Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa iingieMoleli ana ushahidi kwa nini polisi wasianze na molel,ujinga mwingine. Unaudhi sana MTU kaumia na maisha yake kuharibika ww kwa tamaa zako unaleta ujinga ambao hata chekechea can't buy.
akawaripoti kwa Siro wakamatwe upesi!!Aliyekuwa mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa Chadema walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani!
Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali la kwa nini pamoja na kufyatuliwa risasi nyingi lakini hamna hata moja iliyompata dereva wa Lisu kwa sababu alikuwa anajua mchongo mzima na namna gani ya kujificha wakati risasi zikimiminwa.
Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel (CCM) Adai Mpango wa Tundu Lissu Kupigwa Risasi Uliratibiwa na CHADEMA Wenyewe. | MPEKUZI
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha! Ccm kuna vilazer ajabu, na kule Itigi aliyeua ni kiongozi wa Chadema? Mmezoe kuua ila Mungu hata waacha salama!waling'oa ndio kwani chadem wameuwa wangap chacha.mtema.ben
bora utulie na njaa yako ya haja
We mtumwa wa b7 utapona tu baadaye.
Kweli kabisaNi kweli, Chadema pia waling'oa kamera za CCTV ndani ya mazingira ya tukio. Kweli hawa chadema wachunguzwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa chadema[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Hv alipigiwa makofi Na wajumbe Wote. Huenda Hata Mbunge wangu mccm naye alishangilia hili. Halafu Dr huyu jamaa..
Siku zote HIZI Alikuwa wapi mzalendo huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote vichaa huamini wana akili kuliko wazima.lowasa ameinunua chadema nzima itakuwa mtu mmoja .kenge ww akili ya mollel ni akili ya chadema wote
Mollel kamsaidia sana lissu kujua ukweliMoleli ana ushahidi kwa nini polisi wasianze na molel,ujinga mwingine. Unaudhi sana MTU kaumia na maisha yake kuharibika ww kwa tamaa zako unaleta ujinga ambao hata chekechea can't buy.
Kenge ni wew na mamayako labda huko kwenu ndo anaakili.lowasa ameinunua chadema nzima itakuwa mtu mmoja .kenge ww akili ya mollel ni akili ya chadema wote
........ amesema kama Chadema wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote........
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye hojaKenge ni wew na mamayako labda huko kwenu ndo anaakili.
Hitimisha basi kwa kusema kuwa, polisi inawaogopa chadema ndio maana wahusika wa mauaji yote uliyoyataja hakuna mwanacdm hata mmoja aliyehojiwa na kushtakiwa!! Kwa maneno mengine unaidhalilisha serikali na dola kwa jinsi wanavyowaacha cdm kufanya mauaji si ndiyo?waling'oa ndio kwani chadem wameuwa wangap chacha.mtema.ben
bora utulie na njaa yako ya haja
Wewe limbukeni, cdm wanawezaje kung'oa kamera kwenye nyumba ya waziri ambazo ni zake mwenyewe bila waziri kuchukua hatua?waling'oa ndio kwani chadem wameuwa wangap chacha.mtema.ben
bora utulie na njaa yako ya haja
Na wewe ukanunuliwa na polepole! Itakuwa ile kwashiakoo uliyougua utotoni iliathiri sehemu kubwa ya ubongo wako so, kazana kula protin nyingi kwa hiyo buku saba unayolipwa angalau uiokoe sehemu ya ubongo iliyobaki isioze zaidi!
CCTV camera ikiyong'olewa ni ya serikali ipi? hiii hii? Na serikali imekaa kimya?ishu haoa ni lisu ahojiwe na dreva wake Dk mollel amwage unga
point huna umebaki ni shabiki tuwaling'oa ndio kwani chadem wameuwa wangap chacha.mtema.ben
bora utulie na njaa yako ya haja