mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ili kiumbe kife ni lazima itokee changamoto ya kupumua.
Kama kusingekuwa na changamoto za kupumua basi tusingekufa.
ndo mana hata kabla ya Corona watu walikuwa wanawekewa ventilator hospital.yaani wana matatizo ya kupumua.
Kama afya yako ina mgogoro ni wazi utaichukia corona.
Ila Mimi naona Bora niumwe corona kuliko kipindu pindu.
Kama kusingekuwa na changamoto za kupumua basi tusingekufa.
ndo mana hata kabla ya Corona watu walikuwa wanawekewa ventilator hospital.yaani wana matatizo ya kupumua.
Kama afya yako ina mgogoro ni wazi utaichukia corona.
Ila Mimi naona Bora niumwe corona kuliko kipindu pindu.
kwa picha tu inasadifu mzee alikuwa kala chumvi hasaaa.Ni natural deth.kilala kheri pumzka kwa amani comrade.tutakukumbuka kwa mchango wako ulioutoa ktk taifa hili la Tanzania.