Dkt. Mwigullu Nchemba: Hatuwezi kumuacha mtu awe tajiri kwa kukusanya pesa za Watanzania

Dkt. Mwigullu Nchemba: Hatuwezi kumuacha mtu awe tajiri kwa kukusanya pesa za Watanzania

Shida yao ni wakati wa Magufuli baadhi ya wanasiasa walikuwa wanakosoa utaratibu ambao upo kisheria na kusingizia Magufuli anawatuma TRA.

Wakati uhalisia Magufuli alikuwa aingilii taratibu za TRA yeye mwenye alijaribu kuingilia kesi moja mwanza ya mtu account yake kuingiliwa na TRA. Inavyoonekana baada ya kupewa somo sheria inaruhusu kurudi nyuma miaka mitano kwenye tax fraud investigation (ipo hivyo karibu dunia nzima) akakaa kimya, sana sana akabaki kuhimiza TRA kuacha uonevu na kufuata sheria.

‘Bi-tozo’ na team yake walipoingia wakaanza na uropokaji bila ya kufahamu taratibu za sheria ya ‘tax administration act’ na zingine za kodi zinasemaje huku wakitoa maagizo na maelekezo kinyume na sheria katika harakati zao za kumchafua raisi aliekuwepo.

Uongo una muda na kodi sio swala la mzaha ukwepaji kodi umerudi kwa nguvu inaonekana na TRA imeagizwa ifanye kazi na taratibu za investigation ni sheria ndio wanastuka alaa kumbe yale makelele ya 2015-21 ni porojo tu ule aukuwa uonevu bali ni sheria.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9q2nrNu3qds

Mwigulu alikuwa anamjinu Dr Kimei it doesn’t take much to figure out stance ya wasomi wa kitanzania.

Kwenye sakata la mikopo mchango wa Dr Kimei uliashiria upande wake yupo kama lobbyist wa banks na ili la kodi ana lobby kwa niaba ya wafanyabiashara.

Ndio Dr Kimei is a good economist and bank finances, lakini sio accountant ndio maana ameshindwa kuelewa kuna sheria ya tax administration na yeye hajaisoma apparently na kutunga uongo wa madai ya kodi yanaweza rudi hadi miaka 20, wakati limit ni miaka tano, na wala kauli za raisi na waziri wa fedha azibadili sheria. Kwenye ili hata Mwigulu alikuwa kihere-here mwanzo wa kukosoa utaratibu wa TRĄ kurudi ukaguzi wa nyuma bila ya kuelewa sheria.
 

Waziri wa fedha Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemaba leo mei 22,2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kujibu hoja za wabunge waliochangia bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara

Katika majibu yake Dkt. Mwigulu amesema kuwa mtu yoyote anayekusanya fedha ya Serikali ni lazima aifikishe sehemu husika

Dkt. Mwigulu amesema haiwezekani kumuachia mtu anayekusanya fedha za watanzania halafu akawa tajiri huku akina mama wajawazito na wanafunzi wanakosa huduma kwa sababu yake
Hivi ile fleet ya zile Esther Luxury Coach hakuna kodi zetu pale??
 

Waziri wa fedha Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemaba leo mei 22,2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kujibu hoja za wabunge waliochangia bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara

Katika majibu yake Dkt. Mwigulu amesema kuwa mtu yoyote anayekusanya fedha ya Serikali ni lazima aifikishe sehemu husika

Dkt. Mwigulu amesema haiwezekani kumuachia mtu anayekusanya fedha za watanzania halafu akawa tajiri huku akina mama wajawazito na wanafunzi wanakosa huduma kwa sababu yake
Comments reserved
 
Aanze na mfumo wa ukusanyaji mapato ya Serikali GEPG.... Control Number kuipata ni issue.:1Head:
 
Shida yao ni wakati wa Magufuli baadhi ya wanasiasa walikuwa wanakosoa utaratibu ambao upo kisheria na kusingizia Magufuli anawatuma TRA.

Wakati uhalisia Magufuli alikuwa aingilii taratibu za TRA yeye mwenye alijaribu kuingilia kesi moja mwanza ya mtu account yake kuingiliwa na TRA. Inavyoonekana baada ya kupewa somo sheria inaruhusu kurudi nyuma miaka mitano kwenye tax fraud investigation (ipo hivyo karibu dunia nzima) akakaa kimya, sana sana akabaki kuhimiza TRA kuacha uonevu na kufuata sheria.

‘Bi-tozo’ na team yake walipoingia wakaanza na uropokaji bila ya kufahamu taratibu za sheria ya ‘tax administration act’ na zingine za kodi zinasemaje huku wakitoa maagizo na maelekezo kinyume na sheria katika harakati zao za kumchafua raisi aliekuwepo.

Uongo una muda na kodi sio swala la mzaha ukwepaji kodi umerudi kwa nguvu inaonekana na TRA imeagizwa ifanye kazi na taratibu za investigation ni sheria ndio wanastuka alaa kumbe yale makelele ya 2015-21 ni porojo tu ule aukuwa uonevu bali ni sheria.
Sheria ikiwa ya kipumbavu inafutwa au kuingiliwa na Wanasiasa hata kama ndio sheria.

Ni jambo la ukweli kwamba Magufuli alikuwa anatumia TRA kufanya siasa za visasi lakini pia alitumia hii kufilisika wafanyabiashara Kwa madai ya zaidi ya miaka 5.

Kulea wafanyabiashara ni muhimu sana ila ulezi mzuri ni wa kuelimisha watu wadai risiti Ili pesa ya serikali ilipwe.

Ukienda Kwa Nguvu kijinga jinga kama Mwendazake ndio sababu wafanyabiashara na wawekezaji walikimbia and so utakosa vyote.
 

Waziri wa fedha Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemaba leo mei 22,2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kujibu hoja za wabunge waliochangia bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara

Katika majibu yake Dkt. Mwigulu amesema kuwa mtu yoyote anayekusanya fedha ya Serikali ni lazima aifikishe sehemu husika

Dkt. Mwigulu amesema haiwezekani kumuachia mtu anayekusanya fedha za watanzania halafu akawa tajiri huku akina mama wajawazito na wanafunzi wanakosa huduma kwa sababu yake
Hili bumunda bana uchumi unakufa liko bize kuvaa bendera
 
Dkt. Mwigulu amesema haiwezekani kumuachia mtu anayekusanya fedha za watanzania halafu akawa tajiri huku akina mama wajawazito na wanafunzi wanakosa huduma kwa sababu yake
Namwona opportunist kwa pembeni
 

Attachments

  • SmartSelect_20240522_195710_Samsung Internet.png
    SmartSelect_20240522_195710_Samsung Internet.png
    78.9 KB · Views: 1
Kwa maelezo hayo ya Mwigulu hawezi eleweka na wabunge too generic and doesn’t make sense kwa mtu asie na basics za kodi.

Kitu cha msingi hapo katika majibu yake ni kuwaalika wataalamu kwenda kuwapa seminar ya kodi wabunge na taratibu za ukusanyaji.

They are all over the place waziri mwenyewe awezi tofautisha aina za kodi kati PAYE (income tax) and Value added Tax (VAT), anachanganya tu ndio maana kuna confusion na yeye ndio anapanga viwango vya hizo kodi. Sasa huyu ndio wakuelezea taratibu za TRA kweli kwenye utekelezaji wa shughuli zao hadi wabunge waelewe msingi wa hatua zao kwa kanuni za IFRS, IAS (hiyo sheria ya tax administration act sources yake ni hizo international standards) ndio maana hiyo sheria inafanana karibu nchi zote duniani.

Iła watanzania ni slow learners how often watu waelezee haya mambo. Hii ndio tofauti ya January Makamba na wenzie. January akikutana na technical advise anaruka nayo anaenda jiongeza zaidi kwenye hilo swala halafu akipata ulingo hiyo hoja anaielezea kwa ujuaji utadhani alikuwa anafahamu hilo jambo all the while (hizo ni dalili za mtu mwenye elimu open to new ideas). Waliobaki ni slow learners can’t tell difference between a bad and good advice kwa sababu wao wenyewe vilaza including huyo Mwigulu.
 
Back
Top Bottom