engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,379
- 1,394
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe lazima umetiwa mimba na mchaga. Mollel ni mchaga? Hata kama unawachukia wachaga sii kwa hivo.Wachagga Wezi aisee mtu anaiba hadi sampuli za mgonjwa!
Alianza Ndugai kua ataweka mkeka wa wa fedha za matibabu hadi saizi hakuna. Kakaa kimya ka hakuahidi kitu.Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
Hawa jamaa wanazidi kujidhalilisha kwa kuonyesha kuwa ccm imeshindwa kuisimamia serikali.Yani sehemu yenye ulinzi 24/7 halafu chadema wanaingia na kufanya vyao bila kukamatwa hadi leo,huo ni udhaifu mkubwa sana.Ni kichekesho molleli kuyajuwa haya wakati mamlaka husika haiyajuwi.HERI KUFA UKIWA NA FIKRA HAI KULIKO KUISHI UKIWA NA FIKRA MFU.UPUMBAVU NI ILE HALI YA KUUJUWA UKWELI,KUUONA UKWELI,LAKINI UNAENDELEA KUAMINI KATIKA UONGO.
Hawa jamaa wanazidi kujidhalilisha kwa kuonyesha kuwa ccm imeshindwa kuisimamia serikali.Yani sehemu yenye ulinzi 24/7 halafu chadema wanaingia na kufanya vyao bila kukamatwa hadi leo,huo ni udhaifu mkubwa sana.Ni kichekesho molleli kuyajuwa haya wakati mamlaka husika haiyajuwi.HERI KUFA UKIWA NA FIKRA HAI KULIKO KUISHI UKIWA NA FIKRA MFU.UPUMBAVU NI ILE HALI YA KUUJUWA UKWELI,KUUONA UKWELI,LAKINI UNAENDELEA KUAMINI KATIKA UONGO.
Hawa jamaa wanazidi kujidhalilisha kwa kuonyesha kuwa ccm imeshindwa kuisimamia serikali.Yani sehemu yenye ulinzi 24/7 halafu chadema wanaingia na kufanya vyao bila kukamatwa hadi leo,huo ni udhaifu mkubwa sana.Ni kichekesho molleli kuyajuwa haya wakati mamlaka husika haiyajuwi.HERI KUFA UKIWA NA FIKRA HAI KULIKO KUISHI UKIWA NA FIKRA MFU.UPUMBAVU NI ILE HALI YA KUUJUWA UKWELI,KUUONA UKWELI,LAKINI UNAENDELEA KUAMINI KATIKA UONGO.
Sio wachukue ushahidi tu kwa huyo mbunge. Inatakiwa wamlaze nondo kwa kuiba kudhibiti/ushahidi katika eneo la uhalifu. Kuiba hizo sample ndio kumepelekea Upelelezi kuwa mgumu na file kufungwa.police na lugola sasa wamtake huyu mbunge awape ushahidi, na walifufue faili walilolitelekeza dhidi ya Lisu kwa maana ushahidi sasa upo wazi
kwahiyo baada ya chadema kusuka mpnago wa kumuua TL wakapanga na kuondoa walinzi wa serikai pale maeneo yao, wanachadema pia ndio wakaondoa na CCTV pale baada ya tukio, na baaxa ya hapo Ni Chadema waliozuia Jeshi la Polisi la tanzania lisidanye uchunguzi wowotee juu ya tukio la kiuhalifu wa mauaji??Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
Inaonekana Area D paliendelea vizuri sana maana miaka 2012 au13s hivi hapakuwa na cctv kamera kuna wakati block moja liliwaka moto pia ulinzi ulikuwepo main gate wa walinzi local( hizi kampuni za ulinzi tu) maaskari walijuwa wanakuja kuanzia saa 12 jioni tena kipindi cha bunge.Anatakiwa aje na footage za CCTV camera kabla ya kujitutumua
Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
Aisee huyu ni wakukamata kabisa. Hii ni dharau kubwa kwa serikali tukufu na jeshi letu imara la Polisi. Yaana Jeshi lenye vifaa,askari wa kutosha, wanalipwa vzr. Wamepata mafunzo ila mpaka Leo bado wanachunguza tukio la Lisu hawajawafahamu wahusika. Alafu Leo huyu Mollel mmoja tu hana mafunzo wala vifaa halipwi hata kwa kazi hyo anasema amewapata wahusika? Kwa hiyo ni mpelelezi mzuri kuliko polisi wetu? Hii ni dharau aisee hata kama ni kweli, huyu akamatwe kwa kudhalilisha vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Haiwezekani aweze kilichowashinda wanausalama wa nchi.Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124
Tatizo Taifa hili lina wasaka tonge wengi sana ndiyo maana halisogei.Basi jamani utata umeisha,bwana mollel unaambiwa anao ushahid wooooteeeeee, ila atautoa tu pale chadema itakapoeleza matumizi ya ruzuku
Kwa hiyo tusubiri jeshi la polisi waongee na msajili wa vyama na CAG kuhusu ruzuku ili kumlainisha bwana mollel atoe ushahidi wake huo
**Halii hii inaonyesha wazi kwamba ukihama cdm kwenda ccm akili zako zinaongezeka sana, Dr Mollel katisha vibaya mno.
View attachment 1017124