Dkt. Msukuma amkosoa Godwin Kunambi kwa kujenga hoteli na Soko la Ndugai, miradi ya hasara tupu!

Hii ni akili ya kitanzania kabisa.

Wewe ulitaka wanjenge mjini afu 2040 wabomoe tena?
 
Watanzania wachache sana watakuelewa, wengi washazoea majengo ya tembe kila mwaka wanabomoa.

Akili za kuangalia leo tu za Msukuma ndio hizo za watanzania wengi.

Hongera kwa hili bandiko.
 
Ile time ya Mwaki Embe imeshatoa report yake?
Walipewa mwezi mmoja kutoka tarehe 13 Oktoba 2022, kwa hiyo inatarajiwa watatoa ripoti yao tarehe ifikapo tarehe 13 Novemba 2022.
 
Msukuma darasa la 7 mchunga mbuzi hawezi ona miaka 20 au 30 ijayo yye ameona 2025 kwenye kujaza tumbo lake tu upuuuuuz kumsikikizaa msukuma
 
Maendeleo si ya majengo ya serikali.

Maendeleo ni wananchi wenyewe, kujenga na kufungua biashara
 
Nafikiri hiyo treni ya sgr haitakuwa na ufanisi unaoutarajia. Mfano kidogo ni atcl, licha ya kuwa na ndege mpya lakini kutokana huduma mbovu, watu wanaona bora wapande basi
Watu hupanda basi sababu ya gharama

ATCL ndege zao hujaa sana kwa sasa, ukitaka jaribu book
 
Kweli mkuu
 
Ya Mbezi tu ndiyo imejengwa sehemu ambayo wananchi walishawekeza tayari na ndo maana pale kuna changamoto na pa moto sana kupata duka, kiwanja
 
Ila ile stend ya dodoma daaah ni hasara labda itafaa miaka 100 ujayo unaingia stend unakuta mabasi 8
Ya chato ndio kiboko,basi moja tu linaitwa sabuni,linatoka chato to mwanza
 
Ila mji wa kiserekali umejegwa vizuri Sana ukikamilika utakuwa moja ya vivutio maana sio Kwa majengo yale
Maendeleo ni watu au ya watu na si vitu vya serikali.
 
Mbona Dsm KKOO soko limejengwa kati kati kabisa?
Masoko ya Magomeni, Kisutu yote yako km 5 ndani ya KKOO
 
Kuna mradi gani Tz ambao sio wa kifisadi?
 
Msukuma again!?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Kunambi ni kati ya vijana visionary waliowahi kuiongoza Dodoma.

Tangu atoke mapato sijui yanafanyiwa nini na akina Mafuru, Dodoma imedorora hata takakataka tu zimeshindikana kukusanywa, Msukuma aseme katika hili alilenga nini na ametumwa na akina nani!?

Kati ya miradi yote mitatu wa hoteli tu ndio mradi wa jiji mingine ni ya serikali kuu, naomba kurekebishwa.
 
Dr. Musukuma alitulia yuko vizuri sana.
 
Unalinganisha upanukani wa Dsm na Dodoma?

Ni miaka 5 toka Serikali ihamie huko ila upanukaji wa mji ni mdogo mno
Huifahamu Dodoma.... kama kuna miji imekuwa kwa kasi ya kimbunga ni pamoja na Dodoma and i garantee you miaka kumi ijayo Dodoma itakuwa moja ya majiji makubwa nchini. Mfano mdogo ni kodi za majengo binafsi ya biashara.... kwa sasa imeongezeka mara nne mpaka tano kuliko miaka mitano iliyopita hizo ni sehemu za indictation za ukuaji wa mji. Ujenzi unaoendelea kwa kasi wa majengo ya ghorofa katikati ya mji... naongeleo barabara ya sita mpaka ya 11. Ukuaji wa usafiri wa umma Daladala, Taxi, Bajaj na pikipiki.... Purchesing power ya wakazi.... ongezeko la hotel, kumbi na mfanowe. Kudhani hiyo miradi ni hasara ni ujinga wa kufiri mbali... hata uwanja wa ndege Msarato ni 50 years solution to come.
 
Hii inaweza kusaidia mtu kuishi Dar na kufanyia kazi Dodoma
 
Sasa hapo ndio ameongea nini? Hilo la soko sawa ila hilo la Hoteli na stand kuna shida gani?
 
Stand sawa ila soko la Ndugai ni upuuzi tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…