Mahakama IPI hioHuyu dawa yake ni kwenda mahakamani
Sent using Sukhoi Su-57
Bila kusahau ni lazima pia utumie mabaki ya chakula yaliyopo tumboni kama ubongoHe is retarded. CHADEMA ndio walioondoa walinzi na kamera? Si awape huo ushahidi wanaohangaika kujisafisha? Kweli kuwa ccm ni lazima uache kufikiri kabla hujaongea au kutenda.
Anaonekana mkuu
Mollel ni masaiWachagga Wezi aisee mtu anaiba hadi sampuli za mgonjwa!
Mh,hebu ngoja nichunguze hii,yawezekana wewe una hoja ya msingi hapa ...!Kila aliyetaka kugombea uwenyekiti Chadema alipata madhara flani
Mkuu mambo kama haya ndo yaliyo nifanya nichukie serekali za CCM,.....siwezi kuheshimu asiye heshimu UHAI WA BINADAMU, kwa mizaa kama hii pale Soweto Arusha nani aliye kamatwa??????Jamani, ebu tuacheni masihara, Mungu anaona, atalipiza kwa kusema uongo, hili suala sio la masihara hata kidogo, Mungu anaona plz, mtapondwa..!!