliomuua Mawazo wanakesi na nina hakika walishahukumiwa. Mbona kila kitu mnaingiza siasa za uchochezi.
 
Back
Top Bottom