Dkt. Mwakyembe akabidhi ripoti ya uchunguzi kufeli mawakili LST

Dkt. Mwakyembe akabidhi ripoti ya uchunguzi kufeli mawakili LST

View attachment 2422326
Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe amesema changamoto hizo pia zimelalamikiwa na LST pamoja na wadau mbalimbali wa sheria.

Dk Mwakyembe ameeleza hayo leo Jumapili Novemba 20, 2022 wakati akisoma muhtsari wa taarifa ya kamati hiyo kufuatilia chanzo cha wanafunzi wengi kufeli katika mitihani ya mafunzo katika taasisi ya LST.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, katibu mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo, wajumbe wa kamati hiyo pamoja viongozi waandamizi wa wizara hiyo.

Kamati hiyo yenye wajumbe saba iliteuliwa Oktoba 12, mwaka huu na Dk Ndumbaro na kufanya kazi kwa siku 30 kufuatilia sakata la kufeli kwa wanafunzi wengi wa taasisi hiyo.

Sakata hilo lililoibuliwa na Mwananchi, lilitokana na matokeo ya awamu (Cohort) ya 35 ya wanafunzi wa taasisi hiyo, kuonyesha kati ya wanafunzi 633 waliofanya mtihani huo, ni 26 ndio waliofaulu kwa awamu ya kwanza.

Katika matokeo hayo, wanafunzi 265 walifeli (discontinue) na wengine 242 walitakiwa kurudia mtihani (supplementary).

Akitoa taarifa hiyo leo, Dk Mwakyembe amesema udahili wa wanafunzi wengi kupita uwezo katika vyuo vinavyofundisha sheria na Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo unasababisha uwiano mbaya kati walimu na wanafunzi na kuathiri ufundishaji na usimamizi.

Pia Dk Mwakyembe ambaye ni waziri wa zamani wa Katiba na Sheria amesema kumekuwa na uhuria usio kuwa na tija kwa kila chuo kuwa na uhuru wa kupanga muda wa kukamilisha shahada ya sheria kati ya miaka mitatu au minne.

"Pia uwezo mdogo wa wanafunzi wengi wanaoruhusiwa kusoma sheria na baadaye kujiunga na LST katika kumudu lugha ya kufundishia ya kiingereza.Tatizo hili lina athari kubwa katika uelewa wa masomo ya kujieleza," amesema Dk Mwakyembe.

Mbali na hilo, amesema uamuzi wa Tume ya Vyuo Vikuu kushusha vigezo vya ufaulu katika mitihani ya kidato cha sita kutoka alama nane (B mbili kwa masomo mawili hadi alama nne ( D mbili kwa masomo mawili kulikowezessha vijana wasiokuwa na uwezo kusoma masomo ya sheria.

Dk Mwakyembe mbunge wa zamani wa Kyela mkoani Mbeya amesema utatuzi wa changamoto hizo upo kisera na kimfumo. Amesema mfumo wa bora wa elimuT ya sheria unasimamamiwa na ule uanasheria kwa vitendo unasimamiwa na Baraza la Elimu ya Sheria nchini (CLE).

Amesema kamati inashauri kufufuliwa kwa CLE na kuliwezesha kutekeleza majukumu yake ikiwemo kukaa chini na TCU kupandisha vigezo vya ufaulu wa mitihani ya kidato cha sita na nne kwa wanaotaka kusomea sheria vyuo vikuu.

"Kuanzisha mtihani maalumu wa kuingia LST kama ilivyo kwa wenzetu wa Afrika Mashariki ambao utasimamiwa na CLE, " amesema Dk Mwakyembe.

Dk Ndumbaro amesema, “leo tumepokea taarifa tunakwenda msituni, tutapitia changamoto kwa changamoto zilizoanishwa katika taarifa ya kamati hii” Dk Ndumbaro

MWANANCHI
Kweli sasa vilaza wamevamia sheria. Unashangaa mtu toka la kwanza hadi form 6 alikuwa kilaza msindikizaji shuleni naye anasoma sheria!! Tofauti na zamani sheria walienda vipanga cream tupu.
 
View attachment 2422326
Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe amesema changamoto hizo pia zimelalamikiwa na LST pamoja na wadau mbalimbali wa sheria.

Dk Mwakyembe ameeleza hayo leo Jumapili Novemba 20, 2022 wakati akisoma muhtsari wa taarifa ya kamati hiyo kufuatilia chanzo cha wanafunzi wengi kufeli katika mitihani ya mafunzo katika taasisi ya LST.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, katibu mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo, wajumbe wa kamati hiyo pamoja viongozi waandamizi wa wizara hiyo.

Kamati hiyo yenye wajumbe saba iliteuliwa Oktoba 12, mwaka huu na Dk Ndumbaro na kufanya kazi kwa siku 30 kufuatilia sakata la kufeli kwa wanafunzi wengi wa taasisi hiyo.

Sakata hilo lililoibuliwa na Mwananchi, lilitokana na matokeo ya awamu (Cohort) ya 35 ya wanafunzi wa taasisi hiyo, kuonyesha kati ya wanafunzi 633 waliofanya mtihani huo, ni 26 ndio waliofaulu kwa awamu ya kwanza.

Katika matokeo hayo, wanafunzi 265 walifeli (discontinue) na wengine 242 walitakiwa kurudia mtihani (supplementary).

Akitoa taarifa hiyo leo, Dk Mwakyembe amesema udahili wa wanafunzi wengi kupita uwezo katika vyuo vinavyofundisha sheria na Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo unasababisha uwiano mbaya kati walimu na wanafunzi na kuathiri ufundishaji na usimamizi.

Pia Dk Mwakyembe ambaye ni waziri wa zamani wa Katiba na Sheria amesema kumekuwa na uhuria usio kuwa na tija kwa kila chuo kuwa na uhuru wa kupanga muda wa kukamilisha shahada ya sheria kati ya miaka mitatu au minne.

"Pia uwezo mdogo wa wanafunzi wengi wanaoruhusiwa kusoma sheria na baadaye kujiunga na LST katika kumudu lugha ya kufundishia ya kiingereza.Tatizo hili lina athari kubwa katika uelewa wa masomo ya kujieleza," amesema Dk Mwakyembe.

Mbali na hilo, amesema uamuzi wa Tume ya Vyuo Vikuu kushusha vigezo vya ufaulu katika mitihani ya kidato cha sita kutoka alama nane (B mbili kwa masomo mawili hadi alama nne ( D mbili kwa masomo mawili kulikowezessha vijana wasiokuwa na uwezo kusoma masomo ya sheria.

Dk Mwakyembe mbunge wa zamani wa Kyela mkoani Mbeya amesema utatuzi wa changamoto hizo upo kisera na kimfumo. Amesema mfumo wa bora wa elimuT ya sheria unasimamamiwa na ule uanasheria kwa vitendo unasimamiwa na Baraza la Elimu ya Sheria nchini (CLE).

Amesema kamati inashauri kufufuliwa kwa CLE na kuliwezesha kutekeleza majukumu yake ikiwemo kukaa chini na TCU kupandisha vigezo vya ufaulu wa mitihani ya kidato cha sita na nne kwa wanaotaka kusomea sheria vyuo vikuu.

"Kuanzisha mtihani maalumu wa kuingia LST kama ilivyo kwa wenzetu wa Afrika Mashariki ambao utasimamiwa na CLE, " amesema Dk Mwakyembe.

Dk Ndumbaro amesema, “leo tumepokea taarifa tunakwenda msituni, tutapitia changamoto kwa changamoto zilizoanishwa katika taarifa ya kamati hii” Dk Ndumbaro

MWANANCHI

Yaliyoandikwa mwananchi ni tofauti na yaliyoandikwa nipashe:

Kamati ya Uchunguzi ya Kufeli kwa Wanafunzi Law School yasema haijapata Ushahidi wa Kutosha kutoka kwa Wanafunzi kuhusiana na Madai yao

Pana haja ya kuiona ripoti kamili.

Hata hivyo nani alitegemea la maana tokea kwa hakimu nyani mshtakiwa ngedere kala mahindi?
 
Kweli sasa vilaza wamevamia sheria. Unashangaa mtu toka la kwanza hadi form 6 alikuwa kilaza msindikizaji shuleni naye anasoma sheria!! Tofauti na zamani sheria walienda vipanga cream tupu.

Mawazo mgando bila shaka tokea kwa wale wananchi wabile nchi ya viwanda. Kazi kweli kweli.
 
View attachment 2422326
Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Dk Harrison Mwakyembe amesema changamoto hizo pia zimelalamikiwa na LST pamoja na wadau mbalimbali wa sheria.

Dk Mwakyembe ameeleza hayo leo Jumapili Novemba 20, 2022 wakati akisoma muhtsari wa taarifa ya kamati hiyo kufuatilia chanzo cha wanafunzi wengi kufeli katika mitihani ya mafunzo katika taasisi ya LST.

Hafla hiyo imehudhuriwa na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro, katibu mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mary Makondo, wajumbe wa kamati hiyo pamoja viongozi waandamizi wa wizara hiyo.

Kamati hiyo yenye wajumbe saba iliteuliwa Oktoba 12, mwaka huu na Dk Ndumbaro na kufanya kazi kwa siku 30 kufuatilia sakata la kufeli kwa wanafunzi wengi wa taasisi hiyo.

Sakata hilo lililoibuliwa na Mwananchi, lilitokana na matokeo ya awamu (Cohort) ya 35 ya wanafunzi wa taasisi hiyo, kuonyesha kati ya wanafunzi 633 waliofanya mtihani huo, ni 26 ndio waliofaulu kwa awamu ya kwanza.

Katika matokeo hayo, wanafunzi 265 walifeli (discontinue) na wengine 242 walitakiwa kurudia mtihani (supplementary).

Akitoa taarifa hiyo leo, Dk Mwakyembe amesema udahili wa wanafunzi wengi kupita uwezo katika vyuo vinavyofundisha sheria na Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo unasababisha uwiano mbaya kati walimu na wanafunzi na kuathiri ufundishaji na usimamizi.

Pia Dk Mwakyembe ambaye ni waziri wa zamani wa Katiba na Sheria amesema kumekuwa na uhuria usio kuwa na tija kwa kila chuo kuwa na uhuru wa kupanga muda wa kukamilisha shahada ya sheria kati ya miaka mitatu au minne.

"Pia uwezo mdogo wa wanafunzi wengi wanaoruhusiwa kusoma sheria na baadaye kujiunga na LST katika kumudu lugha ya kufundishia ya kiingereza.Tatizo hili lina athari kubwa katika uelewa wa masomo ya kujieleza," amesema Dk Mwakyembe.

Mbali na hilo, amesema uamuzi wa Tume ya Vyuo Vikuu kushusha vigezo vya ufaulu katika mitihani ya kidato cha sita kutoka alama nane (B mbili kwa masomo mawili hadi alama nne ( D mbili kwa masomo mawili kulikowezessha vijana wasiokuwa na uwezo kusoma masomo ya sheria.

Dk Mwakyembe mbunge wa zamani wa Kyela mkoani Mbeya amesema utatuzi wa changamoto hizo upo kisera na kimfumo. Amesema mfumo wa bora wa elimuT ya sheria unasimamamiwa na ule uanasheria kwa vitendo unasimamiwa na Baraza la Elimu ya Sheria nchini (CLE).

Amesema kamati inashauri kufufuliwa kwa CLE na kuliwezesha kutekeleza majukumu yake ikiwemo kukaa chini na TCU kupandisha vigezo vya ufaulu wa mitihani ya kidato cha sita na nne kwa wanaotaka kusomea sheria vyuo vikuu.

"Kuanzisha mtihani maalumu wa kuingia LST kama ilivyo kwa wenzetu wa Afrika Mashariki ambao utasimamiwa na CLE, " amesema Dk Mwakyembe.

Dk Ndumbaro amesema, “leo tumepokea taarifa tunakwenda msituni, tutapitia changamoto kwa changamoto zilizoanishwa katika taarifa ya kamati hii” Dk Ndumbaro

MWANANCHI
Kwahiyo kuna mawakili vilaza...baada ya kutamba kwa mawakili wasomi??
 
D mbili form 6 🤯🤯 siku hizi unasoma sheria!!!!!Zamani ukiona mtu anasoma sheria au medicine au engineering au economics au accounts au computer science, ujue alikuwa kichwa kweli kweli shuleni.

Una maana vichwa kweli kweli kama waliofuata dawa za ngwengwe Madagascar?
 
Yaliyoandikwa mwananchi ni tofauti na yaliyoandikwa nipashe:

Kamati ya Uchunguzi ya Kufeli kwa Wanafunzi Law School yasema haijapata Ushahidi wa Kutosha kutoka kwa Wanafunzi kuhusiana na Madai yao

Pana haja ya kuiona ripoti kamili.

Hata hivyo nani alitegemea la maana tokea kwa hakimu nyani mshtakiwa ngedere kala mahindi?
Inafikirisha sana. Tubadili fikra zetu. mambo haya hayatakaa kuja kukoma kama tunafikiria kama robots. Pengine anachosems Mwakyembe kina ukweli mwingi
 
Hapa naona ni kutupiana hilo gunia la misumari. Tukianza na law school wako sawasawa kweli? Vijana ni vilaza au mfumo wetu ndio unazalisha vilaza? Mwakyembe tumuamini au ni walewale.
 
Inafikirisha sana. Tubadili fikra zetu. mambo haya hayatakaa kuja kukoma kama tunafikiria kama robots. Pengine anachosems Mwakyembe kina ukweli mwingi

Ifahamike kuwa Mwakyembe kasema mengi. Kabla ya kuiona ripoti kamili kujaribu kutoa msimamo kuihusu itakuwa ni jambo la kushangaza.

Hata hivyo kwa dondoo kuwahusu miungu watu wale ninashawishika kuamini kuwa pana mengi yanayoweza kuja kuwa sawa.

Miungu watu wale walikuwa miungu watu kweli kweli wakasahau vyeo ni dhamana.

Wakisema 'mwanzo wa ngoma ni Lele.'
 
Nakubaliana na Tume

Digrii ya Sheria imegeuka dampo la kila failure wa form six wa combination zote
Wakifeli fall back position ni kwenda kusoma law

Degree ya law inabeba makokoro.yote sio noble degree tena

Enzi zake law bila ufaulu mkubwa hukanyagi kusoma degree ya Law.Walichukua fani zote za combination ila za wenye ufaulu mkubwa sana

Sasa hivi mzazi nashauri usimpeleke mtoto kusoma degree ya law sio tu haina soko lakini failures wengi ndio wamejazana huko
 
Nakubaliana na Tume

Digrii ya Sheria imegeuka dampo la kila failure wa form six wa combination zote
Wakifeli fall back position ni kwenda kusoma law

Degree ya law inabeba makokoro.yote sio noble degree tena

Enzi zake law bila ufaulu mkubwa hukanyagi kusoma degree ya Law.Walichukua fani zote za combination ila za wenye ufaulu mkubwa sana

Sasa hivi mzazi nashauri usimpeleke mtoto kusoma degree ya law sio tu haina soko lakini failures wengi ndio wamejazana huko

Tanzania kama taifa ilikuwa zamani.

Lililokuwa taifa la kupigiwa Mfano halipo tena

Leo hii Hadi kina @yahodaya ni ma think tank wabobezi.

Hiiiiiiii bagosha.
 
Kusoma degree ya Law ili kuja kuajiriwa kwa sasa ni kupoteza tu muda. Wahitimu ni wengi, ajira hakuna. Law imekuwa ni degree ya yebo yebo. Failure kibao wanasoma law.
 
Ifahamike kuwa Mwakyembe kasema mengi. Kabla ya kuiona ripoti kamili kujaribu kutoa msimamo kuihusu itakuwa ni jambo la kushangaza.

Hata hivyo kwa dondoo kuwahusu miungu watu wale ninashawishika kuamini kuwa pana mengi yanayoweza kuja kuwa sawa.

Miungu watu wale walikuwa miungu watu kweli kweli wakasahau vyeo ni dhamana.

Wakisema 'mwanzo wa ngoma ni Lele.'
Hii Miungu watu ndio imeharibu elimu yetu. Wametukalilisha madesa, tumesahau kutumia vichwa kusoma, kufikiri na kujenga hoja za kupambana na changamoto za mazingira yetu
 
Katibu mtendaji mMwanzilishi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Anthony Ngaiza alisema, “tatizo halitokani na wahitimu wa vyuo vikuu kutokaa kwenye ‘law firms’ kwa muda mrefu.”
Ngaiza alisema tatizo ni ubora wa wahitimu, “hawana uelewa unaotakiwa kwa wanasheria. Hawana viwango stahiki vya lugha ya Kiingereza kuweza kumudu. Hata walimu wao wakiwa wazuri namna gani (ingawa naamini asilimia zaidi ya 50 ya walimu wao nao hawana ubora unaotakiwa.”
Jalala!
 
Kweli sasa vilaza wamevamia sheria. Unashangaa mtu toka la kwanza hadi form 6 alikuwa kilaza msindikizaji shuleni naye anasoma sheria!! Tofauti na zamani sheria walienda vipanga cream tupu.
Kwani kusoma maana yake nini?.Kama mtu yuko chuo na anafundishwa kuna shida gani?.au kazi ya chuo ni nini?.Mtu kutokua kipanga uko kwenye elimu ya chini haimaanishi hawezi kufundishwa chuo akaelewa.Tatizo hapa ni kwamba uko vyuoni kuna shida ya kufwatilia ufundishaji na uelewa wa wanafunzi wanaohitimu.Hilo ndo tatizo la msingi.kwasababu haiwezekani mtu amalize degree ya kwanza alafu akienda Tls ashindwe ata kujieleza.
 
nitashangaa kama ripoti hiyo itatetea vilaza, wavivu wa kusoma, wanaotaka mteremko.
vijana wetu wa sasa ni wavivu, wanapenda starehe zaidi kuliko kusoma.
 
Back
Top Bottom