Dkt. Mpango ni kweli ulishiriki kumtuma Sabaya kufanya mambo machafu?

WATUMISHI WA UMMA WOTE

rudisheni pesa za watu zinanuksi hamtakuja maendeleo hata kidogo hela mlizokua mnalipwa mishahara hazikua halali kabisa

Hazina ilikuwa imebaki skeleton kumbe kitambo!! Jaman
 
Kwahio sisi hatuna masikio? Au ni pambo?
 
Kama waziri wa fedha alikuwa anajua ni lazima makamu wa rais bibi ushungi anajua kila kitu na ndio maana kamteua huyu muha muuaji
 
Mpango ajiuzulu haraka sana , ukiona kiongozi anajifanya Mcha Mungu huku kazungukwa na matunguli muogope sana

Kukamata mitambo ya kutengenezea fedha haramu ni kosa? Msiingie mtego wa Sabaya. Anashindwa kutetea uharibu alioshitakiwa nao kama kubaka, kuteka, na kunyang'anya fedha, makosa ambayo alijifanyia mwenyewe kwa sababu ana hulka za kinyoli. Anababaisha kwa ku site matukio halali ambayo mfumo ulimutuma afanye kwa maslahi ya taifa.

Sabaya ni mjinga. Kukwepa kujibu matukio anayoshitakiwa nayo, kwa kujigundisha kwenye kazi halali, kisheria hakumwondolei wala kuhalalisha personal offences zake. Ni afadhali angejikita kua dress mashitaka yanayomkabiri. Ana implicate serikali na viongozi wake kama kuwadhalilisha ama tufe wengi ama kuwakomoa kwa kuwa hawajamtetea, bila kutambua kwamba ukiwa katika kazi, ukafanya makosa yako binafsi kama kubaka, ama kunyang'anya, matukio ambayo hayahusiani na kazi uliyotumwa, sheria inakuondolea kinga ya kio-office. Huo ni uharifu binafsi. Aki turn hostile, ama aamue kuwahusisha watu wengine, wakiitwa mahakamani watamwuliza, anashtakiwa kwa kosa lipi? Kubaka, kunyang'nya fedha n.k. Je ndiyo kazi walikuwa wamemtuma?
Hakuna mtu asiyejua serikali inaweze kumtumia mtu yeyeote kufanya kazi za serikali kulingana na uwezo wake au mazingira yake ya kufanikisha kazi hiyo kama alivyotumwa na hao WAheshimiwa kukamata mashine ya kufulia fedha, kitu ambacho wala hakiko katika mashitaka.

SIDHANI KAMA MWANASHERIA WAKE NDIYE KAMSHAURI UTETEZI HUO.
 
Wanaonisononesha zaidi ni hawa viongozi wetu wa kidini ambao pamoja na ushetwani na unyama wa Magufuli na serekali yote aliyomrithisha Samia bado wanaendelea bila aibu kuwa nayo bega kwa bega na kuipamba.

Siku ya kiama Mungu aje kuanza na hawa viongozi wa kidini Tanzania wakawe kuni kwenye lile tanuru la moto wa milele!
 
Huko huko kujua ndiko kutawafanya waeleze wanachokijua ili kumnusuru mtumishi wao.
 
Ktk mpira sabaya akifungwa inakuwa ni mbinu ya kutafuta kumpiga miaka mbowe.. Tunaita equalisation la sivyo kuna upande utajipanga kwa maangamizi makali zaidi na bibi atajuta in the end
 
Kama waziri wa fedha alikuwa anajua ni lazima makamu wa rais bibi ushungi anajua kila kitu na ndio maana kamteua huyu muha muuaji
Kosa la Dr. Mpango ni lipi? Naomba muwe mnasoma na kuelewa hoja kabla ya kujiandikia tu. Kutumwa Sabaya kuongoza operation ya kukamata mitambo ya kutengenezea fedha haramu ni kosa? Kwa hiyo mlitaka nchi iachwe watu watengeneze fedha vile wanataka? Hiyo si jinai kama jinai zingine? Sabaya ameshitakiwa kwa kosa la kushiriki ama kufanikisha ukamataji wa mitambo hiyo, tukio ambalo anasema Waziri Mpango na Governor wa BoT walijua? Assignment halali kama hiyo, inakosa gani hadi muwatuhumu Waziri na Governor wa Bank kwa kujua kwao?

Anaposema alitumwa kukamata Mitambo hiyo ambapo hata Governor wa BoT na Waziri wa Fedha wa wakati huo walijua, anakuwa anatoa utetezi wa shitaka lipi hapo huyo Sabaya?
AMEDANGANYWA. Kuacha kujibu mashtaka yanayomkabili na kuanza kuwa implicate viongozi kwa amri halali ambazo walimwagiza afanye na ambazo hazihusiani na mashtaka yake ni hallucination ambayo ni public entertainment tu. Mwambieni ajibu tuhuma alizoshitakiwa nazo. Kama ni kubaka, kunyang'anya fedha, n.k ajitetee vinginevyo anaoga mvua za kkutosha tu.
 
inafikirisha sana. Tunamtaka ajisafishe mimi naamini Ole Sabaya anatafuta pa kutokea. Mambo yamemwia magumu sana.
Atatokea wapi wakati kedhakubali kutenda kosa!? Sana sana atakuwa anajaribu kupata lesser sentence kwa kuwashirikisha hao vigogo.
 
Watanzania huwa tunachukua maneno juu juu tu
 
Unasema kama ni kweli alimtuma Sabaya kufanya mambo ya hovyo ajitokeze ajisafishe?Yaani badala ya kusema kuwa ajitokeze awajibike unasema kuwa ajitokeze ajisafishe?!Tokea nizaliwe sijawahi kuona akili ndogo kama hii[emoji124][emoji124][emoji124]
Inawezekana lugha aliyoitumia mtoa comment ni kubwa sana kwako. Kujitokeza ajisafishe ni lugha ya heshima ya kumwambia mtu ajitokeze kukana au kukubali hizo tuhuma. Akikana tuhuma ndiko kujisafisha kwenyewe, na akikubali tuhuma, ndipo hoja ya kuwajibika/kukaa pembeni inapoanza kujadiliwa.
 
mbona unafundisha watu kufanya interpretation mamlaka ya uteuzi si JPM? Kazi ya Dc ni kufanya operation za kukamata watu? polisi wanafanya kazi gani?
 
Wanahusishwa kwasababu wanajua, sasa ili mambi yawe safi wayatolee ufafanuzi haya.
 
Sang'udi umemuelewa vizuri mtuhumiwa.Inaonekana Sabaya alikuwa kwenye kikosi kazi maalum,ambacho kilikuwa kinapewa maagizo kutoka mamlaka ya uteuzi,lakini huyu mfanyabiashara Mohamed Saad yeye alikuwa na mitambo ya kufyatua Nini? au alikuwa anafanya biashara gani,ambayo mamlaka ya uteuzi ililazimika kutuma kikosi kazi kumfuatilia.Kwa kifupi ,pamoja na Sabaya kuwa alikuwa anapata maagizo kutoka juu,lakini alikosa weledi wakati wa kutekeleza majukumu yake
au alimtumia fursa hiyo kujinufaisha yeye binafsi ,kwa kupitia mgongo wa Mamlaka ya uteuzi.Hili ni funzo kwa Mamlaka za uteuzi kutumia mifumo iliyopo serikalini wakati wa kufanya shughuli zake,(tunalo jeshi la polisi,takukuru,na Usalama wa Taifa) ,ambao wamesomea na Wana weledi katika kutekeleza majukumu yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…