DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Atakaa bench Muda sio mrefu nilimuona mjinga tangu alivyojenga Banda la kujifukiza pale MuhimbiliAnacheza na upepo huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakaa bench Muda sio mrefu nilimuona mjinga tangu alivyojenga Banda la kujifukiza pale MuhimbiliAnacheza na upepo huyu
Pamoja na mtaji wote wa madaktari wenzake wa falsafa waliojaa ndani ya chama, bado ushauri wao wa kidaktari unaonekana ni wa kijinga kwake.Duh
===
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Ana Roho ngumu !Kuna washauri wa raisi hawa ndiyo wanapanga Nani atakuwa mkuu wa wilaya,mkurugenzi,mkoa na mambo mengine hata namna ya kuendesha nchi ni wao wapo..
Hawa mawaziri ni stamp Tu ni watu wa kutekeleza amri wanazopewa na washauri wa raisi, kwahiyo huyu jamaa alichosema ana uhakika nacho na anajua kinachoendelea Huko ndani
Lakini kama asemavyo ni kweli huoni kwamba anastahili pongezi kwa uzalendo na ujasiri wake ?!!Atakaa bench Muda sio mrefu nilimuona mjinga tangu alivyojenga Banda la kujifukiza pale Muhimbili
Hana legitimacy katika kuongea Maswala ya ujinga wakati yeye mwenye ni mjinga Pro-maxLakini kama asemavyo ni kweli huoni kwamba anastahili pongezi kwa uzalendo na ujasiri wake ?!!
Duh !Hana legitimacy katika kuongea Maswala ya ujinga wakati yeye mwenye ni mjinga Pro-max
Na yeye ni mshauri wa rais kwenye baraza la mawaziri. Anajijumuisha humo.Unacheka nini?
Watu wa kaskazini na kiburi Cha elimu, utasema wamesoma peke yao...ukute yeye ndiye jinga kwelikweliDuh
===
"Nchi hii imejaa watu wajinga sana, Rais anapata shida kwani wanaomshauri wengi hawana uelewa wa kutosha wa mambo" Dkt. Godwin Mollel, mbunge wa jimbo la Siha na Naibu Waziri wa Afya
View attachment 2520264
Na wewe mshauri wa raisDah kweli ndo tumefikia hapa kuitwa wajinga?
Mnaanza kumkolimba, ndio shida ipo hapo. Mlitakiwa kujirekebishaUna masaa tu wewe.
Unaweza kuwa mjinga lakini ukawaona wenzio ndio wajinga baadala yake.
😂 😂 😂Kama Rais anashauriwa na Wajinga na ameteua wajinga hahahahà na kwamba ikumbukwe kuwe Raisi ameshawahi pia kuwa mshauri wa Rais aliyepita...... anyway ukiangalia hii circle ⭕ unaweza kujikuta umesema Raisi nae ni "mwerevu"!
Kuna mmoja huyu hapaKabisa hasa barvicha
USSR
Hakika.Nadhani hiyo sio account yake ! Fake news !