Dkt. Msukuma amkosoa Godwin Kunambi kwa kujenga hoteli na Soko la Ndugai, miradi ya hasara tupu!

Kuhusu soko la ndugai ,,, serikali ili miscalculate ..wangerenovate soko la majengo.likawa modern..
Kuhusu stendi Kwa geography ya dodoma stendi ingejengwa pale medeli karibu na NHC ili kuruhusu magari yanayotaka njia nne za dodoma kupark bila usumbufu..watu wengi hawaendi nane nane Kwa sababu ni usumbufu na ni gharama..mtu hawezi Toka mipango aende nane nane kupanda gari za Arusha wakati pale ni njiani ..au atoke Nala aende nane nane kupanda gari za mwanza ...
Cha kushauri serikali iwekeze zaidi maeneo ya nzuguni palipo stendi na soko na ikiwezekana wauze viwanja watu wahamie maeneo yale ...Kuna eneo kubwa liko wazi limeshikwa na serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima kuwe na pa kuanzia... then hayo yote yanafuata... mfano unajenga majengo ya kupangisha wakati huna ofisi za wafanyakazi, huna viwanda inshort huna economic trend za uhakika nani atapanga? Mimi sioni ubaya kwa miradi hiyo kuwa ndio starting point... then vichocheo vingine vinafuata.... ukiwa na infrastructure madhubuti unaanza kujenga uwezo wa pato la watu wako... unaangalia vyanzo vipya kwa kuviibua.. kwa sasa Msukuma alitakiwa afikirie nje ya box kuliko kutupa lawama za kijinga kwa mkurugenzi aliyesimamia kilichofanyika.
 
Dodoma ni mji wa hovyo, haufai kuwa Makao Makuu ya Nchi yetu.
 
Kuna miradi ambayo ni ajabu serikali kuwa nayo. .hivi inaingiaje akilini halmashauri wajenge hotel ya nyota 3...kwanza ni Kwa namna gan walifanya investment analysis na kujua possible return..
Dodoma bado haina uwezo wa kuaccomodate nyota 3 Kwa sababu Ina kiwango kidogo Cha utalii na wageni wake wengi ni government servant ambao uwezo wao kuafford nyota 3 ni mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana spidi ya ununuzi Dodoma imeanza kupungua makampuni ya kuuza viwanja yanafuata watu hadi mahotelini kubembeleza wanunue viwanja
 
Dr Msukuma anawashinda wabunge na wanasiasa wengi sana Africa hii. Asante sana Professor Msukuma you are doing great keep up the good work, MAY ALL BLESS YOU WITH HEALTH, SANITY AND WEALTH
 
Soko au hoteli inahitaji long term plan gani? Hizo zinataka kujengwa na kuleta tija kuanzia mda huo huo
Tatizo Halmashauri zinasingizia kujenga mjini Kuna gharama kubwa ya fidia lakini wanasahau return on investment ya mjini ni ya muda mfupi kuliko kuweka mradi vichakani kwenye mitunduru eti wanatanua mjini.
 
shida ya CCM inawatu wengi wenye busara kuliko wenye akili na hawa wenye busara hawana akili tena na hawajui kama hawana akili tena hivyo(wamebaki kuwasujudia wanaotudhurumu) walitakiwa waingize na kuwapa madaraka vijana (na hapa sio watoto wa viongozi wanaowakumbatia) ambao wana vision na mission mpya ya utekelezaji
 
Mkuu unazingua mbona uko google tuu Dodoma City Hotel unaiona? Iko Mji wa Serikali na ni mali ya Jiji la Dodoma.
Acha kudanganya watu wew .. dodoma city hotel haipo mji wa serikali.ipo hapo jirani na makao makuu ya ccm . Nyerere square au paradise....kama hujafika dodoma ukae kimya usije umbuka ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…