Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

ALIMFUNGA MKEWE KISHIRIKINA SASA ALICHOKISHIKILIA KIKAMPAISHA KINAMTOKA LAZIMA AJIFANYE CHIZI.NI UPATAJI WA HOVYO WA KIROHO.
 
Mshana najua akili zako zinaona tatizo rohoni.Kuna mchawi anapambania nafsi ya mwenzake na wakirudiana hadumu.
 
Amemaanisha hivi wanawake wengi wanaonewa sana na hakuna sheria kali za kuwalinda asaidie wanawake wasionewe pia kuimarisha sheria kumlinda mwanamke
Unaongelea sheria za nchi gani dada angu? Kama ulikua ujui sheria za ndoa na mahusiano zinamlinda zaidi mwanamke. Uyo mwanamke afate utaratibu tu talaka atapata kwa mujibu wa dini yao mwanamke anaweza kutoa talaka ila atawajibika kulipa kila kitu alichopewa na mwanaume kuanzia mahari na mali zingine kama alipewa.
 
Aliyetoa pesa ya kununua nyumba ndie mwenye mali
 
Angekuwa na hekima angeomba watu wenye hekima kukutanishwa na mumewe ampigie magoti.
Hii ni sanaa kutaka huruma za watu tu.
Ampigie magoti KUMUOMBA AMUACHE??
Kama mwanamke hakutaki ACHANA NAE,WACHA KUNG'ANG'ANIA MKE ASIETAKA KUWA MKEO TENA!
 
Hajatoa na bado wahuni wanazagamua kama kawa.Yakiisha yaache yaishe!
 
Ampigie magoti KUMUOMBA AMUACHE??
Kama mwanamke hakutaki ACHANA NAE,WACHA KUNG'ANG'ANIA MKE ASIETAKA KUWA MKEO TENA!
Mkuu hivi umejiuliza chanzo cha mgogoro ni nini?
Mwanamke amezini halafu akimbilie kuomba talaka?
Mwaka ndiye aliyepaswa kuomba talaka sio huyu mnayemhurumia.
Mnadannganywa na machozi?
 
Kwani si alimzagamua hadi wakazaa jamani,, ukiachwa achika babu weee chombo bado kiko ng'aring'ari roho inauma kukiachia😜
 
Lakini kwanini sisi hatujwahi kuipenda kweli watu wangu?

Kosa la Mwaka liko wapi?

Unajua mwanaume unapokuwa na mke wako unamhudumia kwa kila hali halafu ghafla unamfumania analiwa na jitu labda limehonga mafuta ya 50k tu ni sawa?
Kwanini hamvai kiqtu cha Mwaka?
Kama Mwaka ana makosa na wameahindwa kusuluhishwa hapo sawa.
Lakini kwa ishu ya uzinzi tutetee uovu wanangu?
 
Nimegundua huyu mama ana hekima sana
... hata mimi nimeliona hilo; ni wife material. Huyu siku anapokea talaka yake siku hiyo hiyo anaolewa unless uniambie sijui kuna eda sijui vitu gani vya kumkwamisha temoprarily lakini "halali njaa" huyu! Na ndicho kinachomsumbua Mwaka.
 
Hivi kwani huyu dada alifumaniwa? Na hata km alifumaniwa bado yeye ndo anadai talaka shida iko wapi?

Kama sivyo mwaka anakosea ilitakiwa alimalizie hukohuko lisifikie hapa,, kwa picha ilivyo dokita anakosea kumtisha na kuzungusha kutoa talaka,, mwanamke akifikia hapa huwa haitakiwi kumng'ang'ania ampe talaka yake waachane, akaolewe kwingine na hiki ndicho mwaka kinamkoroga utumbo,, nimepitia kitu km hiki wanaume nawajua vizuri vichwa vyenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…