Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

Dkt. Mwaka ajitafakari. Upendo ukiisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee

... hata mimi nimeliona hilo; ni wife material. Huyu siku anapokea talaka yake siku hiyo hiyo anaolewa unless uniambie sijui kuna eda sijui vitu gani vya kumkwamisha temoprarily lakini "halali njaa" huyu! Na ndicho kinachomsumbua Mwaka.
Huu ndo uhalisia kabisaa
 
Sasa usiamini kivipi mtu kakubali kuachia hadi mali??na anasema hakutaki
Mwaka ametaka mali?
Mwaka anatake msaliti aendelee kuwa kwenye himaya yake.
Mnamkandamiza mwanaume mwenzenu kwa kutishwa na machozi?

Wewe mke achepuke kirahisi akimbilie kuomba talaka?

Ninasimama na mwaka.
Siku Mwaka akifunua mdomo mtaaibika sana watetezi wa mwansmke huyu
 
Mwaka ametaka mali?
Mwaka anatake msaliti aendelee kuwa kwenye himaya yake.
Mnamkandamiza mwanaume mwenzenu kwa kutishwa na machozi?

Wewe mke achepuke kirahisi akimbilie kuomba talaka?

Ninasimama na mwaka.
Siku Mwaka akifunua mdomo mtaaibika sana watetezi wa mwansmke huyu
Alizin lin huyo dada?
 
Halafu acheni huu ujinga wenu wa matatizo yenu ya ndoa kuihusisha mama samia na serikali yake... serikali inahusu nini katika maisha yenu ya ndoa? Serikalini ina mambo mengi ya kufanya hali ya maisha ipo juu then ianze kujadili mlivyokuwa mnapigana miti!!.?
Nendeni bakwata uko pumbavu
... ni jukumu la serikali kuhakikisha usalama wa raia wake tena raia mmoja mmoja. Huyo bidada anajihisi hayuko salama kuomba msaada wa serikali ni haki yake.
 
Hivi kwani huyu dada alifumaniwa? Na hata km alifumaniwa bado yeye ndo anadai talaka shida iko wapi?

Kama sivyo mwaka anakosea ilitakiwa alimalizie hukohuko lisifikie hapa,, kwa picha ilivyo dokita anakosea kumtisha na kuzungusha kutoa talaka,, mwanamke akifikia hapa huwa haitakiwi kumng'ang'ania ampe talaka yake waachane, akaolewe kwingine na hiki ndicho mwaka kinamkoroga utumbo,, nimepitia kitu km hiki wanaume nawajua vizuri vichwa vyenu
Kapeace wewe ni rafiki yangu mpendwa na najua una akili kubwa.

Nyie wanawake sisi tukiharibu na kuwaacha mnaona tunawapotezea muda na tumewachezea.
Kwanini msione hili kwa huyu mama kuwa kampotezea mwenzie muda na gharama?
 
View attachment 2510019
Kuna kipindi sisi wanaume huwa tunajipalilia maanguko yetu sisi wenyewe. Haijalishi umempenda mtu kiasi gani, ikifikia wakati upendo ukaisha ni busara kukubali kuachia na maisha yaendelee.

Kupitia hili sakata la Mwaka na mke wake, Mwaka anaweza akahisi ameshinda, ila daima mwanamke sio wa kumfanya adui yako, hasa mwanamke ambae anajua undani wako.

Bila kujua Mwaka anapigwa laana na machozi ya mkewe, watoto wake na hata watu wengine wanaouguswa na haya mambo.

Sio kwa kuwa biased, ila Mwaka ana kila traits za Sadisit (mtu anaepata faraja katika maumivu ya wengine) na hili halitamalizika vyema kwake.

Hili lijamaa ni lipumbavu sana, hivi mwanamke wa nini kumsumbukia hivi
 
Huu ndo uhalisia kabisaa
... Mwaka angehakikishiwa akitoa talaka, mtalaka wake huyo atadhalilika maisha yake yote angeshaitoa toka juzi! Ila kwa kuwa ana uhakika kutoa talaka ni sawa na kumwongezea chura mwendo tena kwa spidi ya mwanga anahisi atadhalilika yeye (Mwaka). Hilo linamsumbua kweli kweli!
 
Kapeace wewe ni rafiki yangu mpendwa na najua una akili kubwa.

Nyie wanawake sisi tukiharibu na kuwaacha mnaona tunawapotezea muda na tumewachezea.
Kwanini msione hili kwa huyu mama kuwa kampotezea mwenzie muda na gharama?
Kuna taarifa kuwa dokita alimtelekeza huyu mwanamke kwa mwaka mzima,, hapo bado unamtetea huyo dokta?? Hivi unamng'ang'aniaje mtu asiyekutaka kumbuka anao wake wengine,
 
... Mwaka angehakikishiwa akitoa talaka, mtalaka wake huyo atadhalilika maisha yake yote angeshaitoa toka juzi! Ila kwa kuwa ana uhakika kutoa talaka ni sawa na kumwongezea chura mwendo tena kwa spidi ya mwanga anahisi atadhalilika yeye (Mwaka). Hilo linamsumbua kweli kweli!
Na wanaume wengi abusive wana hii tabia, anataka akikuacha upauke hata nzi asikusogelee, ikiwa kinyume ndo utaona sarakasi zao, kwavile anajua bado analipa basi anaona ambanie ili amkatishe tamaa, amsumbue tu, ingekuwa huyu dada ni mtu mzima(mzee) angeshampa hiyo talaka,
 
"Mwanamke" kama kaona "Jamaa" hataki kutoa "talaka" basi atoe yeye lakini pia kwa kufanya hivyo "atapoteza" haki yake ya kugawana/kugawiwa "mali"
... duh; ndio nini hii? Mwanamme naye akitoa talaka anpoteza haki yake ya mali? Au hiyo ina-apply tu endapo ni mwanamke katoa?
 
Ila hizi ndoa za mmoja kubadiri dini au Mtu alikuwa na ndoa yake ya kikiristo akamkimbia mume WA ujana wake na kubadiri dini na kuwa muislam Leo anatesekea dini na ndoa hakika Mungu yupo ...
 
Na wewe ukiwa na akili timamu kabisa unaamini huo ulaghai?
Ili tuamini au tusiamini cha kwanza ampe kwanza baada ya hapo ndo tutajua nani mkweli nani muongo!
Ila nnachoona mwaka kila akikumbuka mabakuli ya supu na uji ambayo alisema queen alikua anamwasha nayo roho inamdunda sio kidogo🤣🤣
 
Back
Top Bottom