Dkt. Mwigullu Nchemba: Hatuwezi kumuacha mtu awe tajiri kwa kukusanya pesa za Watanzania

Dkt. Mwigullu Nchemba: Hatuwezi kumuacha mtu awe tajiri kwa kukusanya pesa za Watanzania

Tena amesema Samia anawafanyia fair like ingekuwa mwingine au yeye hakuna rangi wangeacha kuiona.

Alikuwa anaizungumzia ule utaratibu wa eti mfanyabiashara akipitiliza miaka 3 aachwe,hiyo haipo
Yeye Analipa kodi,suala hapa wafanya biashara wanalalamikia customer service na minyanyaso, hakuna asiyetaka kulipa kodi lakini waache kubambikizia watu na kuwapiga mikwara na Rushwa kama ilivyokuwa awamu ya 5 uchumi ulirudi chini kwa watu kufunga biashara na kukimbilia nje.
 
Yeye Analipa kodi,suala hapa wafanya biashara wanalalamikia customer service na minyanyaso, hakuna asiyetaka kulipa kodi lakini waache kubambikizia watu na kuwapiga mikwara na Rushwa kama ilivyokuwa awamu ya 5 uchumi ulirudi chini kwa watu kufunga biashara na kukimbilia nje.
Customer service ipi mnayotaka?

Minyanyaso kama ipi? Kama wanataka Rushwa Kwa nini msiwaeipoti?

Lipa mapema hakuna mtu atakunyanyasa
 
Kaongea dakika nyingi kitu kidogo kashindwa kufupisha?
Tunataka atuambia kwanini Maafishabiashara wanakuwa revenue collectors kwenye Halmashauri badala kutoa Elimu ya biashara na namna ya kufanya biashara kwa wafanya biashara wetu wa aina zote,mitaji Iko wapi,solo liko wapi,mpangilio wa biashara sio huu wa Sasa unakuta mtaa mmoja una wafanya biashara 20 na wote wanauza;mkate,skonzi,maandazi,soda za azamu na moh. b)atueleze Kodi ya zuio aliyeilipa anaidai serikali inatakiwa ipunguzwe kwenye Kodi yake ya mapato c)Kwani mfanyabiasnhara alipe service levy"na happo happo alipe ushuru wa taka,tfda,leseni ya biashara,sewerage n.k d)V.A.T ,hii Kodi ya ongezeko la thamani iwepo mechanism ambapo mfanya biashara alipe net off tra badala ya kulipa total sum collected tra na Kisha aende kudai tofauti ya aliyolipa na aliyolipwa kwa niaba ya serikali tra.Sehemu kwa sehemu ila sehemu kubwa ya biashara zinafanyika kwa mtindo wa ujanja ujanja ,Kodi hazilipiki na tra Wala Hawana muda wa kutafiti kwanini wengi hawalipi Kodi.Nashauri serikali iangalie upya utozaji wa Kodi zingine ni nuincnce taxes&fee,disincentive,ifute zingine au iungnishe
 
Tunataka atuambia kwanini Maafishabiashara wanakuwa revenue collectors kwenye Halmashauri badala kutoa Elimu ya biashara na namna ya kufanya biashara kwa wafanya biashara wetu wa aina zote,mitaji Iko wapi,solo liko wapi,mpangilio wa biashara sio huu wa Sasa unakuta mtaa mmoja una wafanya biashara 20 na wote wanauza;mkate,skonzi,maandazi,soda za azamu na moh. b)atueleze Kodi ya zuio aliyeilipa anaidai serikali inatakiwa ipunguzwe kwenye Kodi yake ya mapato c)Kwani mfanyabiasnhara alipe service levy"na happo happo alipe ushuru wa taka,tfda,leseni ya biashara,sewerage n.k d)V.A.T ,hii Kodi ya ongezeko la thamani iwepo mechanism ambapo mfanya biashara alipe net off tra badala ya kulipa total sum collected tra na Kisha aende kudai tofauti ya aliyolipa na aliyolipwa kwa niaba ya serikali tra.Sehemu kwa sehemu ila sehemu kubwa ya biashara zinafanyika kwa mtindo wa ujanja ujanja ,Kodi hazilipiki na tra Wala Hawana muda wa kutafiti kwanini wengi hawalipi Kodi.Nashauri serikali iangalie upya utozaji wa Kodi zingine ni nuincnce taxes&fee,disincentive,ifute zingine au iungnishe
Humu jukwaani kakimbia
 
V.A.T ,hii Kodi ya ongezeko la thamani iwepo mechanism ambapo mfanya biashara alipe net off tra badala ya kulipa total sum collected tra na Kisha aende kudai tofauti ya aliyolipa na aliyolipwa kwa niaba ya serikali tra.
Kama kweli ipo hivyo huo ni usumbufu sio kwamba mfanyabiashara ana VAT account yake, muda ukifika anawapa difference tu.

Kwa utaratibu huo ili kukwepa usumbufu wa kudai VAT ya kununulia unaweza kuona kwanini watu awapendi ku-charge.

VAT inatakiwa ilipwe au idaiwe on net difference, sio uwakusanyie TRA, uwape yote, halafu na wewe ndio udai ya kununulia na wakichelewesha kulipa madai ya wafanyabiashara si ajabu awalipi interests. Huo utaratibu sio mzuri kabisa kwa cash flow ya biashara.
 
Back
Top Bottom