TANZIA Dkt. Muhammed Seif Khatib afariki dunia

Speciality yake ilikuwa kumnanga Augustine Mrema.

Mzee wa Kiraracha alipogeuka kuwa political zero jamaa naye taratibu akapotea.
Really? Nilimsoma sana kwenye makala zake za Muungano wa Tangangika na Zanzibar
 

Kinachosumbua wengi ni uwezo mdogo wa kutafsri namba na elimu kiduchu ya demography.
 
Alikua muandishi mzuri sana wa ushairi.

Mungu ailaze roho yake pahala pema
 
Innaa milkullah yataswarrafu fiinaa kayfa yashaau
 
Really? Nilimsoma sana kwenye makala zake za Muungano wa Tangangika na Zanzibar
Joseph Mihangwa alikuwa ahangaiki na makala za kina Mrema hao!
Makala zake huwa fikirishi sana. Gazeti la Raia Mwema la wiki hii, ameandika makala akionyesha mshangao kwa JPM kumpandisha cheo yule Jaji, eti kwa kuandika hukumu kwa Kiswahili.
Ametahadharisha kupata wataalam wasiostahili, ambao wamezawadiwa vyeo kwa style hiyo!
Aliyekuwa anahangaika na akina Mrema na Wapinzani wa CCM kwenye gazeti la Mzalendo, ni huyo Mohamed Seif Khatib, kwenye zile makala zenye jina la KIPANGA! Alikuwa wa hovyo huyoooo!!!!
 
January 20/ 1978 mpaka leo ?
 

Ni kweli mkuu.

Nimemchanganya Joseph Mihangwa wa Raia Mwema na Joseph Kulangwa aliyekuwa Mzalendo.

Nimtake radhi Joseph Mihangwa na wakuu wote kwenye huu uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…