Dkt. Mpango: Vijana achaneni na kupenda mashangazi

Wazee hamtaki kung'atuka huko serikalini hadi kwenye chama mnataka vijana wawe wakabaji ? Ngoja watumie fursa ya kuruka na mishangazi ili maisha yasonge mbele.
 
Nimekasirika sana.
 
Kizazi cha Kupenda Mteremko, kupenda Kitonga, Kupenda utelezi..!

Kizazi kipo bize Kubet..! Kufanya Kazi aaah..

Vizazi vya late 90's 2000's havijapata benefits ya vilivyotangulia.

Enzi za Dr Mpango, viongozi wengi ukimaliza form 4, 6, chuo, unapata kazi ya uhakika kwa maisha. Pia walikuwa na ukoo, jamii, wazazi wawili wanawaangalia.

Namshauri Makamu wa Rais aangalie vyanzo vya vijana kukengeuka
Namsaidia ni familia kuvunjika, ukoo, jamii kutojali, mitandao ya kijamii kuruhusu maudhui mabovu, wahuni wa kila aina ndio role models. Australia hawaruhusu watoto kupewa simu janja mpaka wakifishe miaka 14.
 
Shida ya mashangazi ni kutodumu nalo kwa muda mrefu!!! Halafu likiamua linakupiga chini na huna Cha kufanya 🀣🀣🀣🀣🀣
 
Huyu naye akaage kimya tu, bora kipi vijana wajiegeshe kwa mashangazi au wajiegesha kwa Pdidy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…