Hii ni akili ya kitanzania kabisa.Msukuma pamoja na uccm wake bado ametoa hoja ya msingi moja tu, kwa nini dodoma kulijengwa soko la Ndugai??? je kiasi gani kimeshakusanywa ukilinganishwa na malengo ya makusanyo yaliyokuwepo?? soko la Ndugai ni mradi wa kifisadi kama ulivyo mradi wa stendi kuu ya mabasi Nyamongoro iliyoko Mwanza.
Watanzania wachache sana watakuelewa, wengi washazoea majengo ya tembe kila mwaka wanabomoa.Stendi ya mabasi haiko mbali kivile, na ukubwa wake ni sahihi kwa sababu unapojenga mradi kama huo lazima uangalie miaka kadhaa mbele. Stendi imetulia na haina vurugu. Kutokuwa na magari mengi kwa sasa ni kufikiria mwisho wa pua.
Hii ni pia kwa soko la Ndugai, pale lilipo inaweza kuonekana mbali lakini lipo kilometa kama 8 kutoka city centre tena pembeni ya barabara kuu Baada ya miaka 10 litaonekana lipo ndani katikati ya Jiji. Kwa mfano kuna Watu wanatoka Tegeta (kilomita zaidi ya 20) kufuata bidhaa Kariakoo kwa hiyo hakuna ajabu, au alitaka lijengwe katikati ya Mji?!!
Kuhusu hoteli, ile siyo nyota tano labda nyota mbili au tatu ikikamilika. Ikipata usimamizi zuri itaingiza faida kwa sababu ipo katikati ya Mji karibu ya maeneo mengi muhimu.
Napinga miradi isiyokuwa na tija, lakini kwa hiyo miradi ya Dodoma ipo sahihi
Walipewa mwezi mmoja kutoka tarehe 13 Oktoba 2022, kwa hiyo inatarajiwa watatoa ripoti yao tarehe ifikapo tarehe 13 Novemba 2022.Ile time ya Mwaki Embe imeshatoa report yake?
Msukuma darasa la 7 mchunga mbuzi hawezi ona miaka 20 au 30 ijayo yye ameona 2025 kwenye kujaza tumbo lake tu upuuuuuz kumsikikizaa msukumaHivi ukilaumu ujenzi wa stand kubwa kama ile ya Dodoma ina maana utapinga pia ujenzi wa barabra ya njia 6 kule Dar, maana hesabu ya ujenzi wake inapigia miaka takribani 10 au 20 mbele, AU hata ile aiport terminal 3 kule Dar mbona bado sehemu kubwa tu haijaweza kutumika,ni kwa sababu ya hesabu za mbali,ni kweli tunalaumu sasa hivi lakini manufaa yake tutayaona baadaye sana.
Maendeleo si ya majengo ya serikali.Usipinge tu! Kilomita kumi toka mjini kuelekea njia ya Morogoro unaingia stendi ya Mkoa, mbele yake kuna kambi ya Jeshi Ihumwa, kuna lami. Mbele ya hapo Mji wa serikali Mtumba (pazuri sana na kuna miundombinu safi kabisa), mbele ya Mtumba kuna hospitali ya Uhuru (mpya), mbele yake kuna njia panda ya kuelekea Ikulu ya Chamwino.
Ukipita njia ya Arusha, kilomita kumi kutoka Mjini kuna Chuo cha Mipango (lami), Kambi ya Jeshi Makutupora halafu barabara safi ya lami kuelekea Arusha.
Ukipita njia ya kuelekea Iringa barabara ya lami safi kabisa.
Lakini pia kuna ring road inajengwa, hii inazunguka nje ya Mji wa Dodoma. Lami ikikamilika viwanja vitaongezeka thamani na mji kukuwa. Pia itaondoa jam mjini kwa kuwa kwa sasa malori yanapita katikati ya Mji kuelekea Mikoa mingine.
Kwa hiyo unaona miaka 5 iliyopita haitoshi?Tusiache long term plans sababu ya wasomi waliotukuka kama kina msukuma
Watu hupanda basi sababu ya gharamaNafikiri hiyo treni ya sgr haitakuwa na ufanisi unaoutarajia. Mfano kidogo ni atcl, licha ya kuwa na ndege mpya lakini kutokana huduma mbovu, watu wanaona bora wapande basi
Kweli mkuuUsipinge tu! Kilomita kumi toka mjini kuelekea njia ya Morogoro unaingia stendi ya Mkoa, mbele yake kuna kambi ya Jeshi Ihumwa, kuna lami. Mbele ya hapo Mji wa serikali Mtumba (pazuri sana na kuna miundombinu safi kabisa), mbele ya Mtumba kuna hospitali ya Uhuru (mpya), mbele yake kuna njia panda ya kuelekea Ikulu ya Chamwino.
Ukipita njia ya Arusha, kilomita kumi kutoka Mjini kuna Chuo cha Mipango (lami), Kambi ya Jeshi Makutupora halafu barabara safi ya lami kuelekea Arusha.
Ukipita njia ya kuelekea Iringa barabara ya lami safi kabisa.
Lakini pia kuna ring road inajengwa, hii inazunguka nje ya Mji wa Dodoma. Lami ikikamilika viwanja vitaongezeka thamani na mji kukuwa. Pia itaondoa jam mjini kwa kuwa kwa sasa malori yanapita katikati ya Mji kuelekea Mikoa mingine.
Ya Mbezi tu ndiyo imejengwa sehemu ambayo wananchi walishawekeza tayari na ndo maana pale kuna changamoto na pa moto sana kupata duka, kiwanjaDodoma haihitaji stand zisizo na faida. Kumlaumu Kunambi siyo sahihii kabisa,yupo au wapo waliojivika umungu wa maamuzi ya nchi.Kunambi alikuwa anatekeleza matakwa yao.
Na si Dodoma tu,stendi nyingi zimejengwa mbali na sehemu iliyotakiwa kujengwa,na wakati mwingine ni kubwa kuliko mahitaji.
Ya chato ndio kiboko,basi moja tu linaitwa sabuni,linatoka chato to mwanzaIla ile stend ya dodoma daaah ni hasara labda itafaa miaka 100 ujayo unaingia stend unakuta mabasi 8
Maendeleo ni watu au ya watu na si vitu vya serikali.Ila mji wa kiserekali umejegwa vizuri Sana ukikamilika utakuwa moja ya vivutio maana sio Kwa majengo yale
Mbona Dsm KKOO soko limejengwa kati kati kabisa?kwangu mm ijapokuwa soko liko nje kidogo nafikiri kunambi alikuwa anawaza 10 years to come.ingekuwa vigumu kujenga soko la namna hiyo kati kati ya mji pia miji huwa inapanuka kwa haraka na hapo baadaye hilo soko litakuja kuwa katikati ya mji.kwa sasa hatuwezi kuona faida yake sababu hakuna mtu atakayetoka mjini kulifuata hilo soko kwa kuwa bado kuna masoko mengi katikati ya mji.swala la hoteli kwa dodoma ni sawa kwa hadhi yake na aina ya watu wanaotembelea jiji hilo.kama kungekuwa na vivutio kama arusha,iringa,musoma ingekuwa siyo shida lkn kwa dodoma bado jiji halina attractions za kitalii.
Kuna mradi gani Tz ambao sio wa kifisadi?Msukuma pamoja na uccm wake bado ametoa hoja ya msingi moja tu, kwa nini dodoma kulijengwa soko la Ndugai??? je kiasi gani kimeshakusanywa ukilinganishwa na malengo ya makusanyo yaliyokuwepo?? soko la Ndugai ni mradi wa kifisadi kama ulivyo mradi wa stendi kuu ya mabasi Nyamongoro iliyoko Mwanza.
Dr. Musukuma alitulia yuko vizuri sana.Akichambua Ripoti ya CAG, Dr Msukuma Mbunge wa Geita vijijini amemlaumu Godwin Kunambi aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa kutekeleza miradi inayoleta hasara.
Dkt. Msukuma amesema Ujenzi wa Hotel ya nyota 5 ni ubabaishaji mtupu.
Ujenzi wa Soko la Ndugai hauna tija na Fedha iliyowekezwa pale haitarudi.
Ujenzi wa Stendi za Mabasi ya mikoani ni ufisadi mtupu ukiondoa chache za miji mikubwa amesema Msukuma
Kuna haja gani ya Law School kuwepo wakati katika Wanafunzi 700 wanayofanya mtihani kila Mwaka wanafaulu 26 tu amehoji Dokta.
Inawezekana CAG naye huwa anapokea mlungula kwa sababu ziko Halmashauri bobezi kwa ufisadi lakini zimepewa Hati Safi, amesisitiza Daktari wa Heshima
Mwisho Dkt. Msukuma ameshauri utaratibu wa kuwapata Wakurugenzi wa Halmashauri ubadilishwe badala ya kuteuliwa wawe wanaomba kazi kwa kushindanishwa.
Chanzo: TBC
Huifahamu Dodoma.... kama kuna miji imekuwa kwa kasi ya kimbunga ni pamoja na Dodoma and i garantee you miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa moja ya majiji makubwa nchini. Mfano mdogo ni kodi za majengo binafsi ya biashara.... kwa sasa imeongezeka mara nne mpaka tano kuliko miaka mitano iliyopita hizo ni sehemu za indictation za ukuaji wa mji. Ujenzi unaoendelea kwa kasi wa majengo ya ghorofa katikati ya mji... naongeleo barabara ya sita mpaka ya 11. Ukuaji wa usafiri wa umma Daladala, Taxi, Bajaj na pikipiki.... Purchesing power ya wakazi.... ongezeko la hotel, kumbi na mfanowe. Kudhani hiyo miradi ni hasara ni ujinga wa kufiri mbali... hata uwanja wa ndege Msarato ni 50 years solution to come.Unalinganisha upanukani wa Dsm na Dodoma?
Ni miaka 5 toka Serikali ihamie huko ila upanukaji wa mji ni mdogo mno
Hii inaweza kusaidia mtu kuishi Dar na kufanyia kazi DodomaMiradi mingi ya Dodoma haitakuja zalisha kutokana na aina ya wananchi wa Dodoma
Treni ya SGR ikimamilika ndo mtaamini Dodoma itapoteza watu kila weekend maana watakuwa na uhakika wa kurudi mapema.
Haya masaa 10 njiani hukera watu, treni ikitumia masaa 4 hadi Dodoma watu watakaa Dsm
Sasa hapo ndio ameongea nini? Hilo la soko sawa ila hilo la Hoteli na stand kuna shida gani?Akichambua Ripoti ya CAG, Dr Msukuma Mbunge wa Geita vijijini amemlaumu Godwin Kunambi aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa kutekeleza miradi inayoleta hasara.
Dkt. Msukuma amesema Ujenzi wa Hotel ya nyota 5 ni ubabaishaji mtupu.
Ujenzi wa Soko la Ndugai hauna tija na Fedha iliyowekezwa pale haitarudi.
Ujenzi wa Stendi za Mabasi ya mikoani ni ufisadi mtupu ukiondoa chache za miji mikubwa amesema Msukuma
Kuna haja gani ya Law School kuwepo wakati katika Wanafunzi 700 wanayofanya mtihani kila Mwaka wanafaulu 26 tu amehoji Dokta.
Inawezekana CAG naye huwa anapokea mlungula kwa sababu ziko Halmashauri bobezi kwa ufisadi lakini zimepewa Hati Safi, amesisitiza Daktari wa Heshima
Mwisho Dkt. Msukuma ameshauri utaratibu wa kuwapata Wakurugenzi wa Halmashauri ubadilishwe badala ya kuteuliwa wawe wanaomba kazi kwa kushindanishwa.
Chanzo: TBC
Yule jamaa alikuwa ndezi,alipenda Sana mamiradi ya show off japo Yana hasara Ili wapigeAseme tu mojakwamoja miradi mingi ya Magufuli ni hasara kwataifa kwasababu ya ujuaji wake.
Stand sawa ila soko la Ndugai ni upuuzi tuu.Hivi ukilaumu ujenzi wa stand kubwa kama ile ya Dodoma ina maana utapinga pia ujenzi wa barabra ya njia 6 kule Dar, maana hesabu ya ujenzi wake inapigia miaka takribani 10 au 20 mbele, AU hata ile aiport terminal 3 kule Dar mbona bado sehemu kubwa tu haijaweza kutumika,ni kwa sababu ya hesabu za mbali,ni kweli tunalaumu sasa hivi lakini manufaa yake tutayaona baadaye sana.