Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Apumzike kwa Amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Beware, unaweza kufa kabla yake, au wa kwako wa karibu akafa kabla yake, kwa sababu moja tu, umeandika uloandika.Jiwe akivuta mnishtue.
Tunaowahitaji wanakufa, tusiowahitaji wanakula kitimoto tu
Hata wewe ukivuta utushtueJiwe akivuta mnishtue.
Tunaowahitaji wanakufa, tusiowahitaji wanakula kitimoto tu
Amefia Dodoma au Zanzibar? Maana kifo chake kina utata.
Mkuu, Mungu ndiye Mwenye ratiba ya maisha ya wote Wenye miili, Ni Bora ujifunze kuwa na upendo tu Maana haikusaidii kumchukia mtu na kumwombea kifo wakati mtoa amri ya Nani aanze ni huyohuyo anayefahamu kwamba wewe utaondoka lini,Jiwe akivuta mnishtue.
Tunaowahitaji wanakufa, tusiowahitaji wanakula kitimoto tu
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Hiyo siku ndio itakuwa siku ya kusherehekea uhuru wa Tanzania. Desemba 9 itakuwa ni cha mtoto.Jiwe kaleta kilio kwa watu wengi zaidi.
Tunaowahitaji wanakufa, tusiowahitaji wanakula kitimoto tu
Mkuu tengua kauli yako utawala wa magufuli auna uwezo wa kusema Nani afe Nani asife.Jiwe kaleta kilio kwa watu wengi zaidi.
Tunaowahitaji wanakufa, tusiowahitaji wanakula kitimoto tu
Ajali ya matatizo ya upumuaji ndiyoAmefariki kwa ajali.