MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kama Mshauri wake Mkuu Bwana Tabasamu Mnafiki ni Mjinga na hakuwahi na hatowahi kuwa na Akili kwanini na Wengineo nao wasiwe Wajinga Wajinga?Duh
===
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264