Dkt. Mpango: Mkandarasi wa Bwawa la Nyerere hana Uzoefu, pia mradi upo nyuma ya muda

Siempre siempre Jumbe Brown anasubiria umeme wa Stigler July 2022 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ondoa upuuzi wako, kama ni ku design tu hata watu wa VETA wangeweza ku design.
 
Kwa hiyo hao Arab contractors wanawaachia wazawa ujuzi wa kujenga mabwawa ya umeme? Kalaghabao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchina amewaaribu hawa watu akipewa mradi mkubwa anafanya kila mwenyewe aachi hujuzi kwa wengine.

So kwenye vichwa vyao contractor anatakiwa kufanya kila kitu watu wa ovyo kweli.
 
Wewe siempre siempre Aswan Dam ilijengwa na USSR na Arab Contractors.
"Aswan Dam" imejengwa na haohao ARAB CONTRACTORS tena miaka ya 1960...... Serikali ya awamu ya 5 haikukosea......
 
Kwa nini unawazia hivyo?
Lakini nawaza pia bado kuna uwezekano baada ya JPM kufariki ndo wameanza kufanya huu upuuzi ili kumfanya jiwe aonekane alikua anatudanganya ili wao ndo waonekane bora zaidi wkt kuna uwezekano sio kweli.
 

7 March 2020

WAZIRI KALEMANI "BADO ASILIMIA 15 KUKAMILISHA UJENZI WA BWAWA LA UMEME LA MWL NYERERE"


Kasi ya ujenzi wa mradi wa bwawa la kufua umeme la Nyerere JNHPP / STIEGLER'S GORGE / RUFIJI imefikia asilimia 85 jambo lililowavutia kamati ya kudumu ya bajeti ya bunge .

Nje ya kikao cha kamati ya kudumu ya bajeti ya bunge waziri wa nishati MEDARD KALEMAN anaeleza ujenzi wa mradi huo ulipofikia.

Source : Global TV online
 
Aswan Dam imejengwa na USSR na Arab Contractors.
Arab contractor imeanzishwa kabla makamu hajazaliwa.. na kabla Tanzania haijazaliwa arab contractors ipo duniani.. na imejenga Aswan dam na mabwawa kibao.. ila leo tunaambiwa hawana uzoefu
 
12 April 2021

WAZIRI KALEMANI Ataja TAREHE ya KUJAZA MAJI BWAWA la NYERERE, WABUNGE Wote WAPIGA SHANGWE...


Wabunge wameendelea Kuchangia Mpango wa Maendeleo wa 2025 Katika Bunge La 12 Kikao Cha Tatu Kimeongozwa Na Spika, Job Ndugai, Leo Aprili 12, 2021 Jijini Dodoma... bwawa la Nyerere litaanza kujazwa maji tarehe 15 November 2021 kabla ya saa 12 jioni, Bunge la lipuka kwa shangwe. Mh. Spika wa Bunge la Muungano la Tanzania amuomba waziri Kalemani arudie ahadi hiyo, bila ajizi waziri Dr. Medard Kalemani anarudia kuwa tarehe 15 November 2021 Bwawa la Julius Nyerere litaanza kujazwa maji kabla ya saa 12 jioni...

Source : Global TV online

Ubarinolutu PTER Katavi Yetu Salary Slip Erythrocyte johnthebaptist BAK
 
Machojua kuhusu mradi huu hautakiwi kuwepo wala kuendelea
 
Mmeshaanza nyinyi mafisadi story zenu za upigaji.
 
Yap wa sgr na huyu Arab contractor ni wakandarasi wa ten percent wa kundi la mwendazake
Naona mmeshaanza mafisadi mnataka hizo kampuni zitolewe ili mchukue miradi hiyo nyinyi wapigaji. Mnajidanganya tu hamtafanikiwa.
 
Usiwafuate hao mafisadi wanapotosha tu kwa manufaa yao.
 
Unadhani yeye alikuwa haogopi kuuawa. Watu wengi kipindi cha mwendazake walikuwa wanasema uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…